Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Mbona umejibu kwa hasira sana bro, kwani kuna ‘shida’ katika yaliyotajwa?WAJIPIME WENYEWE TUTASUBIRIA AJIRA ZA CCM KAMA NI HIVYO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona umejibu kwa hasira sana bro, kwani kuna ‘shida’ katika yaliyotajwa?WAJIPIME WENYEWE TUTASUBIRIA AJIRA ZA CCM KAMA NI HIVYO
Hao wanadharirisha wadogo zetu wasio na ajira......huo ni udhalilishajiMbona umejibu kwa hasira sana bro, kwani kuna ‘shida’ katika yaliyotajwa?
Kwamba ukiwa na ngoma utendaji kazi utakuwa duni au utawaambukiza mabosi wa kampuni?This is very true, kampuni za nje wengi wanawapima watu wao wanaotaka kuwaajiri ila wengi hua wana aim sana hapo kwenye ngoma.
Na wanawapeleka hospital zao maalum hauendi kujipima mwenyewe maana wanajua mtu utafoji majibu.
Hapo ndio sijaelewa maana unakuta kazi hata hazihusiani na mambo ya afya.Kwamba ukiwa na ngoma utendaji kazi utakuwa duni au utawaambukiza mabosi wa kampuni?
Daah unavuta bangi?Mbona mi navuta na nipohapa
Mbona umejibu kwa hasira sana bro, kwani kuna ‘shida’ katika yaliyotajwa?
Mimi mwenyewe sijapenda, huo ni Unyanyapaa.Hao wanadharirisha wadogo zetu wasio na ajira......huo ni udhalilishaji
Makampuni ya wazungu a.k.a makafiriUtapita kwenye interview stage zaidi ya 4 na utapewa offer, Kisha utaikubali, baada yahapo utapelekwa kwenye vipimo vya afya Yako ikiwa ni pamoja na x-rays ya kifua, mgongo, watakupima HIV, sukari, pressure, pamoja na homa ya inni na magonjwa mengine kibao.
Aisee tutunze afya zetu.
Naungana na Nelson Jacob Kagame, huo ni ubaguzi na udjalilishaji.Hapo ndio sijaelewa maana unakuta kazi hata hazihusiani na mambo ya afya.
Au ndio utaratibu wao.
Kuna factors kadhaa ambazo wanaziangalia mpaka kuweka hayo masharti ya kupima afya, nikipata muda nitakuja kuziainisha.Mimi mwenyewe sijapenda, huo ni Unyanyapaa.
Wao si ndio wanajidai kupinga DISCRIMINATION, au kumbe ni wanafiki tu!
Ukipata muda uziainishe.Kuna factors kadhaa ambazo wanaziangalia mpaka kuweka hayo masharti ya kupima afya, nikipata muda nitakuja kuziainisha.
Wala sio unyanyapaa.
Kila sehemu kuna aina yake ubaguzi ni wewe tu kuchagua wapi panakuFavourNaungana na Nelson Jacob Kagame, huo ni ubaguzi na udjalilishaji.
Sio Kila international company ni ya makafiri mkuu.Makampuni ya wazungu a.k.a makafiri
Nachangamsha kijiwe honeyDaah unavuta bangi?
FactMimi mwenyewe sijapenda, huo ni Unyanyapaa.
Wao si ndio wanajidai kupinga DISCRIMINATION, au kumbe ni wanafiki tu!
Waislamu mshaanza......au hiyo ID yako ya hayatolah inakuchanganya mkuuu......kuona hao watu wa dini yako ndio international zaidi kuliko wengine???🤣🤣🤣🤣🤣 waafrika bhana.....Sio Kila international company ni ya makafiri mkuu.
Unaumwa nini kwaniWAJIPIME WENYEWE TUTASUBIRIA AJIRA ZA CCM KAMA NI HIVYO
Madogo hawaelewi na ndio maana wanadhalilishwa......mara utasikia ili uwe rubani lazima tukupime marinda....!!Naungana na Nelson Jacob Kagame, huo ni ubaguzi na udjalilishaji.
Gonorea sugu mkuu 🤣🤣🤣Unaumwa nini kwani
😒aaah jamani.....haya mambo siyo ya kukamia Mkuu...,ona sasaGonorea sugu mkuu 🤣🤣🤣
Unaninanga sasa mdogo wangu....😒aaah jamani.....haya mambo siyo ya kukamia Mkuu...,ona sasa