Kama unampenda halafu hurudishiwi upendo njoo tufarijiane 🖤💔

Kama unampenda halafu hurudishiwi upendo njoo tufarijiane 🖤💔

Bad enough she made me nimkatae main chick kweupe...maana nilimwambia main chick sihitajo mahusiano nae maana kuna mtu alikuja kwenye maisha yangu na ameyaongezea maana...

All of them naona sio sahihi najipoza tu.
Safi sana
Naona vyote vimekuponyoka
 
Kumbe mshenzy mshenzy!
Eh hayupo serious hata kidogo kweli unamwambia mtu nipo serious unamuamini halafu anadai wewe sio mwanaume niaminishe what the heck maana Kuna wengi ni wanaume uliniita yanini?? If unajua mie dume labda alihitaji mtaro wa mwanaume mwenzie basi kuona watu wananisema mie dume ndio akaanza kunisumbua JamiiForums wote mie msinizoee maana mlikuwa mnamsema tu mdada mwingine yeye ni dume cocastic tukawaponda mkawacha Sasa acheni uzinguaji wanaume wenyewe asilimia kubwa humu mnasura ngumu kama container za bandari , sure ndio mana mmebinafsishwa ,Ila inabidi kuweni wapole . Maana na picha za baadhi zenu mnaonipondea
 
Wanawake wa bongo mama yao ni moja wote wana fanana, mbinu na kiasi cha mizinga ndo kina tofautiana
Sawa sawa na wanaume wote.
Baba yao ni mmoja, Adam. Wote wanafafana
 
Back
Top Bottom