Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Au sio🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mtu aliwahi nambia ukienda makumbusho utajikuta unakodolea macho watu, hiyo siku nkawaka na kusepea hapo maeneo, cha ajabu wao wakawa wananikodolea mie macho, afu cna habariii.
Aiseee kule paaache ni moto wa kuotea mbali afu hamna kazi mbovu zote zinang'aaaHata mliman city
Mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmm[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mtu aliwahi nambia ukienda makumbusho utajikuta unakodolea macho watu, hiyo siku nkawaka na kusepea hapo maeneo, cha ajabu wao wakawa wananikodolea mie macho, afu cna habariii.
Ulikuwa kituko maybe [emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mtu aliwahi nambia ukienda makumbusho utajikuta unakodolea macho watu, hiyo siku nkawaka na kusepea hapo maeneo, cha ajabu wao wakawa wananikodolea mie macho, afu cna habariii.
hta weweMawasiliano nakubali kuna pisi nyingi za UDSM... full shingo kuuma kwa kugeuza kuangalia misambwanda!
Na mimi nina macho mkuu! Kwanini nisiangalie uumbaji wa Mungu.hta wewe
hahah nzuri hii hta ukiongozana na mwenzio wivu hamna hapo maana unamuondolea hfu ya kugeuka peke yke huku umemtolea jchoNa mimi nina macho mkuu! Kwanini nisiangalie uumbaji wa Mungu.
Basi ww ni pisikali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mtu aliwahi nambia ukienda makumbusho utajikuta unakodolea macho watu, hiyo siku nkawaka na kusepea hapo maeneo, cha ajabu wao wakawa wananikodolea mie macho, afu cna habariii.
Ipi?Wewe tulia makumbusho yenye pisi kali ipo moja tu
Kumbe huyu ni dume!Mawasiliano nakubali kuna pisi nyingi za UDSM... full shingo kuuma kwa kugeuza kuangalia misambwanda!
AiseeMakumbusho nimefika sana sijaona mahandsome, wengi ni wakaka wanaotikisa makalio na walojichubua.
Kuna baadhi wapo wanapiga kazi Mungu awabariki bila kuwasahau wakaka wanaouza popcorn.
Tayari nshakutumiaa.Utakua pisi haswaaNitumie kapicha basi dm
Ndyooo [emoji23][emoji23][emoji23]Au sio[emoji1787][emoji1787]
Acha kuchafua uzi na fikra zako za kijinga.Nikung'ate sikio kidogo, wengi pale ni wafirwaji ili watambe mjini kwa kupewa vi crown na wavizia wanawake wenye pesa. Ulaji wao mara nyingi ni chips kwa kushea sahani moja