cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Kwemaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwemaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmm
Tenaa haswaa nlikua kituko, [emoji23][emoji23][emoji23]Ulikuwa kituko maybe [emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inategemea na macho ya ntu na ntu.Basi ww ni pisikali
Nimechekaaa hadi machoziii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikung'ate sikio kidogo, wengi pale ni wafirwaji ili watambe mjini kwa kupewa vi crown na wavizia wanawake wenye pesa. Ulaji wao mara nyingi ni chips kwa kushea sahani moja
Hii haitubusu sisi Masenior.Makumbusho ukikaa masaa 2 lazima shingo ikuume kugeuka geuka kila dakika aisee hiki kutuo kimejaa maua balaa
Kama unajiona umetupia umenyooka kinoma ukifika hapa unajiona mshamba tu.
Shkamoo makumbusho
mademu wambinga hamna urembo wowote sura mbaya mavazi ndio yanawafanya mjulikane kua niwakike ila mnavyo ringa mobeto akasome.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inategemea na macho ya ntu na ntu.
🤣 🤣 🤣 dahPengine ni mawasiliano...
Huyo dem ako akikusumbua kakae hizo stendi mbili. Utagundua unateswa na karunguyeye...
Acha masihara[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mtu aliwahi nambia ukienda makumbusho utajikuta unakodolea macho watu, hiyo siku nkawaka na kusepea hapo maeneo, cha ajabu wao wakawa wananikodolea mie macho, afu cna habariii.
Sasa kwanini ugeuke uwaangalie wenye misambwanda wakati wewe ni binti. Au ulimaanisha kwa wanaume ndio wanageuka .maana mwanamke hawezi kumshangaa wala kugeuka kumuangalia mwanamke mwenzake hata awe amejaaliwa vipi uumbaji wake.vivyo hivyo kwa mwanaume hawezi akaanza kumsifia mwanaume mwenzake kuwa sijuwi kapendeza .hilo ni jambo lisilowezekana hata kidogo na wala haliji kabisa akilini.Mawasiliano nakubali kuna pisi nyingi za UDSM... full shingo kuuma kwa kugeuza kuangalia misambwanda!
Harafu ukishakuwa handsome, na mzuri,kinachofuata nini?Makumbusho ukikaa masaa 2 lazima shingo ikuume kugeuka geuka kila dakika aisee hiki kutuo kimejaa maua balaa
Kama unajiona umetupia umenyooka kinoma ukifika hapa unajiona mshamba tu.
Shkamoo makumbusho
Mimi huwa nageuka Luca! Kuna wanawake Mungu kawapendelea walivyoumbwa kama Malaika.Sasa kwanini ugeuke uwaangalie wenye misambwanda wakati wewe ni binti. Au ulimaanisha kwa wanaume ndio wanageuka .maana mwanamke hawezi kumshangaa wala kugeuka kumuangalia mwanamke mwenzake hata awe amejaaliwa vipi uumbaji wake.vivyo hivyo kwa mwanaume hawezi akaanza kumsifia mwanaume mwenzake kuwa sijuwi kapendeza .hilo ni jambo lisilowezekana hata kidogo na wala haliji kabisa akilini.
Amini ya kuwa wewe ni mzuri na Mrembo sanaa uliyependelewa na Mungu.Mimi huwa nageuka Luca! Kuna wanawake Mungu kawapendelea walivyoumbwa kama Malaika.
Mimi kua mwanamke haimaanishi sioni uzuri wa wengine
DIRIMULAINA
Tembeaga njiani uulizage mpaka unafika.Mimi sijawahi fika makumbusho nani anipeleke nikajionee 😂😂
Uko wapi mrembo twende tukashuhudie hayo mapambo ya duniaMimi sijawahi fika makumbusho nani anipeleke nikajionee 😂😂
Yeah Mungu kanipendelea na ndio maana nina macho sio kipofuAmini ya kuwa wewe ni mzuri na Mrembo sanaa uliyependelewa na Mungu.