let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,699
- 8,857
Nimeijua couple hii nyuma kidogo ya Pendamic ya Corona. Juzi wakati nimerudi kwa huu Mtaa nilishangaa kuikuta iko vile vile na pale pale nilipoikuta kwa mara ya kwanza. Makazi yao yapo kwenye kona ya kiosk( requor store) ndogo hapa Mtaani.
ukiingia ama kutoka kwa hii KIOSIK kama unachochote cha ziada unaweza wapa.
Wakati wa Corona Pendamic Family na kampun zililia Subsidies kwa Govement lakini couple hii ilivuka hicho kipindi bila kumlilia yoyote.
Nilichojifunza ni kwamba mwanamke ambaye muda wote hana hela ya nauli,ni yule anayedate na boy hampendi.
wanawake wana pesa Sema wapo very calculative,uzitumia tu pale wanapokuwa na AFFECTION na Boy fulani.
Mwanamke akikuelewa Popote ama chochote mtakula na hakuna cha kuhudumiana.
Dhana ya mwili mmoja uthibitishwa na couple zenye taswila hii.
Kama unahisi pesa ndiyo kila kitu fikria hii couple.
NOTE; PICHA IMECHUKULIA KIWIZI WIZI,SIKUTAKA WAJUE KUWA NAWAPIGA PICHA
ukiingia ama kutoka kwa hii KIOSIK kama unachochote cha ziada unaweza wapa.
Wakati wa Corona Pendamic Family na kampun zililia Subsidies kwa Govement lakini couple hii ilivuka hicho kipindi bila kumlilia yoyote.
Nilichojifunza ni kwamba mwanamke ambaye muda wote hana hela ya nauli,ni yule anayedate na boy hampendi.
wanawake wana pesa Sema wapo very calculative,uzitumia tu pale wanapokuwa na AFFECTION na Boy fulani.
Mwanamke akikuelewa Popote ama chochote mtakula na hakuna cha kuhudumiana.
Dhana ya mwili mmoja uthibitishwa na couple zenye taswila hii.
Kama unahisi pesa ndiyo kila kitu fikria hii couple.
NOTE; PICHA IMECHUKULIA KIWIZI WIZI,SIKUTAKA WAJUE KUWA NAWAPIGA PICHA