Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaeza hisi jf ni nchi kabisa na ina raisi wake na serikali yake tofauti na hii ya tzUzuri wa JF Ni kwamba wana JF wote hawajawahi kukaa kwa mashemeji zao/kusaidiwa na mashemeji zao.
Unaweza ukadhani members wa JF sio hawa hawa tunaoishi nao huku mtaani,labda Ni aliens flani hivi.
Silijui hilo mkuuKwani hulijui hilo .JF ni jamii ya kufikirika forum,
Kawafuate sasaMchanganyiko,mi ningewagongq hao mabinti wote maana ni visu hatari
Sina ela, sina kazi.Nenda ukapange
Motivational speakers banaUsichanganye kusaidiwa na kuishi,jasalimie siku mbili rudi kwenu,kukaa kwa shemeji ni kukubali kuolewa wewe na dada yako
Wewe jamaa.Dada yako akitimuliwa na wewe umetimuliwa tu.
Dada yako akipelekewa moto ukawa unasikia kitanda kinapoga kelele asubuhi huwa mnaangaliana usoni kweli?nakuuliza wewe kijana wa kiume unayeishi kwa shemeji
Mashemeji KE wengi wanaliwa na mashemela wao.
Tokeni hapo kwa shemeji zenu,mnaweka jam
Sawa ila hapa sihami saiviPambana mkuu utafanikiwa tu
Nimecheka kweli.Halafu Hilo jitu muda wote liko kwenye TV hata alijiongezi hata kusaidia kazi hapo nyumbani.Ahaaa inakera kweli jitu lipo kwa shemeji yake linalala sebuleni
Na jamaa siku hiyo anakomoa kabisa mpk manzi apige keleleKuna jamaa yangu miaka hiyo alimtembelea dada yake aliyeolewa na jamaa. Walikuwa wamepanga chumba kimoja kikubwa, sehemu ya kulala ilitenganishwa na pazia.
Sasa usiku shemeji akaanza kumpelekea moto dada, miguno na chaka kupiga kelele ilibidi jamaa asubuhi aage na lengo lilikuwa kukaa kama siku angalau tatu.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Duh!Kila mtu akiambiwa arudi kwao ,baba yako ndio anatakiwa akupishe hapo aende kwa babake na wewe ubaki hapo so relax
Kweli kabisa. Maana hataki kulea mtu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na jamaa siku hiyo anakomoa kabisa mpk manzi apige kelele