Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkuu tunafanya exchange.gari za exchange zipo mkuu?
Msimlaumu jamaa huenda anaishi FukushimaMkuu ni kwamba hujui ukweli au ni kusudi tu umeamua kufanya?
Kabla ya kulalamika kuhusu bei ungefanya research kidogo kujua hiyo gari showroom ni bei gani inauzwa kisha uangalie registration number DX iko na miezi mingapi ndio tupige hesabu hii gari iko overpriced au ni bei sawa.
EeehSio kuharibu, ni upumbavu kununua aina hiyo ya gari na ya miaka 18 huko nyuma kwa Mil 10+. Watanzania hampendi kuambiana ukweli. Yaan mtu anunur gari ambayo yeye mwenyewe alinunua kwa bei hiyo hiyo miaka mingi iliyopita anataka kuuza kwa kupata faida??
Hapana, depreciation ya hiyo gari imefika 0 amount bhana, hata tungepunguza kwa njia gani.
Huo ni WIZI.
Nakuunga mkonoGari ya miaka 18 nyuma ninunue kwa TSH 13 MILIONI???
Yuko sahihiMsimlaumu jamaa huenda anaishi Fukushima
Japan ambako kuna plant ya kuzalisha magari hayo. Ndio maana anaona ajabu kwa gari ya miaka 18 nyuma haistahili kuuzwa bei hio.
Hujaweka bei yakeToyota Ist
Model Year:2004
Engine capacity:1290
Mileage:56000km
Fog lamp
Back spoiler
Contact:0658124554View attachment 2330456View attachment 2330457View attachment 2330458View attachment 2330459View attachment 2330460
Bajaji sina bossBajaj unazo
Ipo mkuu nicheki WhatsApp 0658124554Una Subaru Impreza?