Kama unamuona Hakimi ni hatari, Basi wacha nikujuze kuhusu huyu mwamba

Kama unamuona Hakimi ni hatari, Basi wacha nikujuze kuhusu huyu mwamba

Dunia haitomsahau Gabriel Villa, mwanasheria kwa taaluma aliyefanya pia kazi ya uwakala wa usafirishaji.

Bwana huyu mwaka 1994 alikutana na mwanadada mrembo Christina Carta kwenye sherehe

Wawili hawa wakapendana na hatimaye kufunga ndoa licha ya kuwa Gabriel alimzidi mrembo huyo miaka 30.

Tajiri huyo mara tu baada ya kufunga ndoa alimpeleka mkewe nchini Jamhuri ya Dominica kwenye visiwa vya nchi hiyo kula maisha kwa miezi minne.

Na waliporudi waliishi pamoja kwenye ndoa ya furaha kubwa kwa miaka 20.

Baada ya miaka hiyo ishirini ya kuishi pamoja hatimaye wawili hawa waligombana na Mwanamke akaenda kudai talaka kisheria ili wagawane mali.

Lakini baada ya kufuatilia taratibu hizo za kisheria, Wanasheria wa Mwanamke huyo walimjulisha kuwa bwana Gabriel alimtaliki mke wake huyo miaka 20 iliyopita bila yeye kujua hivyo kwa miaka yote hiyo hawakuwa wanaishi kwenye ndoa.

Kumbe bwana, ile fungate bwana Gabriel aliyompeleka mkewe nchini Jamhuri ya Dominican alitumia pia mwanya huo kuandikisha talaka kabisa kwa mkewe bila mwenyewe kujua kwani kwa wakati huo ni nchi ya Jamhuri ya Dominican pekee ndiyo iliyokuwa inaruhusu kisheria talaka kutolewa bila mmoja wapo kujua.

Mwamba huyu alipoulizwa alisema alijua kuwa siku moja Mwanamke huyo angetumia mbinu ya kudai talaka ili kuchukua mali zake hivyo alijiandaa mapema😀

NDUGU YETU HUYU ANAPASWA KUPEWA CHEO GANI😀😅?

👇👇👇

Credit : Dar 24...
 

Attachments

  • FB_IMG_16818839164222892.jpg
    FB_IMG_16818839164222892.jpg
    25.7 KB · Views: 4
Dunia haitomsahau Gabriel Villa, mwanasheria kwa taaluma aliyefanya pia kazi ya uwakala wa usafirishaji.

Bwana huyu mwaka 1994 alikutana na mwanadada mrembo Christina Carta kwenye sherehe

Wawili hawa wakapendana na hatimaye kufunga ndoa licha ya kuwa Gabriel alimzidi mrembo huyo miaka 30.

Tajiri huyo mara tu baada ya kufunga ndoa alimpeleka mkewe nchini Jamhuri ya Dominica kwenye visiwa vya nchi hiyo kula maisha kwa miezi minne.

Na waliporudi waliishi pamoja kwenye ndoa ya furaha kubwa kwa miaka 20.

Baada ya miaka hiyo ishirini ya kuishi pamoja hatimaye wawili hawa waligombana na Mwanamke akaenda kudai talaka kisheria ili wagawane mali.

Lakini baada ya kufuatilia taratibu hizo za kisheria, Wanasheria wa Mwanamke huyo walimjulisha kuwa bwana Gabriel alimtaliki mke wake huyo miaka 20 iliyopita bila yeye kujua hivyo kwa miaka yote hiyo hawakuwa wanaishi kwenye ndoa.

Kumbe bwana, ile fungate bwana Gabriel aliyompeleka mkewe nchini Jamhuri ya Dominican alitumia pia mwanya huo kuandikisha talaka kabisa kwa mkewe bila mwenyewe kujua kwani kwa wakati huo ni nchi ya Jamhuri ya Dominican pekee ndiyo iliyokuwa inaruhusu kisheria talaka kutolewa bila mmoja wapo kujua.

Mwamba huyu alipoulizwa alisema alijua kuwa siku moja Mwanamke huyo angetumia mbinu ya kudai talaka ili kuchukua mali zake hivyo alijiandaa mapema😀

NDUGU YETU HUYU ANAPASWA KUPEWA CHEO GANI😀😅?

👇👇👇

Credit : Dar 24...
Ahahaaaaa

Afisa Kataa Ndoa Mwandamizi Daraja La Kwanza
 
Hivi tuseme hela zako nyingi ukahamisha kwenye account ya mama yako wakati mko kwenye ndoa. Halafu mtalakiane mke aombe mgawane nusu kwa nusu je itawezekana mahakama kumlazimisha maza azitoe kwenye account yake?
 
Gabriel Villa.jpg
Hivi karibuni, beki wa Klabu ya Paris Saint-Germain na timu ya Taifa ya Morocco, Achraf Hakimi aliteka vichwa vya habari duniani kutokana na sakala lake la talaka dhidi ya aliyekuwa mkewe, Hiba Abouk.



