Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawapendi kuwa wasiri mkuu, kusema ulitoa kafara flani sio jambo rahis kulitangaza
Kwenye porojo hata mimi naweza kuingiza laki 7 kwa siku. Achana na huyo comedian
Nimesoma comment zote kikubwa nilichogundua ambacho inaweza kuwa ni changamoto ni hii kauli kuwa " wew mwenyewe ndo uwe unafanya hyo kazi" yaani isiwe umeajiri mtu. Sasa kwa wanaokaa maofisin na wanamtaji wao watafanyaje
Ule mdogo wenye maringi ya baiskeli 100,000/=Me roughly kama sijakosea unacost 150,000~200,000 kutengeneza
Hahaha.....Sawa! Basi unaish kama malaika wewe[emoji2][emoji2]
poa poa mkuu, karibuAisee kongole kwako, hapo kwenye kuacha kazi wengi huona ngumu.
Mr. nitakutafuta
Hakuna sehemu kasema profit ya 200K na biashara ya kuuza vitu vya kula ili upate hiyo unahitaji mtaji wa zaidi ya 50mil kumbuka faida yake ni 1000 kwa mfuko au ndoo ya mafutaKuna jamii fulani iliwah sikika kuwa kipindi hiki cha Magu hakuna biashara unayomake profit ya 200k!..labda ww unatokea Mars mkuu!hongera zako
Ule mdogo wenye maringi ya baiskeli 100,000/=
Ule mkubwa wenye matairi ya gari 300,000/=
Kuna mama hapa moro ana hotel na maeka mengi ya maembe..huwa anakausha maembe then kipindi cha kiangzi anaanza kusaga juice ya embe..ila huwa mbayaaa!ladhaless! Ila anauza coz anauzia wasafiri hasa wa dar-dom!
Rudia tena mkuu, maziwa na samaki unanunua wapi?Nimewahi kutoa uzi kuhusu samaki na maziwa. Miminatumia mtaji wa 60000 kwa siku usafiri 4000 nakunja 33000 kwa siku kama faida
Mkuu umeelezea biashara hii kule mwanzo na kuweka attachment ya karatasi ya kuandikwa kwa mkono. Zile namba ni hela ya mtaji au ndio faida kwa mwezi. Naomba unifafanulie, nimehamasika sana na wewe.Mzunguko mtu mkuu, tena hapo nilikuwaga wateja wa voda nawakataa wanaoutuma mbali. Ila mwezi huu sichague muamala yesterday night niliacha above hizo figure na hata tigo ziko over 500k karibu katika ofisi zangu zote. Tunapeana hamasa ili muamasike na mchukue hatua.View attachment 1248914
mchawi location mkuu, mimi kuna naemfahamu anaingiza tigopesa pekee hadi M, na yupo kwenye banda tu