Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee mi niko nanjilinji 😁Ni kweli Dar ni pagumu ila kuna mzunguko mkubwa wa pesa tofauti na huko mbwinde.
Huko mbwinde hayo mazao utayoenda kulima utapata faida ndogo tofauti na ukiwa mtu kati wa mazao hauohayo ukiwa dar .
Mimi na ndgu zangu Poor Brain (huyu harudi kwao mpitimbwi) na Intelligent businessman (huyu hatudi kwao kaborando) hatuondoki dar, hili jua litatuchapa mpaka tutoboe dadeki.
Mateso, umaskini sio sifa kabisa. Yan naunga mkono hoja japokuwa ni rahis kwa mtu asiokuwa na mbele wala nyuma kupata mchongo wa kufanya dar kuliko songea mfano jana nlikuwa sina hela ila ndani nlikuwa na bidhaa fulan za computer nikafungua app ya jiji nikatafuta wanaofanya biashara ya kuuza hizo bidhaaa tukanegoshiate bei nikachagua mwenye bei nzuri nikampelekea akanipa laki tatu zangu leo najua ntaangalia mpira kwa namna nnayotaka mimi, ila kama ingekuwa ruvuma ningepata wapi wateja zaidi ya mmoja ambaye unampigia simu saa nane saa tisa biashara inafanyika ? Mkuu mapambano ni popote ila DAR mwisho wa matatizo, pamoja na mateso yoote wanayopata watu ila wana nyumba wana familia na wanasomesha watoto hadi vyuoni na maisha yanaenda hata ukienda Manhattan kuna watu hawajiwezi ila huwatoi kule...
Ufuta unasemaje hapo mkuu MADINI ya lindiMzee mi niko nanjilinji 😁
Kaka mi sikai huko bana 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 yaani unatuchagulia wenzako majina mabaya mabaya et mpitimbwi ndo wapi huko mkuuNi kweli Dar ni pagumu ila kuna mzunguko mkubwa wa pesa tofauti na huko mbwinde.
Huko mbwinde hayo mazao utayoenda kulima utapata faida ndogo tofauti na ukiwa mtu kati wa mazao hauohayo ukiwa dar .
Mimi na ndgu zangu Poor Brain (huyu harudi kwao mpitimbwi) na Intelligent businessman (huyu hatudi kwao kaborando) hatuondoki dar, hili jua litatuchapa mpaka tutoboe dadeki.
Eti hakuna kombe la kuteseka hahaha.Kama unapata changamoto hizi Dar nenda mikoani bado nchi hii ina ardhi kubwa sana tena yenye rutuba na fursa nyingine nyingi
1. Unaamka saa kumi kuwahi Gari
2. Unafika kwako saa nne usiku na kuendelea sababu ya changamoto za usafiri
3. Kipato chako kinaishia kwenye kodi na usafiri
4. Unaishi zaidi ya kilomita 40 kutoka eneo lako la kazia
5. Maisha yako ni joto, mbu na kugombania dala dala
6. Muhanga wa mafuriko kila mwaka
Nakuhakikishia mikoa 27 iliyibaki ukitoa Dar ndipo ulipoandikiwa kutoboa
Kumbuka kuteseka sio sifa na hakuna kombe la kuteseka
Ni mtazamo tu
Mbona umeamza kuzeeka kunywa maji na matunda
NaaaamEti hakuna kombe la kuteseka hahaha.
Watu wanaweza kuchukulia huu uzi kama komedi au kejeli lakini huu ndio ukweli.
Nakumbuka mara ya kwanza kwenda kufanya kazi mkoani nilienjoy sana,nilikuwa naamka saa moja asubuhi naoga na kupika chai nakunywa kisha saa moja na dakika 45 naanza kutembea mdogomdogo ikifika saa mbili kamili tayari nishafika ofisini,jioni saa kumi na moja kamili tunamaliza kazi saa kumi na moja na robo nishafika nyumbani kwangu nimepumzika,nalala kidogo kisha naamka saa 3 kwenda nje kutafuta mahali pa kupata dinner na kurefresh mind,saa tano narudi tena kulala hadi asubuhi.
Ni maisha mazuri sana hayana stress wala huwezi kusinzia kwenye daladala kwa maana una masaa mengi sana ya kulala nyumbani
Mlinijaza upepo hivi hivi mwaka 2023 nikatoka dar nikaenda mkoani eti kujitafuta aisee sirudii huu ujinga tena tutabanana hapa hapa daslam
😁Mlinijaza upepo hivi hivi mwaka 2023 nikatoka dar nikaenda mkoani eti kujitafuta aisee sirudii huu ujinga tena tutabanana hapa hapa daslam
Ni Mpitimbi, kakosea kuandika.Kaka mi sikai huko bana [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] yaani unatuchagulia wenzako majina mabaya mabaya et mpitimbwi ndo wapi huko mkuu
Wee em sema kwelii? [emoji23][emoji23][emoji23]Mbona umeamza kuzeeka kunywa maji na matunda
Sasa anasemaje mimu natoka huko 😁😁😁😁😁Ni Mpitimbi, kakosea kuandika.
Afu ndo kwetu sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbagala Uno? WoooiiiihSasa anasemaje mimu natoka huko [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nimezaliwa kizuian mimi
Mbagala majimatitu....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbagala Uno? Woooiiiih
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtoto uswaziiiiMbagala majimatitu....
Au wee utaki mambo ya uswazi sis...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtoto uswaziiii
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Mie wa kishua, ila naishi kiswazii.Au wee utaki mambo ya uswazi sis...
Alafu nakupeleka mikumi kule
😀😀😀😀 Hiyo ndo i like..Mie wa kishua, ila naishi kiswazii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], mikumi ipi kwani?
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app