wadu msidanganyane na msitumie uzoefu wenu wa kuingizwa mjini kuwadanganya watu na kuwakatisha tamaa watu wanaotafuta kazi,
ba recruitment agency ni wa kweli na wanafanya kazi zao kwa uhakika na haraka,mimi nimfano wa watu waliohudumiwa nao na nimepata kazi kwa haraka kuliko nilivyodhani,
binafsi nimemaliza chuo miaka miwili iliyopita nimefanya vitample hapa na pale bila uhakika na wakati wote huo nilikuwa nafanya application kila recruitment agency unayoijua hapa dar-es-salaam kuna application yangu na hata wafanyakazi wa hizo agency wengi wao ni marafiki zangu lakini nataka niwaambie ukweli hao wanaosema wanatoa kazi bure ni uongo wanachukua rushwa kwa baadhi ya watu na ndio wanawapatia kazi tena rushwa yenyewe ni zaidi ya hiyo elfu hamsini ya ba ra,mimi nimewahi toa hela kwenye hizo recruitment agency zaidi ya laki saba lakini sijawahi pata kazi kila mara wanakupigia simu njoo kwa interview wanakuuliza maswali lakini no job; no what; wanakuwambia watakupigia hawakupigii ng'oo.
ba ra ni kampuni ya muda mrefu na ni ya kimataifa sema walikuwa wanatumia jina lingine na walikuwa wanafanya biashara nyingine wamebadilisha jina mwezi uliopita na wapo hapa dar Mbezi beach ila hawajafungua ofisi rasmi hili ni jambo la kawaida ulimwenguni kote watu wanataka contact na efficiency sio address zisizona mafanikio,wamebadilisha jina mwezi uliopita kutokana na matatizo ya share zao.
ukweli ndio huo ba ra wamenisaidia kwa shilingi elfu hamsini tuu; nimepata kazi lem and len tabata na nitaanza january 2 na watachukua 20% ya mshahara wangu mmoja tuu wa kwanza,kama unataka ushauri zaidi njoo pale tabata january nione mimi finance manager mpya nitakuhakikishia jinsi gani ba ra wanaaminika.
acheni kusikiliza maneno ya wafa maji wewe k=unaetafuta kazi ndio unajua adha ya kukaa bila kazi wengi hapa jf ni mabwanyenye wako ofisini hawana kazi wanachat tuu na kukatisha watu tamaa.elfu hamsini sio kitu ni hela ndogo sana we have to take risk hata kama ingekuwa laki tano,