binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
๐๐๐ Aaaiii!Demu yoyote anaye comment JF sio wa kuoa,
Vingi humu ni vijizi, na vishirikina.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐ Aaaiii!Demu yoyote anaye comment JF sio wa kuoa,
Vingi humu ni vijizi, na vishirikina.
Mmh hao hawana utani, watakuumiza mkuu. Achana na jinsia ilio fanya kikoa na nyoka mpaka hatujui walinena nini?Umeshajua nilichokusudia kuteta nae??
Watu wanapitia makubwa sana...wanaibiwa mpk mali zao kama mitungi ya gas๐๐๐๐๐kweli vitoto vya afu mbili ni vizi...๐๐๐
maskiini, tena wawili tofauti..? Ila huyo aloiba hadi mtungi kanichekesha sana..!! Pole mkuu..!!
Acha kutuogopa hivyo utakosa mautamu...๐๐๐๐๐Mmh hao hawana utani, watakuumiza mkuu. Achana na jinsia ilio fanya kikoa na nyoka mpaka hatujui walinena nini?
๐๐Watu wanapitia makubwa sana...wanaibiwa mpk mali zao kama mitungi ya gas๐๐๐๐๐kweli vitoto vya afu mbili ni vizi...
Haha sicheki kama mazuri, ila nakumbuka yalimkuta mtu wa karibu kabisa. Mdada wa kanisani, mwanzoni alikuwa mnyenyekevu, baada ya kukosa kazi , alipokuja kupata akageuka full blown feminist, bro alikula msoto pro max. Ana hela lakini alikuwa kakonda, pressure stress akawa mlevi.Kuna matatizo ya kujitakia na matatizo ya kutokea tu, ila kama unataka kuona kila aina ya rangi ya mwanamke, kaoe feminist activists, nili mshauri brother hairishe ndoa na huyu mwanamke "femanist" hakunisikia lakini sasa ona amekimbia nyumba yake aliojenga kwa miaka 15, kwa mikopo ya kazini, kakimbia na kupanga chumba na sebule Mbezi mwisho, ukimuuliza kulikoni anaguna tu na kuondoka, ila taarifa zote tumezipate kutoka kwa rafiki yake mke wake duh.......
Nakuunga mkono, kuna ladies mnajitambua kam wewe. Ladies mna maisha yenu but heshima tele mmetulia.Mnaoa maslay queen Na wadangaji then mna generalize wanawake wote wakati wanawake Wema wapo hamwataki mnawaona wabaya Na washamba
Feminist wengi wana chuki ni jinsia me, hata uwabembeleze je watatafuta sababu za kukutesa ni hateri sanaaHaha sicheki kama mazuri, ila nakumbuka yalimkuta mtu wa karibu kabisa. Mdada wa kanisani, mwanzoni alikuwa mnyenyekevu, baada ya kukosa kazi , alipokuja kupata akageuka full blown feminist, bro alikula msoto pro max. Ana hela lakini alikuwa kakonda, pressure stress akawa mlevi.
Mungu saidia yule dada alikuja sitishwa kazi, akarudi kuwa mpole. Ila bro hakumsamehe
Alipelekwa puta mbaya mbovu [emoji23]
mpaka umejiita mshangazi maanake umeshindikana umechachuka๐Mmmhh ...!
Wakati unakuwa na mwanamke chunguza familia, relation yake na baba ake, au ndugu zake wa kiume. The way anavyo wa treat hao, au kama baba alikuwa mkatili kwao na kwa mama, basi atakuwa akiwa defensiveFeminist wengi wana chuki ni jinsia me, hata uwabembeleze je watatafuta sababu za kukutesa ni hateri sanaa
๐คฃ๐คฃ๐คฃDemu yoyote anaye comment JF sio wa kuoa,
Vingi humu ni vijizi, na vishirikina.
Lakini sii kweli sio wazuri na hawana sura wala chura๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃMnaoa maslay queen Na wadangaji then mna generalize wanawake wote wakati wanawake Wema wapo hamwataki mnawaona wabaya Na washamba
Tatizo wana kuwa na sura na tako alafu wife material sura na chura hawana....mtohani upo hapoMtajijua wenyewe na wake zenu wasiofunzwa...
Huo ndo ukweli...tabia sio makalio...๐๐๐Yesu ruwakomangi.