Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Nilishawahi kuhonga sanduku la posta la ofisiImagine upewe yote, ufinyiwe kwa ndani alafu usitoe hela[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nyieee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilishawahi kuhonga sanduku la posta la ofisiImagine upewe yote, ufinyiwe kwa ndani alafu usitoe hela[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nyieee
Wallet cha mtoto unaweza kuhonga mpaka pesa ya jenezaHapo mwishoni ndo mwanzo wa kufilisika kwa wallet
Kama ni hivyo basi tuwe single mpk mwisho wa uzee[emoji16][emoji16]Ko mpenzi ndo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wa kutoa bure [emoji3]
Bure utapewa na mkeo
Aah kwanza hata kwe mke kwenyewe bado utatoa hela
Eeeeeh[emoji851]Wallet cha mtoto unaweza kuhonga mpaka pesa ya jeneza
😀😀😀😀😀ukaona liwalo na liweNilishawahi kuhonga sanduku la posta la ofisi
Kuweni tu kama ni rahisi 😀😀😀Kama ni hivyo basi tuwe single mpk mwisho wa uzee[emoji16][emoji16]
Nikawaambia ofisini lime expire[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ukaona liwalo na liwe
Sasa ulie muhonga akalifanyia niniNikawaambia ofisini lime expire[emoji23]
Hata me sirudi tena nakublock kabisa 😀Kuna Manzi mmoja nilikuwa nae siku nzima halaf mda wa kusepa niko-pause Kwanza nisikilizie daaaah kumbe napo kosa nikajikuta Niko single Tangu alivyotoa miguu magetoni.
Kama unajua unatembea na malayer kwa nini usitumie condom.. Unafurahia kuzalisha zalisha ovyo alaf ety na ww uitwe mwanaume kweli.Habari!
Kama kichwa kinavyosema.
Kama huwa unamlipa pesa kila mnapofanya mapenzi nj vyema ijulikane kuwa hiyo ni biashara kamili. Hata kama hakutajii kiwango rasmi au hakushikii badtola ili umlipe.
Kwa jina lolote lile iwe hongo, matunzo, nauli, ya kula, ya sabuni n.k maadamu tu inalipwa kila mnapofanya hiyo ni biashara.
Mapenzi sio kandambili kwamba zinaumia zenyewe tu kila uchwao.
Ikiingia mimba hayo ni matokeo ya biashara, mmoja akiambukizwa gono au VVU atulie tuli asimlaumu mwenzake.
MImba ni ya yule ambayo iko tumboni mwake .
BIashara haina neno kuachana. Mmoja akiona haina maslahi kwake anapotea na hapaswi kulaumiwa na mwingine.
Alitumwa akalipie akapata la bure, pesa sijui aliifanyia nini huko atajua mwenyeweSasa ulie muhonga akalifanyia nini
[emoji16][emoji16] nimejifunza kujiongeza kama uchumi mbovu Bora nivungeHata me sirudi tena nakublock kabisa [emoji3]
Aiseeee 😀😀😀😀Alitumwa akalipie akapata la bure, pesa sijui aliifanyia nini huko atajua mwenyewe
😀😀😀bora[emoji16][emoji16] nimejifunza kujiongeza kama uchumi mbovu Bora nivunge
Nimecheka ankalNilishawahi kuhonga sanduku la posta la ofisi