Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Nyie kurudishiwa upendo ni kupewa pesa, wezi wakubwa nyie.Mie nipo single Kisa napenda kweli mpenzi wangu halafu yeye harudishi fadhila kwakweli .
Sasa kama upo kama mie njoo tufarijiane halafu kama unahonga hurudishiwi fadhila njoo ufarijike hapa kama unatoa marange, vitu vya kifahari unajikomba halafu urudishiwi fadhila njoo upozee hapa roho
Ila hujakutana na mtu kama mie nipo serious napenda kweli nikipendwaNyie kurudishiwa upendo ni kupewa pesa, wezi wakubwa nyie.
Huh???ππ¬π€£ππNyie kurudishiwa upendo ni kupewa pesa, wezi wakubwa nyie.
Kisa upatwe na Nini??Siti ya mbele kabisa dirishani upande wa dereva.
Leo nahisi kitanikuta kitu hapa JFπ€£ππ.
Naomba ndugu zangu mninyanganye hii teckno werevaπππ€£π¬π
Mwanamke wa kibongo mapenzi kwake ni umenipa nini? Kama unanipenda. yaani wewe ndo unakua ATM yake, bima yake nk. Wajinga sanaa wana fikira za kimasikini.Ila hujakutana na mtu kama mie nipo serious napenda kweli nikipendwa
Mie nawaambia njoo whtsupp tuonane ukinikuta dume ndio uje ukaongee ujinga humu ila kama wewe ndio jike hapo tukalitazameSawa bro ila hili suala la kujiita Unique inabidi hili nalo tulitizame
Unaipiga chini tatizo mnateseka Kisa wanawake wasio na ulazima wakuwa naoMwanamke wa kibongo wapenzi kwa ni umenipa nini, yaani wewe ndo unakua ATM yake, bima yake nk. Wajinga sanaa wanafikira za kimasikini.
Hapana aisee lazima tugawane matesoHaiwezekani wote mpendane kwa usawa, lazima tu mmoja ateseke ili mdumu.
Yes , lazima tupendwe nakujaliwabHalafu nani alikuambia upendo ni biashara, kwamba unatoa hiki ili upokee kile? π
Ndiyo maana hamdumu.Hapana aisee lazima tugawane mateso
Jamani sijakubwaga wewe umekaa kimya mbona mie nakupenda sanaUnique Flower hii ni karma..... unakumbuka ulivyonibwaga??
Piga picha umeshika kijiko tuone vidole vyakoMie nawaambia njoo whtsupp tuonane ukinikuta dume ndio uje ukaongee ujinga humu ila kama wewe ndio jike hapo tukalitazame