Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaman poda tena 😂😂...yupo normal"..."...mcheshi"...! Hayo si kweli.Anakunyima/hakupi nauli?Anakosea.Tena anapaswa akurudishe hadi unapoishi na akuachie ya kupakia poda.
Kwani mimi ndio niliomba out?? Yaani ni clear bill mimi ndio nilichagua hiyo sehemu kama angeniuliza nataka twende wapi ningemwambia twende mwananyamara tukale Zanzibar pizza tamu kuliko za masaki
Haya shoga yako amekushauri nn na wewe umeamua nn?Aisee Hii wakaka wabahili iwafikie habari za kulazimisha kuonana na mdada halafu mnaagana unashindwa kumpa hata elfu 2 ya nauli haipendezi tuna haribiana bajeti.
Hiko hivi kuna huyo Kijana tumefahamiana ni kama mwezi wa 3 sasa mcheshi yuko Normal tu.. kitu kinachonikera kwake yaani anapenda sana kulazimisha kunitoa out yaani nikikataa ni kama hapendi anajisikia vibaya
Sasa mimi huwa sipendi kutoka bila kuwa na hela yangu lolote linaweza kutokea.. lakini Hii inaboa imagine unakaa chanika halafu out mkaonane masaki.. unatoka na gharama zako unasema basi ka mtu katajiongeza hata Elfu 5 ya nauli kwasababu umeharibu ratiba na bajeti yako lakini mkavu kama nini[emoji35]
Kinachonikasirisha zaidi anaagiza mavyakula ya bei yaani mkitoka hapo menu inasoma 50k nilivyo masikini natamani kumwambia hiyo hela ya msosi anipe 40k hiyo 10k tukale chips tunashiba kabisaa
Acheni ubahiri nyie wanaume[emoji41]
Huyo mwanaume akiwa na akili, muda si mrefu atashtuka kuwa haumpendi na haumtaki, sana sana unataka kumtumia kwa shida zako binafsi k.v fedha au msosi, hapo kwake umejiegesha mda uende wakati unasubiri utongozwe na mwanaume wa ndoto zako kadogo2Kwani kuna sehemu nimesema ni mtu wangu… hatuna mahusiano so siwezi kushauri chochote
Mwambie simu inasumbua hebu akuagizie bolt.... Madada mna formula.Aisee Hii wakaka wabahili iwafikie habari za kulazimisha kuonana na mdada halafu mnaagana unashindwa kumpa hata elfu 2 ya nauli haipendezi tuna haribiana bajeti.
Hiko hivi kuna huyo Kijana tumefahamiana ni kama mwezi wa 3 sasa mcheshi yuko Normal tu.. kitu kinachonikera kwake yaani anapenda sana kulazimisha kunitoa out yaani nikikataa ni kama hapendi anajisikia vibaya
Sasa mimi huwa sipendi kutoka bila kuwa na hela yangu lolote linaweza kutokea.. lakini Hii inaboa imagine unakaa chanika halafu out mkaonane masaki.. unatoka na gharama zako unasema basi ka mtu katajiongeza hata Elfu 5 ya nauli kwasababu umeharibu ratiba na bajeti yako lakini mkavu kama nini[emoji35]
Kinachonikasirisha zaidi anaagiza mavyakula ya bei yaani mkitoka hapo menu inasoma 50k nilivyo masikini natamani kumwambia hiyo hela ya msosi anipe 40k hiyo 10k tukale chips tunashiba kabisaa
Acheni ubahiri nyie wanaume[emoji41]
Huyo mwanaume akiwa na akili, muda si mrefu atashtuka kuwa haumpendi na haumtaki, sana sana unataka kumtumia kwa shida zako binafsi k.v fedha au msosi, hapo kwake umejiegesha mda uende wakati unasubiri utongozwe na mwanaume wa ndoto zako kadogo2
Unatolew out then unalilia nauli , basi huyo c level yako [emoji125]
Halafu baada ya yeye kucomplain ulimuongezea hela au ulichukua hiyo elfu 20 yako kisha ukamuacha atembee kwa miguu mpaka kwao huko kimara?kadogo2 ningekupata wewe hakika ningeenjoy sana kuna siku nilimtoa mrembo out pale yummy food africana tumetumia zaidi ya laki tumemaliza nampa nauli elfu 20k arudi kwao kimara na bado anacomplain
wew unanikumbusha mdau mmoja ilikuwa tuonane. sasa ameshuka daladala nikamwelekeza aje nilipo kwa boda au bajaji.Aisee Hii wakaka wabahili iwafikie habari za kulazimisha kuonana na mdada halafu mnaagana unashindwa kumpa hata elfu 2 ya nauli haipendezi tuna haribiana bajeti.
Hiko hivi kuna huyo Kijana tumefahamiana ni kama mwezi wa 3 sasa mcheshi yuko Normal tu.. kitu kinachonikera kwake yaani anapenda sana kulazimisha kunitoa out yaani nikikataa ni kama hapendi anajisikia vibaya
Sasa mimi huwa sipendi kutoka bila kuwa na hela yangu lolote linaweza kutokea.. lakini Hii inaboa imagine unakaa chanika halafu out mkaonane masaki.. unatoka na gharama zako unasema basi ka mtu katajiongeza hata Elfu 5 ya nauli kwasababu umeharibu ratiba na bajeti yako lakini mkavu kama nini[emoji35]
Kinachonikasirisha zaidi anaagiza mavyakula ya bei yaani mkitoka hapo menu inasoma 50k nilivyo masikini natamani kumwambia hiyo hela ya msosi anipe 40k hiyo 10k tukale chips tunashiba kabisaa
Acheni ubahiri nyie wanaume[emoji41]
wew unanikumbusha mdau mmoja ilikuwa tuonane. sasa ameshuka daladala nikamwelekeza aje nilipo kwa boda au bajaji.
anadai nimtumie buku2 maana yey hana hata buku[emoji15]. daah nilichoka kabisa na sijataka kumtafuta tena toka siku iyo huu ni ujinga sasa. maisha magumu lakini lazima uweke balansi yako bana.
Huoni aibu,yani mtu akulishe elf 50,unashindwa kuchangia elf 5 ya nauli yako,hapo bahili ni nani...Aisee Hii wakaka wabahili iwafikie habari za kulazimisha kuonana na mdada halafu mnaagana unashindwa kumpa hata elfu 2 ya nauli haipendezi tuna haribiana bajeti.
Hiko hivi kuna huyo Kijana tumefahamiana ni kama mwezi wa 3 sasa mcheshi yuko Normal tu.. kitu kinachonikera kwake yaani anapenda sana kulazimisha kunitoa out yaani nikikataa ni kama hapendi anajisikia vibaya
Sasa mimi huwa sipendi kutoka bila kuwa na hela yangu lolote linaweza kutokea.. lakini Hii inaboa imagine unakaa chanika halafu out mkaonane masaki.. unatoka na gharama zako unasema basi ka mtu katajiongeza hata Elfu 5 ya nauli kwasababu umeharibu ratiba na bajeti yako lakini mkavu kama nini[emoji35]
Kinachonikasirisha zaidi anaagiza mavyakula ya bei yaani mkitoka hapo menu inasoma 50k nilivyo masikini natamani kumwambia hiyo hela ya msosi anipe 40k hiyo 10k tukale chips tunashiba kabisaa
Acheni ubahiri nyie wanaume[emoji41]