Kama unahitaji ajira kwenye international companies zinazolipa vizuri, tunza afya yako kuliko chochote

Kama unahitaji ajira kwenye international companies zinazolipa vizuri, tunza afya yako kuliko chochote

This is very true, kampuni za nje wengi wanawapima watu wao wanaotaka kuwaajiri ila wengi hua wana aim sana hapo kwenye ngoma.

Na wanawapeleka hospital zao maalum hauendi kujipima mwenyewe maana wanajua mtu utafoji majibu.
Kwamba ukiwa na ngoma utendaji kazi utakuwa duni au utawaambukiza mabosi wa kampuni?
 
Utapita kwenye interview stage zaidi ya 4 na utapewa offer, Kisha utaikubali, baada yahapo utapelekwa kwenye vipimo vya afya Yako ikiwa ni pamoja na x-rays ya kifua, mgongo, watakupima HIV, sukari, pressure, pamoja na homa ya inni na magonjwa mengine kibao.

Aisee tutunze afya zetu.
Makampuni ya wazungu a.k.a makafiri
 
Mimi mwenyewe sijapenda, huo ni Unyanyapaa.

Wao si ndio wanajidai kupinga DISCRIMINATION, au kumbe ni wanafiki tu!
Kuna factors kadhaa ambazo wanaziangalia mpaka kuweka hayo masharti ya kupima afya, nikipata muda nitakuja kuziainisha.
Wala sio unyanyapaa.
 
Back
Top Bottom