Multi-skilled
JF-Expert Member
- Mar 1, 2023
- 909
- 3,476
Moja mkuu wewe pambanaKutoka kariakoo mpaka Magomeni km ngapi?
😂Siondoki nani akaishi mpwimbe katavi? Uko Kuna kitambaa cheupe?
Fainali uzeeni, kula bata ujanani uzeeni utaliwaSiondoki nani akaishi mpwimbe katavi? Uko Kuna kitambaa cheupe?
Niko hapa Stalike mbona, Leo kuna Kanga moko, aliyeko Katavi hapa namkaribisha Stalike ajeSiondoki nani akaishi mpwimbe katavi? Uko Kuna kitambaa cheupe?
😆😆😆Kuna wengine tumekosa tu nauli ila tungeshahama kitambo sana
Oyaaa weee😀Kuna wengine Shida kwao ni kama Suti, wakipata Shida zinawapendeza
Kwani bia za kitambaa cheupe na zile za Igunga zina tofauti gani mkuuIla mtoa mada Kuna kitambaa cheupe uko elements tuvae wapi vimin uko baridi Bora uku uhuru 😹
Baki hapa hapa Dar mkuu madangq yakugombanie😂Ila mtoa mada Kuna kitambaa cheupe uko elements tuvae wapi vimin uko baridi Bora uku uhuru 😹
Bora tu nibakiKwani bia za kitambaa cheupe na zile za Igunga zina tofauti gani mkuu