Sasa hata akija si mpka afanye survey kwanza ?
Ndio anachimba local na kira akifika tabaka fulan la udongo anapumb maji yanatoka nje anaendelea kuongeza kina had apate mkondo mkali wa maji na yakiyo clear
Lakini inasemwa kwamba gharama huoengezeka kutegemea na umbali maji yalipo?(sina uhakika sana na hili)
Namaanisha hicho kiasi cha pesa hapo,yupo atakaechimba kwa mill 8 yupo wa 13mill still yupo atakaechimba kwa 4mill.
Vipi mkaa nao unasaidia?Ushauri Mzuri ila inahitaji uwe na Mzigo wa Kutosha.
-Kuchimba kisima chenye urefu wa mita 100 na kuendelea lazima uwe na atleast 8m kwa mfuko.
-Kupata umeme mwingi wa solar nayo atleast uwe na 3m.(Backup kubwa za Ritar , Panel Nzuri Mono za Sundar ,atleast ukiwa na 600N ,1000W Pannel na Inverter ya 1000W si mbaya)
Bora kununua resrrv tank gharama ya kupandisha maji ni kubwa kuliko kulipia dawascoMkuu niconection tu yupo mtu anakuchimbia kisima kwa million 2 na maji unayapata hyo 8 m ni ya wale wa machine kawachimbia watu wengi sana wanaenjoy tu full kumwaga maji yasiyo na bill unafunga waterpumb ya 1.5horse power
Pamoja na huo ushauri mzuri lkn unatakiwa kutoka ndani ya boxKama una uwezo hakikisha umewekeza kwenye haya maeneo.
1. Chimba kisima uwe una uhakika wa maji.
2. Funga umeme wa solar uwe na uhakika wa umeme na sio huu wa TANESCO unaokatika katika kila saa.
Ukiweza wekeza hayo maeneo mawili maisha yako yatakua na amani.
NB: TANESCO wamenikatia umeme chakula kikiwa jikoni nikajikuta nawaza hivyo.
Nikionaga hii mipango huwa napoteana na ukizingatia ualimu wenyewe kipato duni[emoji23]
Huy kisangani si alishafiriki kwa ajali au mwingine?Huduma yake ni ya uhakika kawachimbia maboss wengi hapa mbeya anaemfahamu Kisangani yule mwenye anapangisha mabenk nyumba zake yeye ndo anamchimbiaga zile bank zinatumia maji ya mfumo huo kuanzia Kisangani ya Soweto walipopanga bima ,kabwe nmb ya mwanjelwa ,century plaza city pub
Huy kisangani si alishafiriki kwa ajali au mwingine?
Huy kisangani si alishafiriki kwa ajali au mwingine?
Naomba nieleweshe unamaanisha nini?Pamoja na huo ushauri mzuri lkn unatakiwa kutoka ndani ya box
Kwa Dar anamjengo wake wa ghorofa msimbazi street amepakana na marehemu sadri chini maduka tu ya spare frame zote.Huyohuyo alifariki ni kama mwakajuzi kama sikosei mama yake kamjengea block t kwa Mary mwanjelwa mbele kule kana uanelekea old airport ilipo stand ya chunya now
Yule jamaa alijiwekeza sana kwenye majengo ya biashara pamoja na spare parts.Kisangani ye alishafariki imebaki familia yake na ndo mwenye majengo ya biashara mbeya ya heshina kuna jengo lingine liko block t kawapangisha wale dreamz lile shirika linalodeal na ukimwi ana majengo mengi ukiachana na yaliyo highway
Kwa Dar anamjengo wake wa ghorofa msimbazi street amepakana na marehemu sadri chini maduka tu ya spare frame zote.
Vipi mkaa nao unasaidia?
Huyu atakuwa Wa kuweka ring bila shaka tofauti ns huyo anaechimba kwa 8 million aliesema mdau King Kong III ambae kimsingi gharama ni kuchimba, mabomba pamoja na "water quality testing" toka ofisi ya bonde
BTW, anapatikana wapi kwa sie wa uchumi wa Mtanzania mnyonge anatufaa