Kama unamtoa mwanamke out umpe na nauli ya kurudia hali ngumu

Kama unamtoa mwanamke out umpe na nauli ya kurudia hali ngumu

Kama huku omba kilichokupeleka ni nin?mtu ushamjua tabia yake SI ungeacha kwenda tu
Kwani mimi ndio niliomba out?? Yaani ni clear bill mimi ndio nilichagua hiyo sehemu kama angeniuliza nataka twende wapi ningemwambia twende mwananyamara tukale Zanzibar pizza tamu kuliko za masaki
 
Kuwa real, mda mwingine mueleze huna nauli, kama anaweza kukusave kiasi kadhaa, kama anakupenda/jali hashindwi kukupa nauli
 
Aisee Hii wakaka wabahili iwafikie habari za kulazimisha kuonana na mdada halafu mnaagana unashindwa kumpa hata elfu 2 ya nauli haipendezi tuna haribiana bajeti.

Hiko hivi kuna huyo Kijana tumefahamiana ni kama mwezi wa 3 sasa mcheshi yuko Normal tu.. kitu kinachonikera kwake yaani anapenda sana kulazimisha kunitoa out yaani nikikataa ni kama hapendi anajisikia vibaya

Sasa mimi huwa sipendi kutoka bila kuwa na hela yangu lolote linaweza kutokea.. lakini Hii inaboa imagine unakaa chanika halafu out mkaonane masaki.. unatoka na gharama zako unasema basi ka mtu katajiongeza hata Elfu 5 ya nauli kwasababu umeharibu ratiba na bajeti yako lakini mkavu kama nini[emoji35]

Kinachonikasirisha zaidi anaagiza mavyakula ya bei yaani mkitoka hapo menu inasoma 50k nilivyo masikini natamani kumwambia hiyo hela ya msosi anipe 40k hiyo 10k tukale chips tunashiba kabisaa

Acheni ubahiri nyie wanaume[emoji41]
Haya shoga yako amekushauri nn na wewe umeamua nn?

Kadiri ya maelezo na huu Moshi unaonizunguka nafikiri Haya uliyoandika mfikishie jamaa yako mapema ilimuendelee kusomana kwa kutambua kipi upendezwi nacho kadhalika nae kipi hapendi,mambo ya kujificha ficha sio kabisa yote NI kwa maslahi mapana ya taifa lenu.

.............
 
Kwani kuna sehemu nimesema ni mtu wangu… hatuna mahusiano so siwezi kushauri chochote
Huyo mwanaume akiwa na akili, muda si mrefu atashtuka kuwa haumpendi na haumtaki, sana sana unataka kumtumia kwa shida zako binafsi k.v fedha au msosi, hapo kwake umejiegesha mda uende wakati unasubiri utongozwe na mwanaume wa ndoto zako kadogo2
 
hakuna mkate mkubwa kwa chai, muambie kwa upole utaona mrejesho wake mzuri.
 
Aisee Hii wakaka wabahili iwafikie habari za kulazimisha kuonana na mdada halafu mnaagana unashindwa kumpa hata elfu 2 ya nauli haipendezi tuna haribiana bajeti.

Hiko hivi kuna huyo Kijana tumefahamiana ni kama mwezi wa 3 sasa mcheshi yuko Normal tu.. kitu kinachonikera kwake yaani anapenda sana kulazimisha kunitoa out yaani nikikataa ni kama hapendi anajisikia vibaya

Sasa mimi huwa sipendi kutoka bila kuwa na hela yangu lolote linaweza kutokea.. lakini Hii inaboa imagine unakaa chanika halafu out mkaonane masaki.. unatoka na gharama zako unasema basi ka mtu katajiongeza hata Elfu 5 ya nauli kwasababu umeharibu ratiba na bajeti yako lakini mkavu kama nini[emoji35]

Kinachonikasirisha zaidi anaagiza mavyakula ya bei yaani mkitoka hapo menu inasoma 50k nilivyo masikini natamani kumwambia hiyo hela ya msosi anipe 40k hiyo 10k tukale chips tunashiba kabisaa

Acheni ubahiri nyie wanaume[emoji41]
Mwambie simu inasumbua hebu akuagizie bolt.... Madada mna formula.
Hii imenitokea jana. Nimemwambia dada tukutane mahali, ile niko njiani mara ananiambia naomba uniagizie bolt... nikajua hapa hataki tumia hata shilingi kumi yake.
 
