Kama unahisi pesa ndiyo kila kitu fikiria hii couple

Kama unahisi pesa ndiyo kila kitu fikiria hii couple

let the caged bird sings

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2020
Posts
3,699
Reaction score
8,857
Nimeijua couple hii nyuma kidogo ya Pendamic ya Corona. Juzi wakati nimerudi kwa huu Mtaa nilishangaa kuikuta iko vile vile na pale pale nilipoikuta kwa mara ya kwanza. Makazi yao yapo kwenye kona ya kiosk( requor store) ndogo hapa Mtaani.

ukiingia ama kutoka kwa hii KIOSIK kama unachochote cha ziada unaweza wapa.

Wakati wa Corona Pendamic Family na kampun zililia Subsidies kwa Govement lakini couple hii ilivuka hicho kipindi bila kumlilia yoyote.

Nilichojifunza ni kwamba mwanamke ambaye muda wote hana hela ya nauli,ni yule anayedate na boy hampendi.
wanawake wana pesa Sema wapo very calculative,uzitumia tu pale wanapokuwa na AFFECTION na Boy fulani.

Mwanamke akikuelewa Popote ama chochote mtakula na hakuna cha kuhudumiana.
Dhana ya mwili mmoja uthibitishwa na couple zenye taswila hii.

Kama unahisi pesa ndiyo kila kitu fikria hii couple.

NOTE; PICHA IMECHUKULIA KIWIZI WIZI,SIKUTAKA WAJUE KUWA NAWAPIGA PICHA

20240809_152945.jpg
 
U
Nimeijua couple hii nyuma kidogo ya Pendamic ya Corona. Juzi wakati nimerudi kwa huu Mtaa nilishangaa kuikuta iko vile vile na pale pale nilipoikuta kwa mara ya kwanza. Makazi yao yapo kwenye kona ya kiosk( requor store) ndogo hapa Mtaani.

ukiingia ama kutoka kwa hii KIOSIK kama unachochote cha ziada unaweza wapa.

Wakati wa Corona Pendamic Family na kampun zililia Subsidies kwa Govement lakini couple hii ilivuka hicho kipindi bila kumlilia yoyote.

Nilichojifunza ni kwamba mwanamke ambaye muda wote hana hela ya nauli,ni yule anayedate na boy hampendi.
wanawake wana pesa Sema wapo very calculative,uzitumia tu pale wanapokuwa na AFFECTION na Boy fulani.

Mwanamke akikuelewa Popote ama chochote mtakula na hakuna cha kuhudumiana.
Dhana ya mwili mmoja uthibitishwa na couple zenye taswila hii.

Kama unahisi pesa ndiyo kila kitu fikria hii couple.

NOTE; PICHA IMECHUKULIA KIWIZI WIZI,SIKUTAKA WAJUE KUWA NAWAPIGA PICHA

View attachment 3065731
Usichanganye kiswahili na english unaharibu.
 
Msingi wa mada umeuficha ficha sana tujifunze nini kutoomba nauli? Kuvumilia tabu km kilivyo kiapo cha ndoa?
ka-amani Mdogo wangu/mwanangu...
nilikusudia kusema kwamba" wanawake siku zote wana hela za nauli,mwanaume ukiombwa nauli jua jambo moja kwa hakika..........".
na kama hana kweli Kuna signs kuu 3 uwa zinaonyeshwa.
 
wanajiuliza" kishika uchumba cha Makininika kiweze nunua Bombadier 10 wakati thaman ya makinikia haiwezi nunua Bajaji!"😁
We unaongelea nini mbona hueleweki mkuu?

Sisiem ituchanganye,Simba na yanga zituchanganye na wewe unataka utuvuvuruge na mada ngumu kama tunajibu mtihani bwana!!

Haya chagua mji useme point ya Uzi wako ni nini?
 
Inabidi nipewe tuzo ya mtu anayeelewa haraka zaidi maana nahisi nimeelewa peke yangu

Mkuu hoja yako ni kweli wazungu wasio na makazi warudishwe wote kwao
 
Nimeijua couple hii nyuma kidogo ya Pendamic ya Corona. Juzi wakati nimerudi kwa huu Mtaa nilishangaa kuikuta iko vile vile na pale pale nilipoikuta kwa mara ya kwanza. Makazi yao yapo kwenye kona ya kiosk( requor store) ndogo hapa Mtaani.

ukiingia ama kutoka kwa hii KIOSIK kama unachochote cha ziada unaweza wapa.

Wakati wa Corona Pendamic Family na kampun zililia Subsidies kwa Govement lakini couple hii ilivuka hicho kipindi bila kumlilia yoyote.

Nilichojifunza ni kwamba mwanamke ambaye muda wote hana hela ya nauli,ni yule anayedate na boy hampendi.
wanawake wana pesa Sema wapo very calculative,uzitumia tu pale wanapokuwa na AFFECTION na Boy fulani.

Mwanamke akikuelewa Popote ama chochote mtakula na hakuna cha kuhudumiana.
Dhana ya mwili mmoja uthibitishwa na couple zenye taswila hii.

Kama unahisi pesa ndiyo kila kitu fikria hii couple.

NOTE; PICHA IMECHUKULIA KIWIZI WIZI,SIKUTAKA WAJUE KUWA NAWAPIGA PICHA

View attachment 3065731

Uko sahihi na nimegundua hili nikiwa nimechelewa.
 
Back
Top Bottom