Kama unamtoa mwanamke out umpe na nauli ya kurudia hali ngumu

Kama unamtoa mwanamke out umpe na nauli ya kurudia hali ngumu

Kinachonikasirisha zaidi anaagiza mavyakula ya bei yaani mkitoka hapo menu inasoma 50k nilivyo masikini natamani kumwambia hiyo hela ya msosi anipe 40k hiyo 10k tukale chips tunashiba kabisaa

Acheni ubahiri nyie wanaume
emoji41.png
Iyo ni recruitment budget usije ukaichanganya na operational cost. Ukitoa tunda kutakua na mabadiliko katika izo gharama.
 
Uzuri yeye ndio amelazimisha angenifuata nilipo chenchi ingebaki ila kwasababu anataka kujionesha ana hela ndio aende expensive place alitakiwa anipe nauli
Alitakiwa na nani 🤔, mnavyokaa kwenye vikao vyenu mkumbuke kujadili namna ya kujikwamua kutoka kwenye umasikini na sio namna ya kumkamua mwanaume
 
Back
Top Bottom