Kama unahisi Mchumba wako (Demu) anataka kukuomba hela na wewe huna, tengeneza ugomvi

Kama unahisi Mchumba wako (Demu) anataka kukuomba hela na wewe huna, tengeneza ugomvi

kama huna hela ya kumpa wife wako / demu wako siku kama za sikukuu au siku yeyote au ukiona nywele zake zinakaribia kufumuka na wewe machale yanakushika unaenda kuombwa hela , halafu mfukoni hakueleweki ushauri wangu kwako wa kijasusi tengeneza ugomvi alafu jifanye umenuna ili sikuzipite 😀😀😀
Pesa yako bado ikutese siuwe tu mkweli sina as kama ni muelewa anajua kunakupata na kukosa hatoona shida.
 
Usije kurudi huku tena utuambie umeachika
Kuachika ni kutaka menyewe,kama wewe kambale,jua kambale kwao hawajui heshima,staha,busara,ustaarabu,uvumilivu,upendo wala hekima,baba,mama,mtoto,mjukuu,kitukuu,wote wamemea ndevu,hivyo wanajiona wote sawa🤣
 
kama huna hela ya kumpa wife wako / demu wako siku kama za sikukuu au siku yeyote au ukiona nywele zake zinakaribia kufumuka na wewe machale yanakushika unaenda kuombwa hela , halafu mfukoni hakueleweki ushauri wangu kwako wa kijasusi tengeneza ugomvi alafu jifanye umenuna ili sikuzipite 😀😀😀
Pengine kwangu inaweza isifanye kazi mkuu wife ata tugombane vipi kipo kitabu cha mahitaji ataandika tu na lazima ni timize.
 
Hatari aisee,Kuna shida mahali wanaume ni kuwajibika na kuhudumia aisee
 
Jifunze kusema NO

Baba ndiye mwenye jukumu la kumhudumia binti yake ambaye hajaolewa usijipe umuhimu kwenye jukumu ambalo sio lako
 
Back
Top Bottom