Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Kwa kweli inategemeana mtu na mtu na biashara na biashara

Binafsi nishawatuma wateja wanaotumia simu si chini ya wateja kumi waende kwa mafundi wenzangu tena ninao wa amini.

Na nikawahakikishia endapo wakiharibu waje wanidai mimi lakini waligoma waliona bora wasafiri wapeleke mjini.


KISA MAZINGIRA YA MAFUNDI SIMU WENZANGU HAYAKUWARIDHISHA WATEJA WALILALAMA YAMEKAA HOVYO NA WAO SI WASAFI.


iko hivi ndugu yangu King999 hao wateja wakuvutiwa na ka ofisi kako kazuriiiiiii sio wengi kama wateja wale waaopenda

ingia sehemu local/kawaida,halafu wateja hao wanaovutiwa na ofisi yako nzuriii wakija ofisini wana mbwe mbwe nyingi

halafu akiingia ofisini kama yupo na demu wake wataishia kunywa SODA 1 na kutoka,(ofisi yako wataifanya kama kfc)

kijiwe cha stori ila hawatokuja ofisini kwako kwasababu kweli wanahitaji walichokifata (wewe mwenyewe unaweza kuwa mfano)

n mara ngapi week end ukitaka kutoka out kwenda sehemu nzuri huwa ukifika kule unaishia kunywa ka juice na maji 1 kubwaaa then unarudi nyumbani??

sehemu local/kawaida ni maalumu kwa wenye shida haswaaa yani ukienda sehemu hiyo unakua kweli "u need service" kama wewe leo umesema umeenda kibanda cha mpesa ukaondoka kwasababu hukudhani kama ana salio...

Unajua kwanin hukuenda pale kwenye kile kibanda??? "wewe sio mteja serious" hukuwa na shida na ile huduma ya pesa kwa haraka ndio mana wewe kwako unaangalia ofisi kuliko Lengo lako linalokupeleka pale.

Mtu kama mimi nikiwa nahitaji pesa huwa sijali ofisi ya mtu ikoje as long as kachora MPESA mimi naendaaaa,yule jamaaa wa kibanda cha mpesa ametulenga wateja sisi (mimi) na si wateja wewe maanaa wateja wewe huwa mnaenda ma ofisi ya watu badala ya kufata kilichowapeleka mnaanza angalia ofisi za watu wamekalia nini,wamevaa nni,nk

wateja sisi (mimi) ndio wengi katika ulimwengu huu kuliko wateja wewe boss King999 maana sisi vi hela vyetu ni kidogo ila tunavitoa kila siku,ila mteja wewe ulikua unataka ukatoe sh.laki 9 ila kuja toa hiyo amount n mpk mwezi ujao,wakati huo sisi wa vi elfu tano tano tunaena ile ofisi daily,kila saaaa ila mteja wewe unatokea mara 1 kwa wiki.

Umeona utofauti hapo sasa mkuuu.
 
iko hivi ndugu yangu King999 hao wateja wakuvutiwa na ka ofisi kako kazuriiiiiii sio wengi kama wateja wale waaopenda

ingia sehemu local/kawaida,halafu wateja hao wanaovutiwa na ofisi yako nzuriii wakija ofisini wana mbwe mbwe nyingi

halafu akiingia ofisini kama yupo na demu wake wataishia kunywa SODA 1 na kutoka,(ofisi yako wataifanya kama kfc)

kijiwe cha stori ila hawatokuja ofisini kwako kwasababu kweli wanahitaji walichokifata (wewe mwenyewe unaweza kuwa mfano)

n mara ngapi week end ukitaka kutoka out kwenda sehemu nzuri huwa ukifika kule unaishia kunywa ka juice na maji 1 kubwaaa then unarudi nyumbani??

sehemu local/kawaida ni maalumu kwa wenye shida haswaaa yani ukienda sehemu hiyo unakua kweli "u need service" kama wewe leo umesema umeenda kibanda cha mpesa ukaondoka kwasababu hukudhani kama ana salio...

Unajua kwanin hukuenda pale kwenye kile kibanda??? "wewe sio mteja serious" hukuwa na shida na ile huduma ya pesa kwa haraka ndio mana wewe kwako unaangalia ofisi kuliko Lengo lako linalokupeleka pale.

