Zikwe
JF-Expert Member
- Mar 13, 2013
- 239
- 131
Habari Zenu Wakuu.
Mimi ni Kijana wa Kiume Mwenye uzoefu wa miaka mitano(5) kwenye kupika na Ninaeamini Kwenye kufanya kazi kwa bidii na Pia kutekeleza Jukumu unalopewa kwa wakati Sahihi.
Hivyo Kama Unaitaji Mpishi wa kupika kwenye Shughuli yako Yoyote mfano HARUSI, KITCHEN PARTY, SEND-OFF, BIRTHDAY, MSIBA, GRADUATION nk au kuwa mpishi wa kwenye MGAHAWA wako Nipo tayari. POPOTE PALE NAKUJA KUFANYA KAZI
Naweza Kupika BIRIANI, PILAU NYAMA/KUKU/SAMAKI, NDIZI NYAMA/UTUMBO, WALI MWEUPE/MAUA, MANDI, KUKU CHOMA, BITES(kachori, sambusa, chipsi, bagia, katresi nk).
Pia kama utaitaji tupike tukuletee pia Tunakupikia na Kukuletea kwa Wakati Unaoitaji tena Kikiwa bado cha Motoooo.
KWA MAWASILIANO:
Piga/Whatsapp: 0657 33 2814
Email: mpishimashuhurini@gmail.com
IG: mpishii_
Magomeni, Dar es Salaam
ASANTENI SANA NA MUNGU AWABARIKI🙏🙏
Mimi ni Kijana wa Kiume Mwenye uzoefu wa miaka mitano(5) kwenye kupika na Ninaeamini Kwenye kufanya kazi kwa bidii na Pia kutekeleza Jukumu unalopewa kwa wakati Sahihi.
Hivyo Kama Unaitaji Mpishi wa kupika kwenye Shughuli yako Yoyote mfano HARUSI, KITCHEN PARTY, SEND-OFF, BIRTHDAY, MSIBA, GRADUATION nk au kuwa mpishi wa kwenye MGAHAWA wako Nipo tayari. POPOTE PALE NAKUJA KUFANYA KAZI
Naweza Kupika BIRIANI, PILAU NYAMA/KUKU/SAMAKI, NDIZI NYAMA/UTUMBO, WALI MWEUPE/MAUA, MANDI, KUKU CHOMA, BITES(kachori, sambusa, chipsi, bagia, katresi nk).
Pia kama utaitaji tupike tukuletee pia Tunakupikia na Kukuletea kwa Wakati Unaoitaji tena Kikiwa bado cha Motoooo.
KWA MAWASILIANO:
Piga/Whatsapp: 0657 33 2814
Email: mpishimashuhurini@gmail.com
IG: mpishii_
Magomeni, Dar es Salaam
ASANTENI SANA NA MUNGU AWABARIKI🙏🙏