Kama unataka kifo cha haraka jichanganye kwamba unajua mapenzi uoe "Feminist"

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
10,198
Reaction score
35,323
Kuna matatizo ya kujitakia na matatizo ya kutokea tu, ila kama unataka kuona kila aina ya rangi ya mwanamke, kaoe feminist activists.

Nilimshauri brother aahirishe ndoa na huyu mwanamke "femanist" hakunisikia lakini sasa ona amekimbia nyumba yake aliojenga kwa miaka 15, kwa mikopo ya kazini.

Kakimbia na kupanga chumba na sebule Mbezi mwisho, ukimuuliza kulikoni anaguna tu na kuondoka, ila taarifa zote tumezipate kutoka kwa rafiki yake mke wake duh.
 
Aisee
 
Mnaoa maslay queen Na wadangaji then mna generalize wanawake wote wakati wanawake Wema wapo hamwataki mnawaona wabaya Na washamba
 
Mnaoa maslay queen Na wadangaji then mna generalize wanawake wote wakati wanawake Wema wapo hamwataki mnawaona wabaya Na washamba
Sio slay queen wanawake ni wale wale ila wanakua determined na group wanazo socialise nazo feminist sio mke, mpaka analazimisha mme wake afanye "screaming" wakati wa kitendo cha ndoa eti ni haki sawa wote.
 
Mama yao mlezi anaitwa Chimamanda Ngozi Adichie, Beyonce alimshitirikisha kwenye Wimbo wake unaitwa Flawless (unazungumzia feminist)
 
Wanawake wa siku hizi mapenzi kwao ni ajira. Btw huyo jamaa ni kunguru tu, unakimbiaje mji wako sababu ya k mmoja
Hayajakukuta Mwanamke ana maneno makali sana yanaupasua moyo kabisa utasikia Mwanaume mzima dakika 2 dakika 2 umemaliza kunipakapaka majasho tu unaniacha na hamu zangu kila siku nimekuchoka na siku hizi nitakua sikupi, sasa wale wasio na kaba (koromeo) wanaishia kufanya hivi
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…