Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Mtaji kuanzia laki moja na kuendelea ndo itakuwa fresh, lakini mimi nilianza na tsh 30k saiv naona faida hata ya 25k, had 50k siku nyingine kama faida.
Hapa parcel moja nauza tsh 2000 ..nikiwa na parcel 50 tu nikipita ofisi tano zinaisha zote..

Hili hii biz ..pia ongezea na value kidogo, yani kuwa mchangamfu, mchekeshaji hehehe hukosi wateja..

Wanaotafuta Ajira achezi kupoteza Muda hakuna ajira kwa sasa ila kazi zipo za kufanya. Ondoa aibu, mimi nakutana na wenzangu niliomaliza nao chuo, wapo tu eti wamejishkiza, kimshara chenyewe 3k,4k,5k, ukiotea sehemu nzuri ndo 10k hapo ujala, nauli, hujui ni lini utapata kazi ya kueleweka..

Nimegundua Kwamba watu ambao "hawajasoma" wanaingiza pesa nzuri sana kwa sababu hawana cha kupoteza. Wenzangu na mie wenye vi Degree vyetu tunachagua kazi za kufanya..

Mithali 10:4
umetisha mkuu
 
Mimi nafanya biashara ya mitandio na vijora nanunua dar napeleka mkoani....huwa nanunua mitandio mikubwa kkoo yale maduka ya nje kwa Bei ya 8000 na midogo kwa 7000.

Ila kuna mtu ameniambia kuna chimbo apo kkoo ambapo hao jamaa wanaoniuzia kwa 8000 wao ndo wanaenda kununua kwa Bei ya jumla...

Naombeni msaada wenu mnielekeze Kwenye hilo chimbo la mitandio Mana naskia Kwenye hlo chimbo ni Bei Chee tuu.
 
Mimi nafanya biashara ya mitandio na vijora nanunua dar napeleka mkoani....huwa nanunua mitandio mikubwa kkoo yale maduka ya nje kwa Bei ya 8000 na midogo kwa 7000.

Ila kuna mtu ameniambia kuna chimbo apo kkoo ambapo hao jamaa wanaoniuzia kwa 8000 wao ndo wanaenda kununua kwa Bei ya jumla...

Naombeni msaada wenu mnielekeze Kwenye hilo chimbo la mitandio Mana naskia Kwenye hlo chimbo ni Bei Chee tuu.
Ukipata jibu naomba uni tag
 
1241 Ndio comment ya mwisho. Hongera sana kwa wote munao share maarifa ili wengine tuone nini cha kufanya. Naomba tuendelee kuja na mawazo mengi huku tukikumbuka kwenda kupiga kura tarehe 28/10/2020
 
Mimi nafanya biashara ya mitandio na vijora nanunua dar napeleka mkoani....huwa nanunua mitandio mikubwa kkoo yale maduka ya nje kwa Bei ya 8000 na midogo kwa 7000.

Ila kuna mtu ameniambia kuna chimbo apo kkoo ambapo hao jamaa wanaoniuzia kwa 8000 wao ndo wanaenda kununua kwa Bei ya jumla...

Naombeni msaada wenu mnielekeze Kwenye hilo chimbo la mitandio Mana naskia Kwenye hlo chimbo ni Bei Chee tuu.
Ukinunua hiyo bei unauza bei gani?
 
Wakuu wajuzi wa akili
Inamaana biashara ya bodaboda tofauti na kukaa kijiweni na kusubiria abria Kuna kingine unaweza ifanyia na ikaingiza kipato ?
 
Mimi nafanya biashara ya mitandio na vijora nanunua dar napeleka mkoani....huwa nanunua mitandio mikubwa kkoo yale maduka ya nje kwa Bei ya 8000 na midogo kwa 7000.

Ila kuna mtu ameniambia kuna chimbo apo kkoo ambapo hao jamaa wanaoniuzia kwa 8000 wao ndo wanaenda kununua kwa Bei ya jumla...

Naombeni msaada wenu mnielekeze Kwenye hilo chimbo la mitandio Mana naskia Kwenye hlo chimbo ni Bei Chee tuu.
Kuna ule uzi wa 'wafanyabiashara wa mikoani wanaochukua bidhaa.......' em jaribu kuutafta utapata kila kitu humo
 
Wale washenzi sana,nawadai dola 2000,ukitaka kutoa inagoma...
Hahah ulikuwa unaambiwa unapigwa ukawa unabisha kinoma...walivo wajinga wanakuwekea min kuwithdraw ni 250$ ukifikisha wanakuambia 500$ ukifikisha inaongezeka tena.

inshort hakuna hela ila unakuwa umewapigia kazi kubwa sana ya advertisement.
Nikianzisha kampuni hapa bongo ntatumia hiyo njia kuadvertise naweka hela in Tzsh.
 
Back
Top Bottom