Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Wengi wenye tabia izo ni mishangazi ya kuanzia 1999 kushuka chini ,Wana viburi asikwambie mtu afu ukute kakuzidi umri utajuta😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mama thimbaaaa...mechi ye u ijayo lini wazee wa ubaya......Utajua mwenyewe utayaitaje...
Mada hii inawahusu kina Maria Sarungi na Fatma Karume.Kuna matatizo ya kujitakia na matatizo ya kutokea tu, ila kama unataka kuona kila aina ya rangi ya mwanamke, kaoe feminist activists.
Nilimshauri brother aahirishe ndoa na huyu mwanamke "femanist" hakunisikia lakini sasa ona amekimbia nyumba yake aliojenga kwa miaka 15, kwa mikopo ya kazini.
Kakimbia na kupanga chumba na sebule Mbezi mwisho, ukimuuliza kulikoni anaguna tu na kuondoka, ila taarifa zote tumezipate kutoka kwa rafiki yake mke wake duh.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sio wote mzeeDemu yoyote anaye comment JF sio wa kuoa,
Vingi humu ni vijizi, na vishirikina.
Mmh hao wameshakua sugu hao hata ile laadha ya kike hawana ni madime yenye umbo la kike.Mada hii inawahusu kina Maria Sarungi na Fatma Karume.
Duh, ila wewe jamaa!! Hebu kwenye huko kundi mwondoe Evelyn Salt! Labda ka Depal?Demu yoyote anaye comment JF sio wa kuoa,
Vingi humu ni vijizi, na vishirikina.
Acha wale dharau zao cuteMnaoa maslay queen Na wadangaji then mna generalize wanawake wote wakati wanawake Wema wapo hamwataki mnawaona wabaya Na washamba
wanawake waliochelewa kuolewa 38 hadi 50 uwe makini nao sana kama unataka kuoa na uishi kwa amani.Demu yoyote anaye comment JF sio wa kuoa,
Vingi humu ni vijizi, na vishirikina.
Ukitaka amani ata kama una miaka 60 achana na mwanamke walio zaliwa miaka ya 70s na early 80s, nimeshuhudia wengi ni matatizo kwenye ndoa tena wengi ni ex-singo mazas ni wasumbufu bala kibri ndo usiseme kabisa.wanawake waliochelewa kuolewa 38 hadi 50 uwe makini nao sana kama unataka kuoa na uishi kwa amani.
Hatuwadharau jamani shida chura jamaniAcha wale dharau zao cute
Wamekuibka nini mwanawaneDemu yoyote anaye comment JF sio wa kuoa,
Vingi humu ni vijizi, na vishirikina.
Mmh salaleeee Hapo mkuu hamna haja ya kusubiri matukio unakimbia moja kwa moja kuanza maisha mengine wakati bado nguvu unazo.Ukute mkeo Ni feminist halafu ana master's degree.
Yelewiiii
Sinyaagire.....
Kama wewe vile ulivyo good woman ❤️Mnaoa maslay queen Na wadangaji then mna generalize wanawake wote wakati wanawake Wema wapo hamwataki mnawaona wabaya Na washamba
Kuzimu inahamia nyumbani kwakoUkute mkeo Ni feminist halafu ana master's degree.
Yelewiiii
Sinyaagire.....
Siku utakae mpata ndo utawajua vizuri, neenda ofisi za Finca, Fida utawaona wengi wapo.Feminist kwanza ni wanawake wa aina gani hao au Wana tabia zipi