Tumekaribia dk 0 tu tutakuwa hapoWaambie watembee haraka basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumekaribia dk 0 tu tutakuwa hapoWaambie watembee haraka basi
Nilitaka kusema kitu lakini ngoja kwanza, utamu wa ngoma uingie ucheze. Nikishaicheza na mimi nitakuwa na uhakika wa nitakachokisema.Dah! Hapa tumechafuliwa sana, hope kuna mwenzetu mmoja kayatibua huko na lawama zake tumepewa wote. Hili ni shambulio kubwa sana kwetu. Oh!
Ova
Eti wanapenda uchi. Kwani unakuwa umeenda kutalii? Kilichokupeleka unakikwepa. Si urudi ulikotoka? Kichwa ngumu,unaona nayo sifa. Kwa mwanaume? Labda atavumilia mtoto wa kiume. Kilete,kitapunguzwa au ufurumushwe.Kama unataka drama za ajabu ajabu na mitafaruko isiyoweza kuepukika basi date mwanaume ambae hanywi kilevi chochote au havuti. Utaona dunia chungu.
Wanajikutaga wajuaji alaf wengi wao ni narcissist na manipulator. Watakupelekesha utajuta kumfahamu. Wanapenda uch.i kama ndo chakula chao.
Wanaume wasiokunywa sio waaminifu hata kidogo. Inatakiwa uwe na kichwa ngumu kweli kweli kuolewa na mwanaume wa aina hii!!
Atakunywa tu, akikataa sana mpe maziwa.Kama unataka drama za ajabu ajabu na mitafaruko isiyoweza kuepukika basi date mwanaume ambae hanywi kilevi chochote au havuti. Utaona dunia chungu.
Wanajikutaga wajuaji alaf wengi wao ni narcissist na manipulator. Watakupelekesha utajuta kumfahamu. Wanapenda uch.i kama ndo chakula chao.
Wanaume wasiokunywa sio waaminifu hata kidogo. Inatakiwa uwe na kichwa ngumu kweli kweli kuolewa na mwanaume wa aina hii!!
Ukiandika kama mlevi au sio?Kama unataka drama za ajabu ajabu na mitafaruko isiyoweza kuepukika basi date mwanaume ambae hanywi kilevi chochote au havuti. Utaona dunia chungu.
Wanajikutaga wajuaji alaf wengi wao ni narcissist na manipulator. Watakupelekesha utajuta kumfahamu. Wanapenda uch.i kama ndo chakula chao.
Wanaume wasiokunywa sio waaminifu hata kidogo. Inatakiwa uwe na kichwa ngumu kweli kweli kuolewa na mwanaume wa aina hii!!
Kama unataka drama za ajabu ajabu na mitafaruko isiyoweza kuepukika basi date mwanaume ambae hanywi kilevi chochote au havuti. Utaona dunia chungu.
Wanajikutaga wajuaji alaf wengi wao ni narcissist na manipulator. Watakupelekesha utajuta kumfahamu. Wanapenda uch.i kama ndo chakula chao.
Wanaume wasiokunywa sio waaminifu hata kidogo. Inatakiwa uwe na kichwa ngumu kweli kweli kuolewa na mwanaume wa aina hii!!
Daah!Nilitaka kusema kitu lakini ngoja kwanza, utamu wa ngoma uingie ucheze. Nikishaicheza na mimi nitakuwa na uhakika wa nitakachokisema.
Ila amenitisha? Mh!
Uchi kwao ndiyo mbadala wa pombeWanapenda uch.i kama ndo chakula chao.
Mbona unachanganya Mambo mzee, unaongelea upande gani?Kama unataka drama za ajabu ajabu na mitafaruko isiyoweza kuepukika basi date mwanaume ambae hanywi kilevi chochote au havuti. Utaona dunia chungu.
Wanajikutaga wajuaji alaf wengi wao ni narcissist na manipulator. Watakupelekesha utajuta kumfahamu. Wanapenda uch.i kama ndo chakula chao.
Wanaume wasiokunywa sio waaminifu hata kidogo. Inatakiwa uwe na kichwa ngumu kweli kweli kuolewa na mwanaume wa aina hii!!
Kwanini bar nyingi zina guest houseKama unataka drama za ajabu ajabu na mitafaruko isiyoweza kuepukika basi date mwanaume ambae hanywi kilevi chochote au havuti. Utaona dunia chungu.
Wanajikutaga wajuaji alaf wengi wao ni narcissist na manipulator. Watakupelekesha utajuta kumfahamu. Wanapenda uch.i kama ndo chakula chao.
Wanaume wasiokunywa sio waaminifu hata kidogo. Inatakiwa uwe na kichwa ngumu kweli kweli kuolewa na mwanaume wa aina hii!!