Kama unajiona mrembo sana hujafika makumbusho wewe kama unajiona handsome sana hujafika makumbusho wewe?

Kitimoto muondoe hapo tafadhali.
 
Humu jamvin kuna watu mna vituko sana. Nimecheka balaa.
 
Makumbusho ukikaa masaa 2 lazima shingo ikuume kugeuka geuka kila dakika aisee hiki kutuo kimejaa maua balaa

Kama unajiona umetupia umenyooka kinoma ukifika hapa unajiona mshamba tu.

Shkamoo makumbusho
Nimeona huu uzi nimekumbuka mistari ya Jose Mtambo japo nyimbo siikumbuki jina

"Unajifanya bishoo umewaona Wakacha?"

Ila binafsi naona pisi ziko Posta, wazee posta nyokwe. Alafu zote sasa wanafunzi wa cbe, ifm, mwl nyerere, magogoni cha ma secretary, bado makazini mabenki mawizara, TRA, TPA, ma casino weee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…