Kama unajiona mrembo sana hujafika makumbusho wewe kama unajiona handsome sana hujafika makumbusho wewe?

Kama unajiona mrembo sana hujafika makumbusho wewe kama unajiona handsome sana hujafika makumbusho wewe?

Nasikitika sana HAKUNA aliyeitaja MWENGE kama MWENGE... huo ukanda wa kuanzia MCITY kusogea MPAKANI mpka MWENGE sasa hapo MWENGE kuna maduka kwa nyuma njia ya JAMIREX hapo.. KULAAANINA. Makumbusho wakasome..

Mwenge kwa mbele kutoka sheli ya Oryx kusogea mpk Mwenge Mataa... kuna balaa sio kdg hapo

Warembo wanafanya shopping ya viatu na pochi za bei kitonga..

Makumbusho ni kwel kuna maajabu ila MWENGE ndio funga kazi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inategemea na macho ya ntu na ntu.
mademu wambinga hamna urembo wowote sura mbaya mavazi ndio yanawafanya mjulikane kua niwakike ila mnavyo ringa mobeto akasome.

mnapenda vijembe mumewarisisha hadi kakazenu mkizinguliwa kidogo mnaanza kuimba taarabu zamichambo
 
Mawasiliano nakubali kuna pisi nyingi za UDSM... full shingo kuuma kwa kugeuza kuangalia misambwanda!
Sasa kwanini ugeuke uwaangalie wenye misambwanda wakati wewe ni binti. Au ulimaanisha kwa wanaume ndio wanageuka .maana mwanamke hawezi kumshangaa wala kugeuka kumuangalia mwanamke mwenzake hata awe amejaaliwa vipi uumbaji wake.vivyo hivyo kwa mwanaume hawezi akaanza kumsifia mwanaume mwenzake kuwa sijuwi kapendeza .hilo ni jambo lisilowezekana hata kidogo na wala haliji kabisa akilini.
 
Makumbusho ukikaa masaa 2 lazima shingo ikuume kugeuka geuka kila dakika aisee hiki kutuo kimejaa maua balaa

Kama unajiona umetupia umenyooka kinoma ukifika hapa unajiona mshamba tu.

Shkamoo makumbusho
Harafu ukishakuwa handsome, na mzuri,kinachofuata nini?
Benk una akiba ya, Tsh ngapi? Una, assets zipi? Unaishi, kwenye nyumba gani?
Hapo ulipo ukiombwa milioni 5 fasta fasta, unayo?
Kipindi hiki cha mwezi, mtukufu wa ramadhan,na kwaresma, umefsnya matendo gani ya huduma? Umeishawahi, hata kutoa sadaka, 200K, kwa, kituo cha yatima?
Au kwako kuishi, ni ngono, kulala ni ngono! The big thing about ur life ni ngono, iphone, ka ist!
Watu tunawaza jinsi ya kutumia AI kuanzisha kutengeneza ajira, kwenye viwanda na kilimo, ili kila mtoto wa bongo apate ajira,
Ma zwazwa, wanajivunia vi ajira vyao,na mishahara ya, 1.5M+vigari ist, vitz,iphone, kupiga pamba za makumbusho na sinza,
Ngono, kitimoto, wenye akili tupo tunatemgeneza ukwasi 500Milioni +
 
Sasa kwanini ugeuke uwaangalie wenye misambwanda wakati wewe ni binti. Au ulimaanisha kwa wanaume ndio wanageuka .maana mwanamke hawezi kumshangaa wala kugeuka kumuangalia mwanamke mwenzake hata awe amejaaliwa vipi uumbaji wake.vivyo hivyo kwa mwanaume hawezi akaanza kumsifia mwanaume mwenzake kuwa sijuwi kapendeza .hilo ni jambo lisilowezekana hata kidogo na wala haliji kabisa akilini.
Mimi huwa nageuka Luca! Kuna wanawake Mungu kawapendelea walivyoumbwa kama Malaika.
Mimi kua mwanamke haimaanishi sioni uzuri wa wengine
 
Back
Top Bottom