kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,500
- 5,164
SahihiMkaruka
Shida hata ukimshirikisha mtu, huyo ndio anakuwa wa kwanza kukupiga vita usiendelee, ndio maana wengi wanakuwa wasiri kwenye mambo yao.
Tuendelee tu kuchangia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SahihiMkaruka
Shida hata ukimshirikisha mtu, huyo ndio anakuwa wa kwanza kukupiga vita usiendelee, ndio maana wengi wanakuwa wasiri kwenye mambo yao.
Tuendelee tu kuchangia.
Kwa bajaji sina wasiwasi,ila kwa hizi za miguu miwili sidhani.Pikipiki nayo ijua Mimi au unaongelea zile bajaj za miguu mitatu
umetisha mkuuMtaji kuanzia laki moja na kuendelea ndo itakuwa fresh, lakini mimi nilianza na tsh 30k saiv naona faida hata ya 25k, had 50k siku nyingine kama faida.
Hapa parcel moja nauza tsh 2000 ..nikiwa na parcel 50 tu nikipita ofisi tano zinaisha zote..
Hili hii biz ..pia ongezea na value kidogo, yani kuwa mchangamfu, mchekeshaji hehehe hukosi wateja..
Wanaotafuta Ajira achezi kupoteza Muda hakuna ajira kwa sasa ila kazi zipo za kufanya. Ondoa aibu, mimi nakutana na wenzangu niliomaliza nao chuo, wapo tu eti wamejishkiza, kimshara chenyewe 3k,4k,5k, ukiotea sehemu nzuri ndo 10k hapo ujala, nauli, hujui ni lini utapata kazi ya kueleweka..
Nimegundua Kwamba watu ambao "hawajasoma" wanaingiza pesa nzuri sana kwa sababu hawana cha kupoteza. Wenzangu na mie wenye vi Degree vyetu tunachagua kazi za kufanya..
Mithali 10:4
3,000 4,000. 5,000Hizo 3k, 4k na 5k umemaanisha nini mkuu?
Ukipata jibu naomba uni tagMimi nafanya biashara ya mitandio na vijora nanunua dar napeleka mkoani....huwa nanunua mitandio mikubwa kkoo yale maduka ya nje kwa Bei ya 8000 na midogo kwa 7000.
Ila kuna mtu ameniambia kuna chimbo apo kkoo ambapo hao jamaa wanaoniuzia kwa 8000 wao ndo wanaenda kununua kwa Bei ya jumla...
Naombeni msaada wenu mnielekeze Kwenye hilo chimbo la mitandio Mana naskia Kwenye hlo chimbo ni Bei Chee tuu.
Ukinunua hiyo bei unauza bei gani?Mimi nafanya biashara ya mitandio na vijora nanunua dar napeleka mkoani....huwa nanunua mitandio mikubwa kkoo yale maduka ya nje kwa Bei ya 8000 na midogo kwa 7000.
Ila kuna mtu ameniambia kuna chimbo apo kkoo ambapo hao jamaa wanaoniuzia kwa 8000 wao ndo wanaenda kununua kwa Bei ya jumla...
Naombeni msaada wenu mnielekeze Kwenye hilo chimbo la mitandio Mana naskia Kwenye hlo chimbo ni Bei Chee tuu.
Mikubwa mkopo 10,000 na cash 9,000Ukinunua hiyo bei unauza bei gani?
Kabisa unaweza kujiunga na restaurants ukawa unasaidia delivery door to door..Wakuu wajuzi wa akili
Inamaana biashara ya bodaboda tofauti na kukaa kijiweni na kusubiria abria Kuna kingine unaweza ifanyia na ikaingiza kipato ?
Kuna ule uzi wa 'wafanyabiashara wa mikoani wanaochukua bidhaa.......' em jaribu kuutafta utapata kila kitu humoMimi nafanya biashara ya mitandio na vijora nanunua dar napeleka mkoani....huwa nanunua mitandio mikubwa kkoo yale maduka ya nje kwa Bei ya 8000 na midogo kwa 7000.
Ila kuna mtu ameniambia kuna chimbo apo kkoo ambapo hao jamaa wanaoniuzia kwa 8000 wao ndo wanaenda kununua kwa Bei ya jumla...
Naombeni msaada wenu mnielekeze Kwenye hilo chimbo la mitandio Mana naskia Kwenye hlo chimbo ni Bei Chee tuu.
Fanya delivery ya bidhaa.Wakuu wajuzi wa akili
Inamaana biashara ya bodaboda tofauti na kukaa kijiweni na kusubiria abria Kuna kingine unaweza ifanyia na ikaingiza kipato ?
Mkuu uliwithdraw?Mkuu tengeza hell acha maneno mingi,checking earning inazidi kupanda,ikifika dola250,na cash in ,ntaleta mrejesho Kama nimepigwa ama vipi,
View attachment 1450753
InfluencersEarn – Make Money with Social Media
Wale washenzi sana,nawadai dola 2000,ukitaka kutoa inagoma...Mkuu uliwithdraw?
Hahah ulikuwa unaambiwa unapigwa ukawa unabisha kinoma...walivo wajinga wanakuwekea min kuwithdraw ni 250$ ukifikisha wanakuambia 500$ ukifikisha inaongezeka tena.Wale washenzi sana,nawadai dola 2000,ukitaka kutoa inagoma...