Kama unapenda amani chagua CCM

Kama unapenda amani chagua CCM

Nilikuwa sijajua kuwa huyu bwana naye ni mpenda mafisadi!
 
mh, hivi hiyo ramani ni edition mpya mbona iko tofauti na kwenye atlas zetu za shure za mthingi,au ndo baada ya kutafunwa na ufisadi hadi imechenji.
 
Amani ya Watz huimarishwa na watz wenyewe. CCM acha ulaghai
 
Je kwako amani ni kitu gani?? Yaani kuwa na amani ni kuwa na nini?
1.njaa??????????????
2.umaskini???????????
3.wizi????????
4. Ujinga????
Yawezekana hujui ,lengo la nyerere baada ya uhuru alibainisha maadui wanne - ujinga,umaskini,magonjwa na unyonge je unaridhika vitu hivyo vimetoweshwa na serkali ( watawala ) wa tanu na ccm??? Je kungekuwa na haja gani kuwaondoa wakoloni ikiwa bado leo miaka 49 ya uhuru rais anatuambia asinge fululiza kwenda nje tungekufa njaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!? je maishani mwako umewahi kutukanwa tusi kama hilo??????????
 
Heri njaa ya kujitakia kuliko shibe ya kulazimishwa!.............usitegemee amani pasipo na haki yaani ambapo haki inaporwa kweupeeeee.......kikwete mpaka sasa hana haki ya kuongoza kwani kashindwa sasa hakuwezi kuwa na amani wkt anataka ushindi wa lazima.........
 
WASIPOCHAGULIWA WATALETA VURUGU?AMANI ITATOWEKA? MSIWAZUSHIE CCM WE KAMCHAGUE KIONGOZI UNAYEMTAKA KWA MAENDELEO YA NCHI YAKO NA MABADILIKO YA NCHI YAKO.

HUKU NI KUTISHA WATU. INAMAANA CCM HAWAWEZI KUKUBALI KUSHINDWA?






I'm still not sure if I understand <ACRONYM>ambiguity<?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-com😱ffice😱ffice" /><o😛></o😛></ACRONYM>
<ACRONYM><o😛></o😛></ACRONYM>
 
Back
Top Bottom