Kama unajijua hauko vizuri Kichwani usipende sana kuvalia Suti kwani unaidhalilisha

Kama unajijua hauko vizuri Kichwani usipende sana kuvalia Suti kwani unaidhalilisha

Ni amri kutoka juu, hapa ndipo ninashindwa kuelewa thamani ya elimu ya wasomi wetu kama hawawezi kusimamia wananachokiamini.
Thamani ya elimu pia huanza kuhojiwa kwa mtu mmoja mmoja pale mtu anapohitimisha kitu ambacho kiukweli amekaa kwenye keyboard na kuamua kufanya hitimisho bila ushahidi wowote.
Hapa elimu yetu lazima tuihoji kwa nguvu zote ni wapi ina mapungufu.

Nafikiri wenye moral authority ya kuhoji elimu waachwe waihoji.
 
Hakuna ' Muumin ' mzuri wa Dini aliye ' bogus ' wa Kiwango kile. Na Mimi ' Kilio ' changu ni kutuvalia ' Suti ' leo kisha kutuaminisha jambo fulani halafu hata Saa 24 hazijapita unakuja tena na ' Suti ' nyingine kutuomba radhi na ' midevu ' iliyosimama vibaya utafikiri mchicha mbichi.
Kwa hiyo "amekengeuka"
 
Mimi nachojua ...aliyevaa suti akaongea ukweli hana makosa isipokuwa mwenye makosa ni muhutu aliyemwambia yule msela abadilishe kauli.
 
hahaaa"" hao ndio viongozi wa serikali yako walivyo "" sema yule Jamaa unamtuhumu bure tu "" yule ametishiwa maisha sio kama alipenda""kufnya vile"" AMEJIKUTA ANALAZIMIKA KUUTENGENEZA UWONGO NA KUUVISHA TASWIRA YA UKWELI """''
hiii nchi inavituko sana aiseee""" ingekuwa ninchi ya watu wanaojielewa yule hakupaswa kuwa kazini aisee"" alipaswa kujiudhuru
 
Lijitu zima kabisa linatoka kwake Mkewe na Watoto wake wanamuona kabisa jinsi alivyounyuka / alivyopendeza na Vazi lenye ' heshima ' kubwa duniani na nahisi hata huko Mbinguni pia la ' Suti ' halafu anatuaminisha kwa ' ujumbe ' wake ambao pengine alikuwa nao mwezi mzima halafu hapo hapo hata Saa 24 hazijapia ' Jitu ' hilo hilo hata ' aibu ' halina linakuja kutuomba radhi kwa ' ujumbe ' wake wa Kitango Pori ( Uwongo ) huku ' likiwa ' limevaa ' Suti ' nyingine.

Ombi kama unajijua hauna ' akili ' sawa sawa acha kulidhalilisha ' Vazi ' linaloheshimika la Suti. Halafu tujitahidi pia na kunyoa ndevu zetu au kuzifanyia ' ukarabati ' kidogo ili ziendane na ' hadhi ' zetu.

Naomba niishie hapa tafadhali.

Nawasilisha.
GENTAMYCINE kwa sehemu kubwa hawa wakubwa wanaandikiwa hotuba, hata ripoti huandaliwa. Kwa mazingira yalivyo sasa, kuna uwezekano mkubwa watu wakachomeka mambo yao (si unajua chagaa walivyo sasa). Na ndiyo maana mimi huwa sipendi kuletewa hotuba yangu mwisho mwisho, huwa nataka ije mapema niisome nione kama ina leta maana. Ripoti huwa sipendi ije mwisho, lazima niisome nione kama inaleta maana, na siyo kuwa na vifungu vya kuchomeka chomeka. Unakumbuka Bloomberg, mbona nao hivyo hivyo walikosea.
 
GENTAMYCINE kwa sehemu kubwa hawa wakubwa wanaandikiwa hotuba, hata ripoti huandaliwa. Kwa mazingira yalivyo sasa, kuna uwezekano mkubwa watu wakachomeka mambo yao (si unajua chagaa walivyo sasa). Na ndiyo maana mimi huwa sipendi kuletewa hotuba yangu mwisho mwisho, huwa nataka ije mapema niisome nione kama ina leta maana. Ripoti huwa sipendi ije mwisho, lazima niisome nione kama inaleta maana, na siyo kuwa na vifungu vya kuchomeka chomeka. Unakumbuka Bloomberg, mbona nao hivyo hivyo walikosea.

Mkuu kumbe na Wewe ni mmoja wa Viongozi wakubwa tu hapa nchini na Serikalini? Nimefurahi sana leo kufanya ' interaction ' hii nawe kwani naamini pengine na Mimi naweza ' Kubarikiwa ' basi siku moja niweze kuwa ' Kiongozi ' wa Kiserikali kama Wewe.
 
Mkuu,huku usukumani unaweza kuta m2 amevaa suti halafu anatembea anakula muwa au mahindi ya kuchoma tuliozowea hatushangai!
 
Back
Top Bottom