Kama unampenda halafu hurudishiwi upendo njoo tufarijiane 🖤💔

Kama unampenda halafu hurudishiwi upendo njoo tufarijiane 🖤💔

Mie nipo single Kisa napenda kweli mpenzi wangu halafu yeye harudishi fadhila kwakweli .

Sasa kama upo kama mie njoo tufarijiane halafu kama unahonga hurudishiwi fadhila njoo ufarijike hapa kama unatoa marange, vitu vya kifahari unajikomba halafu urudishiwi fadhila njoo upozee hapa roho.

Huyu ndio halfcast ?
 
Omba, nasema hiviii Omba usikutwe na KUPENDA USIPOPENDWA!! utajikaanga moyo wako kwa mafuta yako mwenyewe, unaumia, unahuzunika, unaweweseka kumbe mtu hana habari na wewe .
 
Mie nipo single Kisa napenda kweli mpenzi wangu halafu yeye harudishi fadhila kwakweli .

Sasa kama upo kama mie njoo tufarijiane halafu kama unahonga hurudishiwi fadhila njoo ufarijike hapa kama unatoa marange, vitu vya kifahari unajikomba halafu urudishiwi fadhila njoo upozee hapa roho.

Are yu
You sure
 
Mapenzi hapana kwakwel....tunapendana tu lakini kuna wengine utoto bado unawasumbua.

Mimi bwana nilikuwa na girl asie eleweka na screenshot niliwekaga na nikawa nadate na rafiki ake (main na bestie) siku Ile dada Depal akasa bora jimgepambana kumbadilisha main kuliko kuharibu urafiki na bestie (Shem)

Basi nikapuuzia, nikazama na Shem maana alionesha all true things....
Bwana kumbe mjinga tu anakijamaa chake nae kilicho mtoa usichana etc...

basi last month sikumpa monthly allowance lakini nilimpa simu iPhone 8 na 30k ya vocha...

Ghafla siku hiyohiyo hajibu, kesho yake hajibu alafu kuna siku napokea kisms toka kwa jamaa ake eti nimuache girl wake hahaha....nikaona huyu ananichezea kisa ananiona mpole....basi nikadaka pot mshkaj wangu nikatimba kwa girl kwao nikachukua simu

Ajabu toka hiyo siku niliyochukua simu ameanza nisumbua tena mjinga huyu

Bad enough nilikuwa nakahudumia poa maana kila tarehe 28 natoa laki 1 ya matumizi ya vocha na vichips maana anakaa kwao bado...

Yupo anasumbua but nimemkatia line jumla.
 
Bad enough she made me nimkatae main chick kweupe...maana nilimwambia main chick sihitajo mahusiano nae maana kuna mtu alikuja kwenye maisha yangu na ameyaongezea maana...

All of them naona sio sahihi najipoza tu.
 
Mimi bwana nilikuwa na girl asie eleweka na screenshot niliwekaga na nikawa nadate na rafiki ake (main na bestie) siku Ile dada @Depal akasa bora jimgepambana kumbadilisha main kuliko kuharibu urafiki na bestie (Shem)
Vimeshakutokea puani au bado? 😂😂
 
Back
Top Bottom