Mtu kama mimi nikiwa nahitaji pesa huwa sijali ofisi ya mtu ikoje as long as kachora MPESA mimi naendaaaa,yule jamaaa wa kibanda cha mpesa ametulenga wateja sisi (mimi) na si wateja wewe maanaa wateja wewe huwa mnaenda ma ofisi ya watu badala ya kufata kilichowapeleka mnaanza angalia ofisi za watu wamekalia nini,wamevaa nni,nk

wateja sisi (mimi) ndio wengi katika ulimwengu huu kuliko wateja wewe boss King999 maana sisi vi hela vyetu ni kidogo ila tunavitoa kila siku,ila mteja wewe ulikua unataka ukatoe sh.laki 9 ila kuja toa hiyo amount n mpk mwezi ujao,wakati huo sisi wa vi elfu tano tano tunaena ile ofisi daily,kila saaaa ila mteja wewe unatokea mara 1 kwa wiki.

Umeona utofauti hapo sasa mkuuu.
Duh mkuu umetema madini kama yote
 
Mfano wa hizo au iyo biashara mkuu?
Acha nimsaidie kujibu swali lako, naunga mkono hoja ya mchangiaji kuwa ni ujinga kutoa 5 hadi 7 na kuingiza faida ya 30k au 50k bado ni ndogo sana. Kwa mtaji huo una uwezo wa kuingiza si chini ya 150k per day. Mimi acha nikutajie biashara mbili tu na moja ya wapo naifanya, kuuza soft drink ukifungua ofisi mazingira mazuri mtaji wake hauuzidi 1.5. Na ukiwa na uwezo wa kutengeneza juice nzuri unaweza kuingiza 30 hadi 50k kwa siku..kwahyo kwa pesa hiyo unaweza kupata ofice nne au tano. Biashara nyingine ni mgahawa hii migahwa ya kawaida ambayo unaweza kuanza na M2 kwa kila mgahawa na kufungua migahawa mitatu, hapa zingatia kuweka watoto wazuri na wasafi sana.
Pika msosi mzuri utapiga pesa..
Binafsi juice pekee ofisi mbili natengeneza zaidi ya laki kwa siku kwa mtaji wa M5 tu.. Na hapo msimamizi ni mwingine maana mimi niko mbali kidogo..
 
Kwa kweli inategemeana mtu na mtu na biashara na biashara

Binafsi nishawatuma wateja wanaotumia simu si chini ya wateja kumi waende kwa mafundi wenzangu tena ninao wa amini.

Na nikawahakikishia endapo wakiharibu waje wanidai mimi lakini waligoma waliona bora wasafiri wapeleke mjini.


KISA MAZINGIRA YA MAFUNDI SIMU WENZANGU HAYAKUWARIDHISHA WATEJA WALILALAMA YAMEKAA HOVYO NA WAO SI WASAFI.
asee hii ktu inategemea kwa kwel mm nikikuta office iko local local wala huwa hainivutii

kumbuka "ur look express u better than a letter of introduction"
 
Mkuu, mbona L382 inatoa picha fresh tu au?
Acha masihara. Utakuwa sio mtaalam wa picha wewe. Hebu tumia kuanzia l800 na kuendelea halafu picha hiyo hiyo toa katika l382. Mteja utampa huku unaangalia pembeni. Pia unapoteza wateja akipiga akiona quality ni ndogo ataipokea lakini hutomwona akirudia atakuhama tu. Kwa hiyo nakushauri ukitaka kuwa professional tumia hizo printerz ikiwezekana hata camera tafuta Nikon 3100 na kuendelea au Canon 550d na kuendelea. Bila shaka wateja utawapata sana. Ukijua na Photoshop umeua.

Kingine hizo picha za 400 achana nazo kiuhalisia hazikulipi. Wino, photopaper + waste toner counter.
 
Acha nimsaidie kujibu swali lako, naunga mkono hoja ya mchangiaji kuwa ni ujinga kutoa 5 hadi 7 na kuingiza faida ya 30k au 50k bado ni ndogo sana. Kwa mtaji huo una uwezo wa kuingiza si chini ya 150k per day. Mimi acha nikutajie biashara mbili tu na moja ya wapo naifanya, kuuza soft drink ukifungua ofisi mazingira mazuri mtaji wake hauuzidi 1.5. Na ukiwa na uwezo wa kutengeneza juice nzuri unaweza kuingiza 30 hadi 50k kwa siku..kwahyo kwa pesa hiyo unaweza kupata ofice nne au tano. Biashara nyingine ni mgahawa hii migahwa ya kawaida ambayo unaweza kuanza na M2 kwa kila mgahawa na kufungua migahawa mitatu, hapa zingatia kuweka watoto wazuri na wasafi sana.
Pika msosi mzuri utapiga pesa..
Binafsi juice pekee ofisi mbili natengeneza zaidi ya laki kwa siku kwa mtaji wa M5 tu.. Na hapo msimamizi ni mwingine maana mimi niko mbali kidogo..