Huyo mwanaume akiwa na akili, muda si mrefu atashtuka kuwa haumpendi na haumtaki, sana sana unataka kumtumia kwa shida zako binafsi k.v fedha au msosi, hapo kwake umejiegesha mda uende wakati unasubiri utongozwe na mwanaume wa ndoto zako kadogo2

Sasa kumpenda mtu it take a time sio rahisi rahisi hivyo otherwise nimtamani.. mimi sitaki pesa yake na ndio maana sijawah muomba.. ambacho sikipendi ni namna ambavyo analazimisha out halafu anashindwa kujiongeza kwamba huyu mtu ametoka mbali kwa ajili yangu alikuwa alale ila mimi ndio nimemlazimisha atoke basi nimpe hata nauli japo najua anayo ila mambo ni mengi njiani na daladala zetu hizi anaweza ongezea hiyo akawahi kufika home

Mwanaume anaejielewa ndio anapaswa kuwa hivyo sio unamtoa dada wa watu vikindu to masasani then unashindwa hata kumlipia nauli
 
kadogo2 ningekupata wewe hakika ningeenjoy sana kuna siku nilimtoa mrembo out pale yummy food africana tumetumia zaidi ya laki tumemaliza nampa nauli elfu 20k arudi kwao kimara na bado anacomplain
Halafu baada ya yeye kucomplain ulimuongezea hela au ulichukua hiyo elfu 20 yako kisha ukamuacha atembee kwa miguu mpaka kwao huko kimara?
 
Aisee Hii wakaka wabahili iwafikie habari za kulazimisha kuonana na mdada halafu mnaagana unashindwa kumpa hata elfu 2 ya nauli haipendezi tuna haribiana bajeti.

Hiko hivi kuna huyo Kijana tumefahamiana ni kama mwezi wa 3 sasa mcheshi yuko Normal tu.. kitu kinachonikera kwake yaani anapenda sana kulazimisha kunitoa out yaani nikikataa ni kama hapendi anajisikia vibaya

Sasa mimi huwa sipendi kutoka bila kuwa na hela yangu lolote linaweza kutokea.. lakini Hii inaboa imagine unakaa chanika halafu out mkaonane masaki.. unatoka na gharama zako unasema basi ka mtu katajiongeza hata Elfu 5 ya nauli kwasababu umeharibu ratiba na bajeti yako lakini mkavu kama nini[emoji35]

Kinachonikasirisha zaidi anaagiza mavyakula ya bei yaani mkitoka hapo menu inasoma 50k nilivyo masikini natamani kumwambia hiyo hela ya msosi anipe 40k hiyo 10k tukale chips tunashiba kabisaa

Acheni ubahiri nyie wanaume[emoji41]
wew unanikumbusha mdau mmoja ilikuwa tuonane. sasa ameshuka daladala nikamwelekeza aje nilipo kwa boda au bajaji.

anadai nimtumie buku2 maana yey hana hata buku😳. daah nilichoka kabisa na sijataka kumtafuta tena toka siku iyo huu ni ujinga sasa. maisha magumu lakini lazima uweke balansi yako bana.
 
wew unanikumbusha mdau mmoja ilikuwa tuonane. sasa ameshuka daladala nikamwelekeza aje nilipo kwa boda au bajaji.

anadai nimtumie buku2 maana yey hana hata buku[emoji15]. daah nilichoka kabisa na sijataka kumtafuta tena toka siku iyo huu ni ujinga sasa. maisha magumu lakini lazima uweke balansi yako bana.

Njia rahisi ni kumfuata yeye alipo ili gharama ipungue sasa unamwita wewe halafu sehemu ya kupanda boda yeye hiyo hela anatoa wapi na unakuta ndio akiba yake
 
Aisee Hii wakaka wabahili iwafikie habari za kulazimisha kuonana na mdada halafu mnaagana unashindwa kumpa hata elfu 2 ya nauli haipendezi tuna haribiana bajeti.

Hiko hivi kuna huyo Kijana tumefahamiana ni kama mwezi wa 3 sasa mcheshi yuko Normal tu.. kitu kinachonikera kwake yaani anapenda sana kulazimisha kunitoa out yaani nikikataa ni kama hapendi anajisikia vibaya

Sasa mimi huwa sipendi kutoka bila kuwa na hela yangu lolote linaweza kutokea.. lakini Hii inaboa imagine unakaa chanika halafu out mkaonane masaki.. unatoka na gharama zako unasema basi ka mtu katajiongeza hata Elfu 5 ya nauli kwasababu umeharibu ratiba na bajeti yako lakini mkavu kama nini[emoji35]

Kinachonikasirisha zaidi anaagiza mavyakula ya bei yaani mkitoka hapo menu inasoma 50k nilivyo masikini natamani kumwambia hiyo hela ya msosi anipe 40k hiyo 10k tukale chips tunashiba kabisaa

Acheni ubahiri nyie wanaume[emoji41]
Huoni aibu,yani mtu akulishe elf 50,unashindwa kuchangia elf 5 ya nauli yako,hapo bahili ni nani...
 
Back
Top Bottom