strategist22
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 655
- 599
Ukiweza eleza zaidi, itapendeza SanaMiezi miwili iliyopita nilikua najihusisha na biashara ya vipodozi vya usoni vya wanawake..nilikua natumia mtaji wa tsh 30000 kwa siku nilikua naweza kupata wateja si chini ya 5 hadi 6 na kila bidhaa nilikua nauza 30000.. kwahiyo nilikua napata hadi laki na nusu faida..ila tatizo ilikua inachosha Sana na nilivyopumzika ndiyo nikapumzika mazima.
Ebwana vipi kuhusu withdraw na deposit wameshaweka sawa?
Hakuna chenye faida kama Guest house.Tatizo ni mtaji tu...
Nimebadilisha nyumba ya kupanga (ya urithi)ikawa guest house.Ilikua na room 12.Mbovu mbovu tu.kwa siku nilikua napata zaidi ya 90k.Saiv nimekarabati naingiza zaidi.Nina mpango wa kujenga ingine
Mkuu jaribu kuadvance huduma zako .Hapa nina printer 4 hp inkjet 1510 ndogo, desktop 4, hp laserjet p4015 dn, canon ir 1022A na Epson L382. Hilo laserjet linaprint/toa copy 500 in 10 minutes. Yaani ream moja inakata in ten minutes.
Picha naprint na Epson....laminating machine, ID cutter, binding materials kama velo na spiral
Huwa sikai sana ofisini. Wale mabint nimewapa full mandate hata wakinipiga poa tu....nawatreat fairly, nawalisha au kama sipo wanajinunulia chakula asubuhi na mchana. Nauli siwapi sababu hawatokei mbali....ni wa maeneo hayo hayo.
nomaaMtaji 300,000
Odds 1.10
300,000 x 1.10 = 330,000
Profit 30,000
NB; ndo nachokifanya tangu huu mwaka UANZE
Weka nyumba rehani au uza kiwanjaHello wananzengo
Jamani jamani jamani, Niko serious, utani matusi na mizaha isiyokua na tija haitapokelewa.
Give me 3 million or 4 million na nakuahidi ntakachopata ambacho ni zaidi ya milioni 250, nitakupa milioni 50. Nina uhakika na nachoenda kufanya.
Guarantee tutaingia makubaliano kisheria kabisa, nina asset kama nyumba na kiwanja. This is serious. Wengi wana hela lakini hawajui wazifanyie nini ila wengine hatuna lakini nafasi kama hizi zinatujia kila uchwao.
When you are Man, you have to find money and more money, and more and more money, pssy, bia, starehe, zipo tu but ... MONEY, POWER. UJI ESTABLISH AS A MAN kwanza ndo mengine yafuate.
Mawasiliano zaidi yatafanyika pm.
Asante na karibu for serious minded.
We digidigi ni vitu gani unasambaza kila mahali , huku sio WhatsApp au FB
ndo shda ya viongoz wetu- So far narecommend tumia pepperstone broker
- Deposit kwa credit card (ABC Bank au Equity) direct inakata, within 2 minutes
- Withdraw direct to credit card (ABC Bank) , inachukua siku 2 - 3
- Mpesa option ishakua kimeo mpk hapo watakapo resolve na BoT. Lini hatujui
ni udhaifu wa akili na mawazo kutoa 7m ili uingize 20k au 30k ni ujinga... wakati kipindi hicho wenzako wana mtaji wa 400k na kila siku wanakunja 250k kama faidaMtaji lazina uwe zaidi ya 6/7m.. ukinunua bajaji 7.2m na kuitoa mkataba wa miezi 10.. kila siku anakuletea hesabu ya 30k.. na service kwake ww ni hesabu tuu
Mkuu,Mkuu jaribu kuadvance huduma zako .
Una maana passport size unatoa kwa kutumia l382 ?. Hii printer haiko designed kufanya shughuli hiyo hata quality yake ni ndogo mno labda umesema kwa uswahili uko. Jitahidi upate l800, 805, 850 na kuendelea. Hizi zina uwezo mkubwa.
Na ukiwa na mtaji tafuta Canon ir 3300 photocopy machine, yenyewe ni economy sana utaprint B/W na copy. Ukisikia copy zinatolewa tsh25 basi jembe ni hilo. Tatizo la hp printers unazotumia ni gharama kubwa kuziendesha.
Mkuu,No man. Nafanya hii kazi mwaka wa 4 huu. Nina full connections za kila kitu hata machine zikizingua. Bora ungekuwa wewe mwenyewe....mtu tena mwingine a hell no. Thanks, anyway.
Ila Bank huwa wanasumbua sana withdraw za credit card sababu huwa zinakuja kama refund. As you know hela ikija kama refund bank hawapati chochote na ndo maana huwa wanazingua. Tofauti na kama ingekuwa wire transfer.- So far narecommend tumia pepperstone broker
- Deposit kwa credit card (ABC Bank au Equity) direct inakata, within 2 minutes
- Withdraw direct to credit card (ABC Bank) , inachukua siku 2 - 3
- Mpesa option ishakua kimeo mpk hapo watakapo resolve na BoT. Lini hatujui
hawa wahuni achana nao utapoteza tu mda wako
ukitaka kutoa hela wanataka uwe na referral 40,kama huna referal wanasema ulipe ili wakupe referal(tangu lini boss akahtaji pesa kutoka kwa mfanyakazi wake?) , ukishalipa yanaaza mambo ya "server down" mara paap ur accout is blocked daaaaaah wahuni sio watu[emoji41]View attachment 1253916View attachment 1253917
Dar sehemu nyingi tunatoa copy kwa 100 na bei ni kama hizo alizoweka jamaa. Sehemu nafuu ni zilizo na vyuo na wanafunzi. Sasa mtu karatasi 10 apoteze muda aende huko?Hii biashara labda kama ni mkoani. Ila kwa dar hizo bei lazima ukimbiwe