Ulokole wa maneno matendo aaaahtumefikiwa walokole 🥹🥹
Hakuna watu wanafki kama haoMnachamba mpaka watu wa mungu 🥺
Waambie watembee haraka basiKumekucha...........Ngoja waje nmewaacha njiani
Kwa hiyo ni bora wa date na wanywaji sababu ya uwezo wenu huu wa kuchamba kama watoto wa kike na uwezo wenu wa kujitwisha Mabar maid?Kama unataka drama za ajabu ajabu na mitafaruko isiyoweza kuepukika basi date mwanaume ambae hanywi kilevi chochote au havuti. Utaona dunia chungu. Wanajikutaga wajuaji alaf wengi wao ni narcissist na manipulator. Watakupelekesha utajuta kumfahamu. Wanapenda uch.i kama ndo chakula chao. Wanaume wasiokunywa sio waaminifu hata kidogo. Inatakiwa uwe na kichwa ngumu kweli kweli kuolewa na mwanaume wa aina hii!!
Ni unatoa ushauri au unahimiza watu waamini hvo? Kama wewe ndo yamekukuta hayo ni huyo usijumuishe wote.Kama unataka drama za ajabu ajabu na mitafaruko isiyoweza kuepukika basi date mwanaume ambae hanywi kilevi chochote au havuti. Utaona dunia chungu. Wanajikutaga wajuaji alaf wengi wao ni narcissist na manipulator. Watakupelekesha utajuta kumfahamu. Wanapenda uch.i kama ndo chakula chao. Wanaume wasiokunywa sio waaminifu hata kidogo. Inatakiwa uwe na kichwa ngumu kweli kweli kuolewa na mwanaume wa aina hii!!
Umepigwa mtungo niniKama unataka drama za ajabu ajabu na mitafaruko isiyoweza kuepukika basi date mwanaume ambae hanywi kilevi chochote au havuti. Utaona dunia chungu. Wanajikutaga wajuaji alaf wengi wao ni narcissist na manipulator. Watakupelekesha utajuta kumfahamu. Wanapenda uch.i kama ndo chakula chao. Wanaume wasiokunywa sio waaminifu hata kidogo. Inatakiwa uwe na kichwa ngumu kweli kweli kuolewa na mwanaume wa aina hii!!
Kama wewe!!!Unaumwa wewe.
Testa dicazo.Kama wewe!!!