Kama unaishi kwa shemeji yako Uwe KE au ME wewe ni mke mdogo wa shemeji yako

Kama unaishi kwa shemeji yako Uwe KE au ME wewe ni mke mdogo wa shemeji yako

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Dada yako akitimuliwa na wewe umetimuliwa tu.

Dada yako akipelekewa moto ukawa unasikia kitanda kinapoga kelele asubuhi huwa mnaangaliana usoni kweli?nakuuliza wewe kijana wa kiume unayeishi kwa shemeji

Mashemeji KE wengi wanaliwa na mashemela wao.

Tokeni hapo kwa shemeji zenu,mnaweka jam
 
Ni ghetto langu tu linalawzuzua maduu, libalonipaisha juu, K nyama mpaka East Zuu😅
FB_IMG_16669986401277002.jpg
 
Dada yako akitimuliwa na wewe umetimuliwa tu.

Dada yako akipelekewa moto ukawa unasikia kitanda kinapoga kelele asubuhi huwa mnaangaliana usoni kweli?nakuuliza wewe kijana wa kiume unayeishi kwa shemeji

Mashemeji KE wengi wanaliwa na mashemela wao.

Tokeni hapo kwa shemeji zenu,mnaweka jam
[emoji23][emoji23][emoji23]Kitaa kigumu mkuu, wacha tu tubanane kwa kweli. Uzi umekaaa kigaidi kwa kweli. Usimfukuze shemeji yako hapo kwako
 
Uzuri wa JF Ni kwamba wana JF wote hawajawahi kukaa kwa mashemeji zao/kusaidiwa na mashemeji zao.

Unaweza ukadhani members wa JF sio hawa hawa tunaoishi nao huku mtaani,labda Ni aliens flani hivi.
Usichanganye kusaidiwa na kuishi,jasalimie siku mbili rudi kwenu,kukaa kwa shemeji ni kukubali kuolewa wewe na dada yako
 
Back
Top Bottom