Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Mmh ,okMim ni mkaka ndio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh ,okMim ni mkaka ndio.
Watu wa JF bana.Mmh ,ok
Hahahaha, basi nilikosea,nisamehe kwa hili ,rafikiWatu wa JF bana.
Unaguna wakati wewe ndo uliniita kaka?
Mi mtu ukiniita kaka,babu,bibi,It, dada,mama sibishi nakubali ili afurahi
worry out🙏Hahahaha, basi nilikosea,nisamehe kwa hili ,rafiki
🤣🤣🤣 JamanKwa post hii, tarajia midume kujazana kwenye PM yako nikiwemo Mimi😂
Huu Uzi umekaa kimtego sana
Ila avatar tu unayo rafikiworry out🙏
😍😍😍Mie nipo single Kisa napenda kweli mpenzi wangu halafu yeye harudishi fadhila kwakweli .
Sasa kama upo kama mie njoo tufarijiane halafu kama unahonga hurudishiwi fadhila njoo ufarijike hapa kama unatoa marange, vitu vya kifahari unajikomba halafu urudishiwi fadhila njoo upozee hapa roho.
Micing u mama
Missin u too darling🤗😍😍😚😚Micing u mama
Nimemuelewa binti😅Acha kusumbua mwenzio 😝
😝
Wewe usilete siasa zako hapa😂
Uzibe moyo wenye pancha.Nimemuelewa binti😅
Huyo rafiki yako harudishi upendo kabisa mwambieMissin u too darling[emoji847][emoji7][emoji7][emoji9][emoji9]
Umeanza 🤣🤣🤣👋Wewe usilete siasa zako hapa😂
MhhHuyo rafiki yako harudishi upendo kabisa mwambie
Sasa nipoozaje roho nahuku upo mbali, angalau ungekuwa karibu.Mie nipo single Kisa napenda kweli mpenzi wangu halafu yeye harudishi fadhila kwakweli .
Sasa kama upo kama mie njoo tufarijiane halafu kama unahonga hurudishiwi fadhila njoo ufarijike hapa kama unatoa marange, vitu vya kifahari unajikomba halafu urudishiwi fadhila njoo upozee hapa roho.
Sasa nipoozaje roho nahuku upo mbali, angalau ungekuwa
Sijakuelewa unamanisha nini??