Kama unasikia ukilala maskini unaamuka tajiri ndo uku sasa

Kama unasikia ukilala maskini unaamuka tajiri ndo uku sasa

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Jana usiku nilikuwa zangu tu nipo kitandani nimelala, sasa mimi nilikuwa na exgteytion yangu mkononi, Mara nikasikia baba huyo mwanangu panda bus basi na treiont mimi nikajiuliza hivi huyu mimi au mbona naenda sokoni na wakati ni usiku?

Zawadi zile za ghtiobt alikuwa nazo dada yangu uku tukiwa tunapandisha mlima ule, Yeye akasikia anasema si mbuzi yule kafika vipi uku mama akasema achana naye kuna polisi.

Basi tukakaa hapo mpaka jioni mke wa kaka yangu akachukua kuni mbili akaruka juu watu tukacheka haaaaa ni atari. Sasa yule basi si akafika hapo kuongeya na yule jirani yake sisi tukawa tuna subiri baba afike Tutoke ndani ya nyuma. Yaani nilifurahi saana kweli maisha ni safari fupi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana usiku nilikuwa zangu tu nipo kitandani nimelala
Sasa mimi nilikuwa na exgteytion yangu mkononi
Mara nikasikia baba huyo mwanangu panda bus basi na treiont mimi nikajiuliza hivi huyu mimi au mbona naenda sokoni na wakati ni usiku
Zawadi zile za ghtiobt alikuwa nazo dada yangu uku tukiwa tunapandisha mlima ule
Yeye akasikia anasema si mbuzi yule kafika vipi uku mama akasema achana naye kuna polisi basi tukakaa hapo mapaja jioni mke wa kaka yangu akachukua kuni mbili akaruka juu watu tukacheka haaaaa ni atari sasa yule basi si akafika hapo kuongeya na yule jirani yake sisi tukawa tuna subiri baba afike Tutoke ndani ya nyuma
Yaani nilifurahi saana kweli maisha ni safari fupi

Sent using Jamii Forums mobile app
yaani Mama Samia anamhesabu na huyu kama mwananchi wake mwenye akili timamu,kazi sana[emoji1787][emoji1787]
 
JF management iunde robot mhariri wa AI ambaye kabla ya mdau hajapost chochote AI anaangalia ni pumba hama mchele!.
 
Jana usiku nilikuwa zangu tu nipo kitandani nimelala
Sasa mimi nilikuwa na exgteytion yangu mkononi
Mara nikasikia baba huyo mwanangu panda bus basi na treiont mimi nikajiuliza hivi huyu mimi au mbona naenda sokoni na wakati ni usiku
Zawadi zile za ghtiobt alikuwa nazo dada yangu uku tukiwa tunapandisha mlima ule
Yeye akasikia anasema si mbuzi yule kafika vipi uku mama akasema achana naye kuna polisi basi tukakaa hapo mapaja jioni mke wa kaka yangu akachukua kuni mbili akaruka juu watu tukacheka haaaaa ni atari sasa yule basi si akafika hapo kuongeya na yule jirani yake sisi tukawa tuna subiri baba afike Tutoke ndani ya nyuma
Yaani nilifurahi saana kweli maisha ni safari fupi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwezi mchanga, Wallah!!!
 
Back
Top Bottom