Oppo A17k
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 904
- 2,708
Vp Pm ipo wazi nije?
Kwani chumba cha 15k Watu hawakai au unamaanisha nimuombe kodi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani chumba cha 15k Watu hawakai au unamaanisha nimuombe kodi??
Uko nyuma ya muda Sana , huyo sio level yako atakuchoka soonKama unaletewa mezani utaacha kula.. mimi huwa naonaga risiti tu
Unakaa chanika na out ziko masaki bill 50k na analipa hauoni hata aibu kudai nauli? Ili akuone wa maana clear bill hata siku moja , yaani ubongo wako umejaa makamasi kabisa haifai Una akili za kifukara
Pole sana mmama usipende outing za mara Kwa mara ,
Pia mtu akisema anakutoa out,hakikisha na wewe Una pesa
Pambana na hali yakoKwani chumba cha 15k Watu hawakai au unamaanisha nimuombe kodi??
Ungemuomba.
Mwingine anajua unajiweza nauli.
Mpaka hapo mnaendana kabisa ni swala la kumwambia mwenzio atakuelewa mbona ayo mambo yanazungumzika kabisa[emoji112][emoji124]
Nakupa mfano my gal Yuko humu humu anawaza tununue private jet tukikosa Sana helcopter ananipa Moto akili inachemka nipate vipi pesa hasa wewe wa chanika unalaumu nauli hauoni unajiaibisha , jamaa anajua ana mtu mwenye akili wstafika mbali kumbe ni boksi tupu, tena akigundua akili yako iko hivi hutomuona tenaKwani mimi ndio niliomba out?? Yaani ni clear bill mimi ndio nilichagua hiyo sehemu kama angeniuliza nataka twende wapi ningemwambia twende mwananyamara tukale Zanzibar pizza tamu kuliko za masaki
Wadada wa chanika mna shida sana, nishawahi kuwa na mahusiano na mdada flani anakaa chanika ni mwendo wa lawama tuu.
Au ndo wewe nn?
Nakupa mfano my gal Yuko humu humu anawaza tununue private jet tukikosa Sana helcopter ananipa Moto akili inachemka nipate vipi pesa hasa wewe wa chanika unalaumu nauli hauoni unajiaibisha , jamaa anajua ana mtu mwenye akili wstafika mbali kumbe ni boksi tupu, tena akigundua akili yako iko hivi hutomuona tena
Ndio unaelezwa uwe na exposure ,Kwani kuna sehemu nimesema ni mtu wangu… hatuna mahusiano so siwezi kushauri chochote
vipi mzigo umempa?Aisee Hii wakaka wabahili iwafikie habari za kulazimisha kuonana na mdada halafu mnaagana unashindwa kumpa hata elfu 2 ya nauli haipendezi tuna haribiana bajeti.
Hiko hivi kuna huyo Kijana tumefahamiana ni kama mwezi wa 3 sasa mcheshi yuko Normal tu.. kitu kinachonikera kwake yaani anapenda sana kulazimisha kunitoa out yaani nikikataa ni kama hapendi anajisikia vibaya
Sasa mimi huwa sipendi kutoka bila kuwa na hela yangu lolote linaweza kutokea.. lakini Hii inaboa imagine unakaa chanika halafu out mkaonane masaki.. unatoka na gharama zako unasema basi ka mtu katajiongeza hata Elfu 5 ya nauli kwasababu umeharibu ratiba na bajeti yako lakini mkavu kama nini[emoji35]
Kinachonikasirisha zaidi anaagiza mavyakula ya bei yaani mkitoka hapo menu inasoma 50k nilivyo masikini natamani kumwambia hiyo hela ya msosi anipe 40k hiyo 10k tukale chips tunashiba kabisaa
Acheni ubahiri nyie wanaume[emoji41]
Kuna wakati wanaume wanajitesea ujinga kisa kidude flani au basi😆Halafu anakaa nyumba ya 15k kwa mwezi huu ni upumbavu
pichayako pm nikuone tuongee jamboKumbe bado mnatoka
Sisi hatutoki 😂 nikienda mbali kanisani
Endelea kuteseka na vinauli vyako vya Chanika😀Ka Ben Ten kangu siwezi kukapangia namna ya kutumia pesa zake.. kwasababu mimi sio mwanamke wake wala sijui pesa zake anapataje mpk ajitutumue
Pole Mjukuu, lakini si unainjoi mtokoNi kweli but sio mara zote wakati mwingine chakula kipo
Hiyo nauli angeniongezea tu