Yaani mtu akishasema anakaa mbagala au chanika elewa ni MTU WA standard ipiEndelea kutesekabma vinauli vyako vya Chanika😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani mtu akishasema anakaa mbagala au chanika elewa ni MTU WA standard ipiEndelea kutesekabma vinauli vyako vya Chanika😀
Wanuka kwapa😀Yaani mtu akishasema anakaa mbagala au chanika elewa ni MTU WA standard ipi
Hao hata namba hua siombi kabisa maana Wana ndoto za kifukara unaweza kufa maskini lazima uwe na mwanamke mwenye dream za mbali ili akili ichangamkeWanuka kwapa😀
Africana tMbezi kimara?kadogo2 ningekupata wewe hakika ningeenjoy sana kuna siku nilimtoa mrembo out pale yummy food africana tumetumia zaidi ya laki tumemaliza nampa nauli elfu 20k arudi kwao kimara na bado anacomplain
Usemavyo ni kweli.Hao hata namba hua siombi kabisa maana Wana ndoto za kifukara unaweza kufa maskini lazima uwe na mwanamke mwenye dream za mbali ili akili ichangamke
Unampangia mtu akupe angalau elfu mbili za nauli halafu unasema huwezi kumpangia mtu jinsi ya kutumia hela zake?Ka Ben Ten kangu siwezi kukapangia namna ya kutumia pesa zake.. kwasababu mimi sio mwanamke wake wala sijui pesa zake anapataje mpk ajitutumue
Mwanamke kwa hela ya mwanaume lazima ampangie!Aisee Hii wakaka wabahili iwafikie habari za kulazimisha kuonana na mdada halafu mnaagana unashindwa kumpa hata elfu 2 ya nauli haipendezi tuna haribiana bajeti.
Hiko hivi kuna huyo Kijana tumefahamiana ni kama mwezi wa 3 sasa mcheshi yuko Normal tu.. kitu kinachonikera kwake yaani anapenda sana kulazimisha kunitoa out yaani nikikataa ni kama hapendi anajisikia vibaya
Sasa mimi huwa sipendi kutoka bila kuwa na hela yangu lolote linaweza kutokea.. lakini Hii inaboa imagine unakaa chanika halafu out mkaonane masaki.. unatoka na gharama zako unasema basi ka mtu katajiongeza hata Elfu 5 ya nauli kwasababu umeharibu ratiba na bajeti yako lakini mkavu kama nini[emoji35]
Kinachonikasirisha zaidi anaagiza mavyakula ya bei yaani mkitoka hapo menu inasoma 50k nilivyo masikini natamani kumwambia hiyo hela ya msosi anipe 40k hiyo 10k tukale chips tunashiba kabisaa
Acheni ubahiri nyie wanaume[emoji41]
Niachane nao kivipi sasaAfricana tMbezi kimara?
Achanani na vibinti vya watu mkuu
Na mwisho wenu ulikuwaje?Usemavyo ni kweli.
Kuna wakati nilikuwa na mwanamke wa kiwango...akili ilichangsmka sana.
Kwani sikupenda kumpoteza na sijui niliwezaje kummudu hakika
nilivyo masikini natamani kumwambia hiyo hela ya msosi anipe 40k hiyo 10k tukale chips tunashiba kabisaa
Acheni ubahiri nyie wanaume![]()
😂pole sanahiyo 10k tukale chips tunashiba kabisaa
...yupo normal"..."...mcheshi"...! Hayo si kweli.Anakunyima/hakupi nauli?Anakosea.Tena anapaswa akurudishe hadi unapoishi na akuachie ya kupakia poda.Aisee Hii wakaka wabahili iwafikie habari za kulazimisha kuonana na mdada halafu mnaagana unashindwa kumpa hata elfu 2 ya nauli haipendezi tuna haribiana bajeti.
Hiko hivi kuna huyo Kijana tumefahamiana ni kama mwezi wa 3 sasa mcheshi yuko Normal tu.. kitu kinachonikera kwake yaani anapenda sana kulazimisha kunitoa out yaani nikikataa ni kama hapendi anajisikia vibaya
Sasa mimi huwa sipendi kutoka bila kuwa na hela yangu lolote linaweza kutokea.. lakini Hii inaboa imagine unakaa chanika halafu out mkaonane masaki.. unatoka na gharama zako unasema basi ka mtu katajiongeza hata Elfu 5 ya nauli kwasababu umeharibu ratiba na bajeti yako lakini mkavu kama nini[emoji35]
Kinachonikasirisha zaidi anaagiza mavyakula ya bei yaani mkitoka hapo menu inasoma 50k nilivyo masikini natamani kumwambia hiyo hela ya msosi anipe 40k hiyo 10k tukale chips tunashiba kabisaa
Acheni ubahiri nyie wanaume[emoji41]
Sasa si yeye anataman apewe 40k afu wakale chips 🍟 ina maana dem hana hela na mishe ya kuelewekaMwanaume anaekutaka anakutafutia mishe kweli??