Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alimwambia ili aonekane mwema😂😂 😂 😂 nadhani alimwambia na bwana wake mzazi
Elon Musk, tajiri namba moja duniani hana nyumba.
Ofisini, kwa marafiki, wabia na baadhi ya wafanyakazi wake wa karibu.Huwa analala wapi
Alafu usiombee nyimbo iwe Ile Taarabu 🤣🤣🤣🤣 ya Mzee YusuphYote uliyoanisha ni ya msingi sana
Nilipanga sehem jirani akaninyima penzi halafu akaanza kuweka nyimbo za majigambo namna ye na jamaa yake wanapendana dah ilibidi nihame
hao tuko wengi tunasema dunia njia na hatuwezi kujenga njiani,...🤒🤒Kuna watu hawataki kuacha alama ya kujenga nyumba hapa duniani. Nina rafiki mkaka, angeweza kujenga hata nyumba 3 ikiwemo ghorofa.
Ila hataki kusikia neno kujenga! Yeye anapanga nyumba nzuri za bei sehemu nzuri. Akichoka anakaa hotelini ndiyo maisha yake mwenyewe kayachagua.
Yote ya kweli kabisa.
Otherwise utajikuta unawahi kurudi kuogopa kufungiwa geti kama mtoto. Zamani nilikua ata saa 8 usiku naweza kutoka sahivi nawahi home saa 4 wasije funga geti. Nishalalamika ila ndio ivo, kila siku ahadi hewa.Nilikua kwenye nyumba ya kupanga, nzuri tu. Tatizo mwenye nyumba akapandisha bei kwa asilimia zaidi ya 25, bila taarifa mapema.
Nikaona sio shida, nikahama mkataba ulivyoisha. Sasa katika harakati za kutafuta nyumba, kuna vitu nimejifunza na vingine nimeshachelewa nimejikuta najuta tayari niko ndani.
Baadhi yake:
1. Usikae na mwenye nyumba.
Nilipokua zamani nilikua sikai na mwenye nyumba. Anakuja mara chache sana. Ila sahivi nimeyatimba.
Hafu mwenye nyumba ana shughuli kila siku, mazingira yapo ovyo wala sio masafi kwasababu yeye tu ana ndugu zaidi ya 8 na watoto, ukijumlisha mnashare uwanja, aisee.
2. Jitahidi msiwe mna-share bili/matumizi ya maji au umeme.
Iwe na wapangaji wenzako au mwenye nyumba, jitahidi sana ulipie bili mwenyewe.
Ikitokea umebanwa sana bdsi angalau muwe wawili mwisho. Sub-meater hazitasaidia kitu. Mtatoa kila mtu 20,000/= ya umeme kwa mwezi wewe unashinda kazini ukirudi unawasha feni tu, kuna sista duu anachemsha maharage kwa presha cooker.
Lazima mtagombana tu.
3. Hakikisha nyumba imekamilika ujenzi, asikudanganye lipia tu namalizia wiki ili kuweka madirisha sijui.
Unavyoenda kukagua eti nyumba haijakamilika choo au dirisha, akasema lipia namalizia mtego huo.
Ukishalipia tu imeisha. Utakuta jikoni hakuna sink, feni ya sebuleni haweki, na ata maji unaweza kuta akachelewa kuyaingiza.
Jitahidi uende nyumba iliokamilika kila kitu.
4. Kama una gari, angalia upatikanaji wa funguo za geti.
Otherwise utajikuta unawahi kurudi kuogopa kufungiwa geti kama mtoto. Zamani nilikua ata saa 8 usiku naweza kutoka sahivi nawahi home saa 4 wasije funga geti. Nishalalamika ila ndio ivo, kila siku ahadi hewa.
5. Zingatia idadi ya wapangaji wenzako.
Kama unaweza, jitahidi wapangaji muwe wachache. Mkiwa kikosi kuna faida na challenge zake. Faida moja wapo unaweza pata mke hapo hapo. Ila hasara unakuta challenge hadi kwenye kamba za kuanika mfano weekend mkifua wengi kwa pamoja, makelele kila mtu akiweka singeli nk.