Mkewe alivyoomba talaka mahakamani kisha wagawane mali na Hakimi, ilionekana Hakimi hana mali yoyote licha ya kwamba kutajwa ni miongoni mwa wanasoka wenye fedha nyingi kutokea Afrika.



Kilichotokea, mali zote ambazo zilitajwa za Hakimi, zilikutwa zimeandikwa jina la mama yake, hivyo Hiba Abouk hakuambulia chochote.



Wakati sakata la Hakimi likizungumzwa sana, dunia haitomsahau Gabriel Villa, mwanasheria kwa taaluma aliyefanya pia kazi ya uwakala wa usafirishaji.



Bwana huyu mwaka 1994 alikutana na mwanadada mrembo Christina Carta kwenye sherehe



Wawili hawa wakapendana na hatimaye kufunga ndoa licha ya kuwa Gabriel alimzidi mrembo huyo miaka 30.



Tajiri huyo mara tu baada ya kufunga ndoa alimpeleka mkewe nchini Jamhuri ya Dominica kwenye visiwa vya nchi hiyo kula maisha kwa miezi minne.



Na waliporudi waliishi pamoja kwenye ndoa ya furaha kubwa kwa miaka 20.



Baada ya miaka hiyo ishirini ya kuishi pamoja hatimaye wawili hawa waligombana na Mwanamke akaenda kudai talaka kisheria ili wagawane mali.



Lakini baada ya kufuatilia taratibu hizo za kisheria, Wanasheria wa Mwanamke huyo walimjulisha kuwa bwana Gabriel alimtaliki mke wake huyo miaka 20 iliyopita bila yeye kujua hivyo kwa miaka yote hiyo hawakuwa wanaishi kwenye ndoa.



Kumbe bwana, ile fungate bwana Gabriel aliyompeleka mkewe nchini Jamhuri ya Dominican alitumia pia mwanya huo kuandikisha talaka kabisa kwa mkewe bila mwenyewe kujua kwani kwa wakati huo ni nchi ya Jamhuri ya Dominican pekee ndiyo iliyokuwa inaruhusu kisheria talaka kutolewa bila mmoja wapo kujua.



Mwamba huyu alipoulizwa alisema alijua kuwa siku moja Mwanamke huyo angetumia mbinu ya kudai talaka ili kuchukua mali zake hivyo alijiandaa mapema.
 
Dunia haitomsahau Gabriel Villa, mwanasheria kwa taaluma aliyefanya pia kazi ya uwakala wa usafirishaji.

Bwana huyu mwaka 1994 alikutana na mwanadada mrembo Christina Carta kwenye sherehe

Wawili hawa wakapendana na hatimaye kufunga ndoa licha ya kuwa Gabriel alimzidi mrembo huyo miaka 30.

Tajiri huyo mara tu baada ya kufunga ndoa alimpeleka mkewe nchini Jamhuri ya Dominica kwenye visiwa vya nchi hiyo kula maisha kwa miezi minne.

Na waliporudi waliishi pamoja kwenye ndoa ya furaha kubwa kwa miaka 20.

Baada ya miaka hiyo ishirini ya kuishi pamoja hatimaye wawili hawa waligombana na Mwanamke akaenda kudai talaka kisheria ili wagawane mali.

Lakini baada ya kufuatilia taratibu hizo za kisheria, Wanasheria wa Mwanamke huyo walimjulisha kuwa bwana Gabriel alimtaliki mke wake huyo miaka 20 iliyopita bila yeye kujua hivyo kwa miaka yote hiyo hawakuwa wanaishi kwenye ndoa.

Kumbe bwana, ile fungate bwana Gabriel aliyompeleka mkewe nchini Jamhuri ya Dominican alitumia pia mwanya huo kuandikisha talaka kabisa kwa mkewe bila mwenyewe kujua kwani kwa wakati huo ni nchi ya Jamhuri ya Dominican pekee ndiyo iliyokuwa inaruhusu kisheria talaka kutolewa bila mmoja wapo kujua.

Mwamba huyu alipoulizwa alisema alijua kuwa siku moja Mwanamke huyo angetumia mbinu ya kudai talaka ili kuchukua mali zake hivyo alijiandaa mapema[emoji3]

NDUGU YETU HUYU ANAPASWA KUPEWA CHEO GANI[emoji3][emoji28]?
Mwamba kabisa
 
Hivi tuseme hela zako nyingi ukahamisha kwenye account ya mama yako wakati mko kwenye ndoa. Halafu mtalakiane mke aombe mgawane nusu kwa nusu je itawezekana mahakama kumlazimisha maza azitoe kwenye account yake?
Mkuu kuna uzi mmoja. Mwanasheria kauanzisha. Una majibu ya maswali mengi sana likiwemo hili, na ni kwa mujibu wa sheria za TZ
 
Back
Top Bottom