Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okay sawaYeah sababu nilikuwa sijamla bado halafu kitoto cha 2001 kizuri sana
Iyo ni recruitment budget usije ukaichanganya na operational cost. Ukitoa tunda kutakua na mabadiliko katika izo gharama.Kinachonikasirisha zaidi anaagiza mavyakula ya bei yaani mkitoka hapo menu inasoma 50k nilivyo masikini natamani kumwambia hiyo hela ya msosi anipe 40k hiyo 10k tukale chips tunashiba kabisaa
Acheni ubahiri nyie wanaume![]()
Alitakiwa na nani 🤔, mnavyokaa kwenye vikao vyenu mkumbuke kujadili namna ya kujikwamua kutoka kwenye umasikini na sio namna ya kumkamua mwanaumeUzuri yeye ndio amelazimisha angenifuata nilipo chenchi ingebaki ila kwasababu anataka kujionesha ana hela ndio aende expensive place alitakiwa anipe nauli