6. Uliza kuhusu utaratibu wa bili za maji taka, takataka/usafi na ulinzi shirikishi.
Hii michango haiwagi mikubwa ila nayo ni kero.
Kuna hii ya maji taka kuyatoa kwasababu shimo limejaa, michango ya wale wazoa takataka na ulinxi shirikishi.
7. Zingatia msimu wa mvua kunapitika? Mafuriko na nyumba kuvuja?
Kuna nyumba msimu wa mvua hazifikiki sio kwa gari wala kutembea, pia kuna uwezekano mvua ikinyesha nyumba ikawa inavuja.
8. Kelele/mishemishe za majirani.
Unaweza ukawa umeenda kucheki nyumba ukakuta pako cool, kumbe jioni kuna bar uchwara inapiga music usiku kucha.
Au ukakuta weekend au jioni ni nyumba za ibada wanatumia maspika ww unasema unapumzika wao wakakiwasha.
Edit:
9. Uchumi ukiruhusu tafuta chumba chenye choo ndani.
Kama uchumia na mazingira yanaruhusu, epuka nyumba zenye vyoo vya kushare. Kuna watu ustaarabu mdogo sana .
Kwa sasa nimeyatimba, ila kutaka kuforce kukaa Makongo Juu kumeniponza. Nikimaliza Kodi yangu naamsha.
Kero ni hizo hizo mkuu, hapo labda unakwepa suala la Kodi tu. Majirani ni hao hao labda ujenge maeneo ya WASHUA,Bt yote kwa yote nyumba nzuri na kutosheleza ni ya kwako tu.
Kuna tatizo gani kuishi na mwenye nyumba?Nilikua kwenye nyumba ya kupanga, nzuri tu. Tatizo mwenye nyumba akapandisha bei kwa asilimia zaidi ya 25, bila taarifa mapema.
Nikaona sio shida, nikahama mkataba ulivyoisha. Sasa katika harakati za kutafuta nyumba, kuna vitu nimejifunza na vingine nimeshachelewa nimejikuta najuta tayari niko ndani.
Baadhi yake:
1. Usikae na mwenye nyumba.
Nilipokua zamani nilikua sikai na mwenye nyumba. Anakuja mara chache sana. Ila sahivi nimeyatimba.
Hafu mwenye nyumba ana shughuli kila siku, mazingira yapo ovyo wala sio masafi kwasababu yeye tu ana ndugu zaidi ya 8 na watoto, ukijumlisha mnashare uwanja, aisee.
2. Jitahidi msiwe mna-share bili/matumizi ya maji au umeme.
Iwe na wapangaji wenzako au mwenye nyumba, jitahidi sana ulipie bili mwenyewe.
Ikitokea umebanwa sana bdsi angalau muwe wawili mwisho. Sub-meater hazitasaidia kitu. Mtatoa kila mtu 20,000/= ya umeme kwa mwezi wewe unashinda kazini ukirudi unawasha feni tu, kuna sista duu anachemsha maharage kwa presha cooker.
Lazima mtagombana tu.
3. Hakikisha nyumba imekamilika ujenzi, asikudanganye lipia tu namalizia wiki ili kuweka madirisha sijui.
Unavyoenda kukagua eti nyumba haijakamilika choo au dirisha, akasema lipia namalizia mtego huo.
Ukishalipia tu imeisha. Utakuta jikoni hakuna sink, feni ya sebuleni haweki, na ata maji unaweza kuta akachelewa kuyaingiza.
Jitahidi uende nyumba iliokamilika kila kitu.
4. Kama una gari, angalia upatikanaji wa funguo za geti.
Otherwise utajikuta unawahi kurudi kuogopa kufungiwa geti kama mtoto. Zamani nilikua ata saa 8 usiku naweza kutoka sahivi nawahi home saa 4 wasije funga geti. Nishalalamika ila ndio ivo, kila siku ahadi hewa.