Sawa kiongozi nimekuelewa, biashara ya chakula kinacho nikwamisha me kutoifanya ni usimamizi maana ni ngumu kumuamini mtu mie
 
Asante mkuu kwa ushauri
Acha masihara. Utakuwa sio mtaalam wa picha wewe. Hebu tumia kuanzia l800 na kuendelea halafu picha hiyo hiyo toa katika l382. Mteja utampa huku unaangalia pembeni. Pia unapoteza wateja akipiga akiona quality ni ndogo ataipokea lakini hutomwona akirudia atakuhama tu. Kwa hiyo nakushauri ukitaka kuwa professional tumia hizo printerz ikiwezekana hata camera tafuta Nikon 3100 na kuendelea au Canon 550d na kuendelea. Bila shaka wateja utawapata sana. Ukijua na Photoshop umeua.

Kingine hizo picha za 400 achana nazo kiuhalisia hazikulipi. Wino, photopaper + waste toner counter.
 
Acha masihara. Utakuwa sio mtaalam wa picha wewe. Hebu tumia kuanzia l800 na kuendelea halafu picha hiyo hiyo toa katika l382. Mteja utampa huku unaangalia pembeni. Pia unapoteza wateja akipiga akiona quality ni ndogo ataipokea lakini hutomwona akirudia atakuhama tu. Kwa hiyo nakushauri ukitaka kuwa professional tumia hizo printerz ikiwezekana hata camera tafuta Nikon 3100 na kuendelea au Canon 550d na kuendelea. Bila shaka wateja utawapata sana. Ukijua na Photoshop umeua.

Kingine hizo picha za 400 achana nazo kiuhalisia hazikulipi. Wino, photopaper + waste toner counter.
Mkuu,

Hivi chimbo la mahitaji ya stationery kwa bei nafuu ni wapi?

Namaanisha ream, counter books, daftari n.k.
 
Mkuu,

Hivi chimbo la mahitaji ya stationery kwa bei nafuu ni wapi?

Namaanisha ream, counter books, daftari n.k.
Nenda pale makutano ya mtaa wa Lindi na Kongo, kuna maduka ya wasomali, utapata vitu vyote.
 
Wewe anzisha tu unaweza ukaanza na vyumba vitatu kisha ukaendeleza taratibu.

Asikwambie mtu chumba kimoja cha guest kinaweza kusomesha mtu mpaka chuo kikuu
Naomba hidhini yako nikufate PM mkuu, kama hautojari.
 
Mkuu upplo sahihi, hapo ni kucheza na products malimbali zinazotoka kwa haraka sabuni, dippers na kadhalika.
Biashara nyngne inayolipa ni sales, nunua pikipiki yako then chukua Bidhaa kutoka kwenye maduka ya jumla zungusha mtaani, 30k faster tu, kama mtaji unaruhusu nunua kirikuu minimum profit apo 50k, ushawahi kujiuliza why hiz selling companies inakikirikuu tu na mtaji usiozidi 10m lakn wanamlipa salesperson 400k, wana HR, accountants,managers, madepartments kibao na wanawalipa handsomely, they pay bills kama rent kwa mamilion ya hela kwa hicho hicho kikirikuu?
Nmemaanisha consuming products mkuu kama pipi, dawa za meno, mafuta ya kupaka, nido nk..

kuna bro alikuwa anafanya kazi company moja ya uuzaji walipomtimua alianza kuchukua mzigo k/koo anazungusha kwenye maduka ya mtaani.. 50k-100k+ per day ilikuwa kawaida sema wa bongo hatupendi ku'take risk alipaka kazi tena akaajiriwa
 
Usimamizi ni changamoto sana mkuu.
Hamna mkuu, Mimi binafsi sishindi kwenye ofisi zangu nina vijana sita ila nimeweka mfumo wa ufuatiliaji hakuna anaezijua ofisi zangu kuliko mimi mwenyewe.

Kuna changamoto ya vijana ambao wako competent na wenye moyo wa kazi. Kila unapoajiri wanne unaweza pata mmoja, huyo unamtunza baada ya muda utakuta ofisi zimefanikiwa kuwa na vijana wenye ujuzi na waadilifu. Ukiajiri bora mtu ili umlipe kidogo na wateja watakukimbia tu hamna namna utayumba.
 
Mkuu kwa nini usituincourage kufanya bishara za halali. Hzi zengine zinaweza kuwa na maslahi kdg ila huwezi kuupata ufalme wa mbinguni.


Ya kaisari mpeni kaisari..km wanakulana ww shida iko wap?watahukumiwa kadri ya matendo yao!
 
Back
Top Bottom