Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 1,148
- 2,815
πππSawasawa
Umesharudi tuisheni ya shule? Mwalimu wako wa darasa shule ya msingi ananiambia hajakuona tuisheni leokama huna hela ya kumpa wife wako / demu wako siku kama za sikukuu au siku yeyote au ukiona nywele zake zinakaribia kufumuka na wewe machale yanakushika unaenda kuombwa hela , halafu mfukoni hakueleweki ushauri wangu kwako wa kijasusi tengeneza ugomvi alafu jifanye umenuna ili sikuzipite πππ
Nimekosa nauli ya daladalaUmesharudi tuisheni ya shule? Mwalimu wako wa darasa shuke ya msingi ananiambia hajakuona tuisheni leo
Nasemea kwa mtu ambaye hana hela ya kumpaMko wangapi Kwake? ulitaka apewe nayupi.?
Kwa upande wangu hiyo trick lazima nifeli. Maana kuna mambo tumeshakubaliana no matter what lazima yatekelezwe:kama huna hela ya kumpa wife wako / demu wako siku kama za sikukuu au siku yeyote au ukiona nywele zake zinakaribia kufumuka na wewe machale yanakushika unaenda kuombwa hela , halafu mfukoni hakueleweki ushauri wangu kwako wa kijasusi tengeneza ugomvi alafu jifanye umenuna ili sikuzipite πππ
Ila hiyo mbinu ya kizamani,kwanini usimtoe out,hata kisiwa ambacho hata pipi hapati,hata kama hela anayoπ€£kama huna hela ya kumpa wife wako / demu wako siku kama za sikukuu au siku yeyote au ukiona nywele zake zinakaribia kufumuka na wewe machale yanakushika unaenda kuombwa hela , halafu mfukoni hakueleweki ushauri wangu kwako wa kijasusi tengeneza ugomvi alafu jifanye umenuna ili sikuzipite πππ
Daa asanteMNATUDHARIRISHA SANA AISE, KIJANA TAFUTA HELA KABLA MA BROO HAWAJAMLIPIA MKEO PESA YA KUSUKA.
Nikutumie kapesa ka ulabu kwa njia gani?Huo Utakuwa ujinga wa karne, ya Nini mkwazane kwa pesa zako mwenyewe.
Just say I got no money for now, ila kuumizana na Shari za kitoto sioo zuri kabiSa.
Complimenting and dissing me at the same timeπ.Nikutumie kapesa ka ulabu kwa njia gani?
Hakika mdogo wangu umekuwa,yale madudu ya miezi kadhaa iliyopita yasingekupata kama ungekuwa na akili hii.
π π πComplimenting and dissing me at the same timeπ.
Amen,nakutumia kitabu ya dini.Situmii kilevi chochote Kaka, Nashukuru Sana.
KwakweliMko wangapi Kwake? ulitaka apewe nayupi.?