5. Zingatia idadi ya wapangaji wenzako.
Kama unaweza, jitahidi wapangaji muwe wachache. Mkiwa kikosi kuna faida na challenge zake. Faida moja wapo unaweza pata mke hapo hapo. Ila hasara unakuta challenge hadi kwenye kamba za kuanika mfano weekend mkifua wengi kwa pamoja, makelele kila mtu akiweka singeli nk.
6. Uliza kuhusu utaratibu wa bili za maji taka, takataka/usafi na ulinzi shirikishi.
Hii michango haiwagi mikubwa ila nayo ni kero.
Kuna hii ya maji taka kuyatoa kwasababu shimo limejaa, michango ya wale wazoa takataka na ulinxi shirikishi.
7. Zingatia msimu wa mvua kunapitika? Mafuriko na nyumba kuvuja?
Kuna nyumba msimu wa mvua hazifikiki sio kwa gari wala kutembea, pia kuna uwezekano mvua ikinyesha nyumba ikawa inavuja.
8. Kelele/mishemishe za majirani.
Unaweza ukawa umeenda kucheki nyumba ukakuta pako cool, kumbe jioni kuna bar uchwara inapiga music usiku kucha.
Au ukakuta weekend au jioni ni nyumba za ibada wanatumia maspika ww unasema unapumzika wao wakakiwasha.
Edit:
9. Uchumi ukiruhusu tafuta chumba chenye choo ndani.
Kama uchumia na mazingira yanaruhusu, epuka nyumba zenye vyoo vya kushare. Kuna watu ustaarabu mdogo sana .
Kwa sasa nimeyatimba, ila kutaka kuforce kukaa Makongo Juu kumeniponza. Nikimaliza Kodi yangu naamsha.
HahahaYote uliyoanisha ni ya msingi sana
Nilipanga sehem jirani akaninyima penzi halafu akaanza kuweka nyimbo za majigambo namna ye na jamaa yake wanapendana dah ilibidi nihame
Kuna tatizo gani kuishi na mwenye nyumba?
Nifafanulie mapungufu hayo ili nami nijifunze kitu.
Halafu kufunga mageti mapema ni kero isiyomithilika, kwa nini asichongeshe funguo za geti kila mpangaji akakaa na nakala yake ili kuwe na uhuru wa mtu kurudi muda anaoutaka?
HahahaHakuna kitu kinatia hasira kama una jirani ambae kila siku anaingiza wanawake na wanawake wanatoa milio kwa sauti kubwa mida ya kulana. Pia milio ya kitanda, milio ya pwa pwa pwa pwa pwa pwa na milio mingine mbalimbali tena kila siku na ni usiku mzima.
Huna hiyo nyumba upanga acha kutulisha chai mkuuRafiki Mad Max natamani nikuambie njoo upanga nikupangishe kwenye nyumba ya urithi ila naogopa kwakuwa Mimi nipo mbali na hapo ndugu zangu watakusumbua kukudai Kodi na kukukopa kwa kigezo Cha wao ni wenyenyumba pia ,mwisho uje kunichana hapa
Japo hata Mimi nikirudi hatutawezana maana nikiishiwa hela lazima wewe kama mpangaji uwajibije ili baba mjengo nisikae kinyonge
yeye atakuwa hana, labda kachiswa kula Kwa KUSIKIA milio/utakulaa Kwa machoo😂😂Sasa hapo unakeleka nini
Atakwambia usalamaKuna tatizo gani kuishi na mwenye nyumba?
Nifafanulie mapungufu hayo ili nami nijifunze kitu.
Halafu kufunga mageti mapema ni kero isiyomithilika, kwa nini asichongeshe funguo za geti kila mpangaji akakaa na nakala yake ili kuwe na uhuru wa mtu kurudi muda anaoutaka?