bilioni100
Member
- Jun 8, 2023
- 85
- 94
ataniona tuu mwenyewe jinsi nilivyo mnyenyekevu na tabia nzuriUtadhibitishaje kwa maza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ataniona tuu mwenyewe jinsi nilivyo mnyenyekevu na tabia nzuriUtadhibitishaje kwa maza
Una uhakika una kipaji cha kuigiza unyenyekevu maza asikushtukie?ataniona tuu mwenyewe jinsi nilivyo mnyenyekevu na tabia nzuri
Wacha wee[emoji1]Ila hujakutana na mtu kama mie nipo serious napenda kweli nikipendwa
YesWacha wee[emoji1]
siigizi ndio nilivyoUna uhakika una kipaji cha kuigiza unyenyekevu maza asikushtukie?
Tuma tena hiyo namba ilifutika bahati mbayaMie nilienda pm nikakupa namba yangu mbona hujanipigia
February Unique Flower ndani ya Germany sijui itakuwa wapi Frankfurt, Berlin, Munich, Hamburg 🤔Kasafiri tayari nipo single hadi January ila February naenda gei
Tutaona ni wapi??February Unique Flower ndani ya Germany sijui itakuwa wapi Frankfurt, Berlin, Munich, Hamburg 🤔
Njoo nikupee kaka yangu mwaya atakufaaMie nipo single Kisa napenda kweli mpenzi wangu halafu yeye harudishi fadhila kwakweli .
Sasa kama upo kama mie njoo tufarijiane halafu kama unahonga hurudishiwi fadhila njoo ufarijike hapa kama unatoa marange, vitu vya kifahari unajikomba halafu urudishiwi fadhila njoo upozee hapa roho
Kweli eh aisee Bora sio WA hukuNjoo nikupee kaka yangu mwaya atakufaa
HahahahaUna uhakika una kipaji cha kuigiza unyenyekevu maza asikushtukie?
HahahahaNyie vibabu vya huku vinajielewa sio vishenzi kama vikaka vya humu nanukuu
Njoo basi nakusubiri chemba hukuTutaona ni wapi??
.....Ila hujakutana na mtu kama mie nipo serious napenda kweli nikipendwa
Utuwakilishe vyema hukoTutaona ni wapi??
Woyoooooooo🤣🤣🤣👋Jamani sijakubwaga wewe umekaa kimya mbona mie nakupenda sana
Mbona umecheka mkuu?Hahahaha