Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Nmemaanisha consuming products mkuu kama pipi, dawa za meno, mafuta ya kupaka, nido nk..

kuna bro alikuwa anafanya kazi company moja ya uuzaji walipomtimua alianza kuchukua mzigo k/koo anazungusha kwenye maduka ya mtaani.. 50k-100k+ per day ilikuwa kawaida sema wa bongo hatupendi ku'take risk alipaka kazi tena akaajiriwa
Dah alizingua sana ..emotions ni mbaya..
 
Ukiwa na mtaji wa 350k almost $150+ bac unaweza kutengeneza zaid ya 30k kwa siku, tafuta wataalamu wa crypto na forex ufundishwe huko ndo hela iko utakuza capital yako mpaka utashangaa cha msing tu usiwe na tamaa sana na uwe na risk management tena saivi kama ukitrade v75 kama unaijua vizuri bac kwa cku unaingiza hela ambazo hukuwai kuzania kama utaingiza per day hii kutokana na mtaj wako
v75 [emoji23][emoji23][emoji23] hii pair ukigeuza shingo kwa Dakika tano tu kama hauna RM unakuta majivu kwenye Account.

Ila inapesa balaa...
 
Nimesoma thread na kupitia comments za wachangiaji wote.nimecopy baadhi ya comments hizi kwangu zishakuwa wazo la biashara kabisa.
JF imewahi nipa mawazo mawili ya biashara: biashara mojawapo ni hii ya icecream ,nikatarget eneo la shule nikamuweka wife akomae nayo.Nilimchukulia machine ile na freezer.wife anaitwa mama cone sasa hivi ananishukuru sana 20-25 faida analaza,tunampango wa kuitanua zaidi.hizi biashara za kipuuzi watu wanaziona zina pesa nyingi sana na unaweka mtaji mdogo sana kinachotakiwa ni kukaza sana

Mkuu Manengelo huwa nafatilia sana harakati zako na comments zako kwenye nyuzi tofauti ,nitakuja huko uliko niangalie upopo ukoje kwani kuna classmate wangu primary yuko huko anafanya kama unachofanya huko
 
Nimesoma thread na kupitia comments za wachangiaji wote.nimecopy baadhi ya comments hizi kwangu zishakuwa wazo la biashara kabisa.
JF imewahi nipa mawazo mawili ya biashara: biashara mojawapo ni hii ya icecream ,nikatarget eneo la shule nikamuweka wife akomae nayo.Nilimchukulia machine ile na freezer.wife anaitwa mama cone sasa hivi ananishukuru sana 20-25 faida analaza,tunampango wa kuitanua zaidi.hizi biashara za kipuuzi watu wanaziona zina pesa nyingi sana na unaweka mtaji mdogo sana kinachotakiwa ni kukaza sana

Mkuu Manengelo huwa nafatilia sana harakati zako na comments zako kwenye nyuzi tofauti ,nitakuja huko uliko niangalie upopo ukoje kwani kuna classmate wangu primary yuko huko anafanya kama unachofanya huko
UMEWEKA POROJO NYINGI SANA MKUU,
ILA CONCERN YAKO I HIYO PARAGRAPH YA MWISHO.

AMEKUSIKIA,
VERY SOON ANAKUJA KUKUPA MWONGOZO!!!
 
Biashara nyngne inayolipa ni sales, nunua pikipiki yako then chukua Bidhaa kutoka kwenye maduka ya jumla zungusha mtaani, 30k faster tu, kama mtaji unaruhusu nunua kirikuu minimum profit apo 50k, ushawahi kujiuliza why hiz selling companies inakikirikuu tu na mtaji usiozidi 10m lakn wanamlipa salesperson 400k, wana HR, accountants,managers, madepartments kibao na wanawalipa handsomely, they pay bills kama rent kwa mamilion ya hela kwa hicho hicho kikirikuu?
Mkuu hebu elezea vizuri kuhusu hii
 
Fungua banda la chipsi kama la Zero IQ

usiuze chipsi kizungu uza chipsi kiswahili swahili

chipsi kavu 1000 chips mayai 2000

mteja akija na buku 1800 akakuomba umpe chips mayai kapungukiwa 200

usikatae chukua hela mtengenezee chipsi yai yake..

Hakikisha hupimi chipsi nyingi kachumbari ndio iwe nyingi chipsi kidogo tu

Mishkaki uza sh 300 usiuze mishkaki mibaya itengeneze vizuri ila usikate mikubwa

finyango za 300 zinajulikana...

Kwa siku utachezea faida 30k kwenda mbele siku zingine hutojua hela zimetoka wapi

kwa jinsi utavyokua ukihesabu mpk kujikuta umeingiza 80k(siku za kismati hizi wateja wakishakuelewa)
Mkuu coment zako nazielewaga kichizi yan....una kitu kama saikolojia ya biashara hv,big up sn ka' mkubwa
 
- So far narecommend tumia pepperstone broker

- Deposit kwa credit card (ABC Bank au Equity) direct inakata, within 2 minutes

- Withdraw direct to credit card (ABC Bank) , inachukua siku 2 - 3

- Mpesa option ishakua kimeo mpk hapo watakapo resolve na BoT. Lini hatujui
Mambo vipi mkuu Sniper,

Bank ya Equity kwenda Skrill inagoma. Ila nikituma wire transfer moja kwa moja pepperstone itaenda? Equity wana credit card au hizi hizi debit unamaanisha zinapokea pesa from abroad?

Na Bank ABC napo hali ikoje. Sina account ABC ila nina friend pale anafanya kazi.
Ikiwezekana iwe tu wire transfer moja kwa moja kwa broker na kutoa hivyo hivyo one way ije kwenye account yangu.

Naomba ufafanuzi please.
 
Hakuna chenye faida kama Guest house.Tatizo ni mtaji tu...
Nimebadilisha nyumba ya kupanga (ya urithi)ikawa guest house.Ilikua na room 12.Mbovu mbovu tu.kwa siku nilikua napata zaidi ya 90k.Saiv nimekarabati naingiza zaidi.Nina mpango wa kujenga ingine
Mtaji ni milioni ngapi kujenga guest
 
Hapo chini gawanya kwa siku 31 za August. Halafu hiyo ofisi moja ziko tatu hizo zenye performance inayo karibiana. Uzuri ni kwamba hizi wala hazina kazi nimechanganya na stationeries zinaingiza zaidi kuliko hizo kila moja.View attachment 1247447
Biashara hii imeshachuja ila watu Bado wanaendelea kukaririshana kwamba inalipa.
Labda inaowalipa ni wale wanaoifanya hii biashara kwenye maeneo maalum Kama kwenye stendi kubwa,kwenye malls Kama millennium tower,mlimani city,Kibo complex,Ubungo plaza coz sehem hizo Kuna mkusanyiko wa watu wanaofanya transactions kubwa.
 
@PTER,Hii awamu biashara imekuwa ngumu Sana..Kama huku tunakotegemea uvuvi yaan raia hawana hela Kama zaman..DAMN
Kwa Nini mkuu hela haipatikani kwenye uvuvi wakati samaki wapo tu kila siku baharini na wametengenezwa na mungu?
 
Back
Top Bottom