Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Ushauri Mzuri ila inahitaji uwe na Mzigo wa Kutosha.
-Kuchimba kisima chenye urefu wa mita 100 na kuendelea lazima uwe na atleast 8m kwa mfuko.
-Kupata umeme mwingi wa solar nayo atleast uwe na 3m.(Backup kubwa za Ritar , Panel Nzuri Mono za Sundar ,atleast ukiwa na 600N ,1000W Pannel na Inverter ya 1000W si mbaya)
Sasa mfano Kwa majiko ya umeme na fridge plus Tv ukiachana na taa inahitajika kama bei gani?Ushauri Mzuri ila inahitaji uwe na Mzigo wa Kutosha.
-Kuchimba kisima chenye urefu wa mita 100 na kuendelea lazima uwe na atleast 8m kwa mfuko.
-Kupata umeme mwingi wa solar nayo atleast uwe na 3m.(Backup kubwa za Ritar , Panel Nzuri Mono za Sundar ,atleast ukiwa na 600N ,1000W Pannel na Inverter ya 1000W si mbaya)
Yeye kwa hyo bei anachimba locally au?Mkuu niconection tu yupo mtu anakuchimbia kisima kwa million 2 na maji unayapata hyo 8 m ni ya wale wa machine kawachimbia watu wengi sana wanaenjoy tu full kumwaga maji yasiyo na bill unafunga waterpumb ya 1.5horse power
Ngoja tusubiri jibuYeye kwa hyo bei anachimba locally au?
Yeye kwa hyo bei anachimba locally au?
Yuko wapi?Ndio anachimba local na kira akifika tabaka fulan la udongo anapumb maji yanatoka nje anaendelea kuongeza kina had apate mkondo mkali wa maji na yakiyo clear
Huyu atakuwa Wa kuweka ring bila shaka tofauti ns huyo anaechimba kwa 8 million aliesema mdau King Kong III ambae kimsingi gharama ni kuchimba, mabomba pamoja na "water quality testing" toka ofisi ya bondeNdio anachimba local na kira akifika tabaka fulan la udongo anapumb maji yanatoka nje anaendelea kuongeza kina had apate mkondo mkali wa maji na yakiyo clear
Yuko wapi?
Mikoani anaenda?Huduma yake ni ya uhakika kawachimbia maboss wengi hapa mbeya anaemfahamu Kisangani yule mwenye anapangisha mabenk nyumba zake yeye ndo anamchimbiaga zile bank zinatumia maji ya mfumo huo kuanzia Kisangani ya Soweto walipopanga bima ,kabwe nmb ya mwanjelwa ,century plaza city pub
MKUU NISAIDIE HUYO MTU AKAFANYE KWANGUMkuu niconection tu yupo mtu anakuchimbia kisima kwa million 2 na maji unayapata hyo 8 m ni ya wale wa machine kawachimbia watu wengi sana wanaenjoy tu full kumwaga maji yasiyo na bill unafunga waterpumb ya 1.5horse power
Mikoani anaenda?
Hii ni basic stuff mkuu! Tunashukuru kwa kutukumbusha1. Panda Miti Mizuri kuzunguka nyumba.
2. Chimba Shimu refu la Choo.
3. Usjinge katikati ya Kiwanja,
4. Usibanie Material ya ujenzi
5. Usimwamini fundi
6. Usijenge kwa Mawazo eti utajenga vizuri baadae
Sasa hata akija si mpka afanye survey kwanza ?Mkielewana anakuja tu ningekutumia video juz tu nimetoka kufanya nae kaz WhatsApp video ndo inakubali
Lakini si inasemwa kwamba gharama huoengezeka kutegemea na umbali maji yalipo?(sina uhakika sana na hili)Mkuu niconection tu yupo mtu anakuchimbia kisima kwa million 2 na maji unayapata hyo 8 m ni ya wale wa machine kawachimbia watu wengi sana wanaenjoy tu full kumwaga maji yasiyo na bill unafunga waterpumb ya 1.5horse power