Kama unatafuta msaidizi wa kazi tuwasiliane

Age:18 yrs old
Salary atakayo ni 80k kuendelea.Awezacho ni kulea mtoto,watoto,wazazi wa watoto hao au kuuza duka.
Maelezo mengine ni inbox wapendwa
Huyu bint wa kazi ni wakutoka mkoa gani? Au ni wa dar hapa hapa.
 
Wewe uko wapi?
Yeye anatokea wapi?
Yeye ni dini gani?
Hiyo 80K ni salary, Je hakuna gharama nyingine zozote?
 
Wewe uko wapi?
Yeye anatokea wapi?
Yeye ni dini gani?
Hiyo 80K ni salary, Je hakuna gharama nyingine zozote?
Gharama nyingine ni nauli yako tu kumtoa alipo kuja alipo na ukiona yupo vizuri kikazi waweza mwongeza salary pia….mhehe wa Iringa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…