Kama unampa pesa kila mnapofanya mapenzi, hapo mimba ikiingia ni yake peke yake.

Ko mpenzi ndo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wa kutoa bure [emoji3]

Bure utapewa na mkeo

Aah kwanza hata kwe mke kwenyewe bado utatoa hela
Kama ni hivyo basi tuwe single mpk mwisho wa uzee[emoji16][emoji16]
 
Kuna Manzi mmoja nilikuwa nae siku nzima halaf mda wa kusepa niko-pause Kwanza nisikilizie daaaah kumbe napo kosa nikajikuta Niko single Tangu alivyotoa miguu magetoni.
 
Kuna Manzi mmoja nilikuwa nae siku nzima halaf mda wa kusepa niko-pause Kwanza nisikilizie daaaah kumbe napo kosa nikajikuta Niko single Tangu alivyotoa miguu magetoni.
Hata me sirudi tena nakublock kabisa πŸ˜€
 
Kama unajua unatembea na malayer kwa nini usitumie condom.. Unafurahia kuzalisha zalisha ovyo alaf ety na ww uitwe mwanaume kweli.
 
Hela ya mwanaume jamani ni tamu we ita utakavyopenda ila toa tu, hata kama anazo kukuzidi we mpege tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…