Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Tulikuambia 🤣🤣🤣Basi nikapuuzia, nikazama na Shem maana alionesha all true things....
Bwana kumbe mjinga tu anakijamaa chake nae kilicho mtoa usichana etc...
Ukome
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulikuambia 🤣🤣🤣Basi nikapuuzia, nikazama na Shem maana alionesha all true things....
Bwana kumbe mjinga tu anakijamaa chake nae kilicho mtoa usichana etc...
Safi sanaBad enough she made me nimkatae main chick kweupe...maana nilimwambia main chick sihitajo mahusiano nae maana kuna mtu alikuja kwenye maisha yangu na ameyaongezea maana...
All of them naona sio sahihi najipoza tu.
Nimepoteza wote wawili ...yani inafika kipindi sielewi...Tulikuambia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukome
Kumbe mshenzy mshenzy!Hana inshu shoo ni mshenzi Fulani tu Sasa upo serious umemualika mahali eti mnachart anasema wewe ni mwanaume au mwanamke real alikufuata Kisa Nini??
Mie nimechoka kabisa hafai Kwa biriyani au Kwa viungo vya aina yeyote
Yes nimepoteza kote... Lakini nimejifunza kitu kikubwa sana.Safi sana
Naona vyote vimekuponyoka
Sure.Yes nimepoteza kote... Lakini nimejifunza kitu kikubwa sana.
Hakuna rafiki atakaempenda man wa rafiki ake zinakuwaga ni emotions za kutamani treatment tu.
Asante nimeamua kujipa mda wa kupumzika.Sure.
Polee
🤣🤣🤣 hata mimi sikuelewa hapa tafadhali naweza julishwa ufafanuzi wake..Vimeshakutokea puani au bado? 😂😂
Makabichi hayapashwi.Asante nimeamua kujipa mda wa kupumzika.
Maana nikirudi huko Kwa main nitaonekana sina msimamo...hatatulia pia
hard truth. basi ninyoshe mikono juu tu.Makabichi hayapashwi.
Nilikuwa na girl sasa akawa haeleweki hivi....bhana Shem alipotokea akaonesha kilakitu positive na akaning'oa mazima...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hata mimi sikuelewa hapa tafadhali naweza julishwa ufafanuzi wake..
Ya kweli hayo!?Ila hujakutana na mtu kama mie nipo serious napenda kweli nikipendwa
One luv broMuch much love to you 😍
Mim ni mkaka ndio.Kwani we ni mkaka, nivue hii miwani ,itakua imeona avatar siyo
Eh hayupo serious hata kidogo kweli unamwambia mtu nipo serious unamuamini halafu anadai wewe sio mwanaume niaminishe what the heck maana Kuna wengi ni wanaume uliniita yanini?? If unajua mie dume labda alihitaji mtaro wa mwanaume mwenzie basi kuona watu wananisema mie dume ndio akaanza kunisumbua JamiiForums wote mie msinizoee maana mlikuwa mnamsema tu mdada mwingine yeye ni dume cocastic tukawaponda mkawacha Sasa acheni uzinguaji wanaume wenyewe asilimia kubwa humu mnasura ngumu kama container za bandari , sure ndio mana mmebinafsishwa ,Ila inabidi kuweni wapole . Maana na picha za baadhi zenu mnaonipondeaKumbe mshenzy mshenzy!
[emoji1787][emoji1787]Nyie kurudishiwa upendo ni kupewa pesa, wezi wakubwa nyie.
Sawa sawa na wanaume wote.Wanawake wa bongo mama yao ni moja wote wana fanana, mbinu na kiasi cha mizinga ndo kina tofautiana