Kama unampenda halafu hurudishiwi upendo njoo tufarijiane 🖤💔

Kama unampenda halafu hurudishiwi upendo njoo tufarijiane 🖤💔

Wewe ni dada aiseeh! Vipi tena mlokole amekutenda kama alivyofanya mgweno 🤣🤣🤣
Kuna aloniita kaka hapo juu nikaona nicheze kwa beat anayonipigia.
Mie na mlokozi ni till death tear us apart.
Na Mgweno is a good man hajawahi kunitenda.
Namshukuru Mungu sijawahi kutendwa 🙏
 
Kuna aloniita kaka hapo juu nikaona nicheze kwa beat anayonipigia.
Mie na mlokozi ni till death tear us apart.
Na Mgweno is a good man hajawahi kunitenda.
Namshukuru Mungu sijawahi kutendwa 🙏
Okey.. ila unakumbuka kuwa ulinitenda mimi 🤣🤣
 
Back
Top Bottom