Multi-skilled
JF-Expert Member
- Mar 1, 2023
- 909
- 3,476
Kama unapata changamoto hizi Dar nenda mikoani bado nchi hii ina ardhi kubwa sana tena yenye rutuba na fursa nyingine nyingi
1. Unaamka saa kumi kuwahi Gari
2. Unafika kwako saa nne usiku na kuendelea sababu ya changamoto za usafiri
3. Kipato chako kinaishia kwenye kodi na usafiri
4. Unaishi zaidi ya kilomita 40 kutoka eneo lako la kazia
5. Maisha yako ni joto, mbu na kugombania dala dala
6. Muhanga wa mafuriko kila mwaka
Nakuhakikishia mikoa 27 iliyibaki ukitoa Dar ndipo ulipoandikiwa kutoboa
Kumbuka kuteseka sio sifa na hakuna kombe la kuteseka
Ni mtazamo tu
1. Unaamka saa kumi kuwahi Gari
2. Unafika kwako saa nne usiku na kuendelea sababu ya changamoto za usafiri
3. Kipato chako kinaishia kwenye kodi na usafiri
4. Unaishi zaidi ya kilomita 40 kutoka eneo lako la kazia
5. Maisha yako ni joto, mbu na kugombania dala dala
6. Muhanga wa mafuriko kila mwaka
Nakuhakikishia mikoa 27 iliyibaki ukitoa Dar ndipo ulipoandikiwa kutoboa
Kumbuka kuteseka sio sifa na hakuna kombe la kuteseka
Ni mtazamo tu