Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Kama una uwezo hakikisha umewekeza kwenye haya maeneo.
1. Chimba kisima uwe una uhakika wa maji.
2. Funga umeme wa solar uwe na uhakika wa umeme na sio huu wa TANESCO unaokatika katika kila saa.
Ukiweza wekeza hayo maeneo mawili maisha yako yatakua na amani.
NB: TANESCO wamenikatia umeme chakula kikiwa jikoni na jiko linatumia umeme nikajikuta nawaza hivyo.
1. Chimba kisima uwe una uhakika wa maji.
2. Funga umeme wa solar uwe na uhakika wa umeme na sio huu wa TANESCO unaokatika katika kila saa.
Ukiweza wekeza hayo maeneo mawili maisha yako yatakua na amani.
NB: TANESCO wamenikatia umeme chakula kikiwa jikoni na jiko linatumia umeme nikajikuta nawaza hivyo.