OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Dah alizingua sana ..emotions ni mbaya..Nmemaanisha consuming products mkuu kama pipi, dawa za meno, mafuta ya kupaka, nido nk..
kuna bro alikuwa anafanya kazi company moja ya uuzaji walipomtimua alianza kuchukua mzigo k/koo anazungusha kwenye maduka ya mtaani.. 50k-100k+ per day ilikuwa kawaida sema wa bongo hatupendi ku'take risk alipaka kazi tena akaajiriwa
v75 [emoji23][emoji23][emoji23] hii pair ukigeuza shingo kwa Dakika tano tu kama hauna RM unakuta majivu kwenye Account.Ukiwa na mtaji wa 350k almost $150+ bac unaweza kutengeneza zaid ya 30k kwa siku, tafuta wataalamu wa crypto na forex ufundishwe huko ndo hela iko utakuza capital yako mpaka utashangaa cha msing tu usiwe na tamaa sana na uwe na risk management tena saivi kama ukitrade v75 kama unaijua vizuri bac kwa cku unaingiza hela ambazo hukuwai kuzania kama utaingiza per day hii kutokana na mtaj wako
UMEWEKA POROJO NYINGI SANA MKUU,Nimesoma thread na kupitia comments za wachangiaji wote.nimecopy baadhi ya comments hizi kwangu zishakuwa wazo la biashara kabisa.
JF imewahi nipa mawazo mawili ya biashara: biashara mojawapo ni hii ya icecream ,nikatarget eneo la shule nikamuweka wife akomae nayo.Nilimchukulia machine ile na freezer.wife anaitwa mama cone sasa hivi ananishukuru sana 20-25 faida analaza,tunampango wa kuitanua zaidi.hizi biashara za kipuuzi watu wanaziona zina pesa nyingi sana na unaweka mtaji mdogo sana kinachotakiwa ni kukaza sana
Mkuu Manengelo huwa nafatilia sana harakati zako na comments zako kwenye nyuzi tofauti ,nitakuja huko uliko niangalie upopo ukoje kwani kuna classmate wangu primary yuko huko anafanya kama unachofanya huko
HahahahaUMEWEKA POROJO NYINGI SANA MKUU,
ILA CONCERN YAKO I HIYO PARAGRAPH YA MWISHO.
AMEKUSIKIA,
VERY SOON ANAKUJA KUKUPA MWONGOZO!!!
Mkuu hebu elezea vizuri kuhusu hiiBiashara nyngne inayolipa ni sales, nunua pikipiki yako then chukua Bidhaa kutoka kwenye maduka ya jumla zungusha mtaani, 30k faster tu, kama mtaji unaruhusu nunua kirikuu minimum profit apo 50k, ushawahi kujiuliza why hiz selling companies inakikirikuu tu na mtaji usiozidi 10m lakn wanamlipa salesperson 400k, wana HR, accountants,managers, madepartments kibao na wanawalipa handsomely, they pay bills kama rent kwa mamilion ya hela kwa hicho hicho kikirikuu?
Lete ramani sasamkuu kuwekeza 10m kwenye uber au 7m kwenye bajaji then ukawa unakusanya 20k to 30k kwa siku huo ni udhaifu wa akili labda kama unaendesha mwenyewe, kwa mtaji huo mimi nakusanya zaidi ya 150k mpaka 300k per day kama faida
Nimekuomba mnoo unielekeze hii biashara mpka pm nimekuja ila kimya dada ,,msaada pls mwanamke mwenzio naadhirika[emoji44]
Mno marangapi mpendwa..wengi wamekuja pm na nimewaelekeza ukiona sijajibu basi ujue nilikuwa na mambo mengi ..sina hinda za kumnyima mtu nijuacho.Nimekuomba mnoo unielekeze hii biashara mpka pm nimekuja ila kimya dada ,,msaada pls mwanamke mwenzio naadhirika
Mkuu coment zako nazielewaga kichizi yan....una kitu kama saikolojia ya biashara hv,big up sn ka' mkubwaFungua banda la chipsi kama la Zero IQ
usiuze chipsi kizungu uza chipsi kiswahili swahili
chipsi kavu 1000 chips mayai 2000
mteja akija na buku 1800 akakuomba umpe chips mayai kapungukiwa 200
usikatae chukua hela mtengenezee chipsi yai yake..
Hakikisha hupimi chipsi nyingi kachumbari ndio iwe nyingi chipsi kidogo tu
Mishkaki uza sh 300 usiuze mishkaki mibaya itengeneze vizuri ila usikate mikubwa
finyango za 300 zinajulikana...
Kwa siku utachezea faida 30k kwenda mbele siku zingine hutojua hela zimetoka wapi
kwa jinsi utavyokua ukihesabu mpk kujikuta umeingiza 80k(siku za kismati hizi wateja wakishakuelewa)
Mno marangapi mpendwa..wengi wamekuja pm na nimewaelekeza ukiona sijajibu basi ujue nilikuwa na mambo mengi ..sina hinda za kumnyima mtu nijuacho.
Usijali mpendwaAsante wangu nilikuquote huku mara nyingi nikajua msg zishakulemea nikakupm samahani dear ila naimani ukipata wasaa na mimi nitakuwa kwenye list ya unaowaelekeza ,,
Asante mnooUsijali mpendwa
Mambo vipi mkuu Sniper,- So far narecommend tumia pepperstone broker
- Deposit kwa credit card (ABC Bank au Equity) direct inakata, within 2 minutes
- Withdraw direct to credit card (ABC Bank) , inachukua siku 2 - 3
- Mpesa option ishakua kimeo mpk hapo watakapo resolve na BoT. Lini hatujui
Mtaji ni milioni ngapi kujenga guestHakuna chenye faida kama Guest house.Tatizo ni mtaji tu...
Nimebadilisha nyumba ya kupanga (ya urithi)ikawa guest house.Ilikua na room 12.Mbovu mbovu tu.kwa siku nilikua napata zaidi ya 90k.Saiv nimekarabati naingiza zaidi.Nina mpango wa kujenga ingine
Biashara hii imeshachuja ila watu Bado wanaendelea kukaririshana kwamba inalipa.Hapo chini gawanya kwa siku 31 za August. Halafu hiyo ofisi moja ziko tatu hizo zenye performance inayo karibiana. Uzuri ni kwamba hizi wala hazina kazi nimechanganya na stationeries zinaingiza zaidi kuliko hizo kila moja.View attachment 1247447
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hapo ndipo wasomi huachwa nyuma na darasa la saba kwa sababu hii,yaani kila kitu anataka kufanyia analysis kwa kutumia degree nne.Wasomi ndio maana biashara zinawashinda mna Mambo mengi km unga wa ngano .
Kwa Nini mkuu hela haipatikani kwenye uvuvi wakati samaki wapo tu kila siku baharini na wametengenezwa na mungu?@PTER,Hii awamu biashara imekuwa ngumu Sana..Kama huku tunakotegemea uvuvi yaan raia hawana hela Kama zaman..DAMN
Nicheki kwenye no 0763308594 nikupe biashara yenye pesa