okiwira
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,856
- 3,003
Kwa kweli inategemeana mtu na mtu na biashara na biashara
Binafsi nishawatuma wateja wanaotumia simu si chini ya wateja kumi waende kwa mafundi wenzangu tena ninao wa amini.
Na nikawahakikishia endapo wakiharibu waje wanidai mimi lakini waligoma waliona bora wasafiri wapeleke mjini.
KISA MAZINGIRA YA MAFUNDI SIMU WENZANGU HAYAKUWARIDHISHA WATEJA WALILALAMA YAMEKAA HOVYO NA WAO SI WASAFI.
Binafsi nishawatuma wateja wanaotumia simu si chini ya wateja kumi waende kwa mafundi wenzangu tena ninao wa amini.
Na nikawahakikishia endapo wakiharibu waje wanidai mimi lakini waligoma waliona bora wasafiri wapeleke mjini.
KISA MAZINGIRA YA MAFUNDI SIMU WENZANGU HAYAKUWARIDHISHA WATEJA WALILALAMA YAMEKAA HOVYO NA WAO SI WASAFI.
iko hivi ndugu yangu King999 hao wateja wakuvutiwa na ka ofisi kako kazuriiiiiii sio wengi kama wateja wale waaopenda
ingia sehemu local/kawaida,halafu wateja hao wanaovutiwa na ofisi yako nzuriii wakija ofisini wana mbwe mbwe nyingi
halafu akiingia ofisini kama yupo na demu wake wataishia kunywa SODA 1 na kutoka,(ofisi yako wataifanya kama kfc)
kijiwe cha stori ila hawatokuja ofisini kwako kwasababu kweli wanahitaji walichokifata (wewe mwenyewe unaweza kuwa mfano)
n mara ngapi week end ukitaka kutoka out kwenda sehemu nzuri huwa ukifika kule unaishia kunywa ka juice na maji 1 kubwaaa then unarudi nyumbani??
sehemu local/kawaida ni maalumu kwa wenye shida haswaaa yani ukienda sehemu hiyo unakua kweli "u need service" kama wewe leo umesema umeenda kibanda cha mpesa ukaondoka kwasababu hukudhani kama ana salio...
Unajua kwanin hukuenda pale kwenye kile kibanda??? "wewe sio mteja serious" hukuwa na shida na ile huduma ya pesa kwa haraka ndio mana wewe kwako unaangalia ofisi kuliko Lengo lako linalokupeleka pale.
Mtu kama mimi nikiwa nahitaji pesa huwa sijali ofisi ya mtu ikoje as long as kachora MPESA mimi naendaaaa,yule jamaaa wa kibanda cha mpesa ametulenga wateja sisi (mimi) na si wateja wewe maanaa wateja wewe huwa mnaenda ma ofisi ya watu badala ya kufata kilichowapeleka mnaanza angalia ofisi za watu wamekalia nini,wamevaa nni,nk
wateja sisi (mimi) ndio wengi katika ulimwengu huu kuliko wateja wewe boss King999 maana sisi vi hela vyetu ni kidogo ila tunavitoa kila siku,ila mteja wewe ulikua unataka ukatoe sh.laki 9 ila kuja toa hiyo amount n mpk mwezi ujao,wakati huo sisi wa vi elfu tano tano tunaena ile ofisi daily,kila saaaa ila mteja wewe unatokea mara 1 kwa wiki.
Umeona utofauti hapo sasa mkuuu.