Kama unataka Kudate na wanafunzi wa vyuo vikuu, wahi kontena jipya, makontena yaliyotoka bandarini kuingia kariakoo heri utafute binti mtaani?

Kama unataka Kudate na wanafunzi wa vyuo vikuu, wahi kontena jipya, makontena yaliyotoka bandarini kuingia kariakoo heri utafute binti mtaani?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Na hata sisi tuliosoma chuo, hii ndio ulikuwa utaratibu wetu kupata mali yenye maileji ndogo na ukibahatika waweza kupata bikra, watu walikuwa wanawahi kwenda chuo wanazuga eti wanapenda shule kumbe wapo mawindoni kuvizia makontena mapya.

Makontena mapya ni hawa wanaoingia chuoni kwa mara ya kwanza, wawe ni form 4 wanaoingia certificate ama form 6 wanaoingia degree / diploma.

Angalau hapa bado wanakuwa na maileji ndogo, wanakuwa ni wageni wanaoenda kuishi maisha ya uhuru kwa mara ya kwanza maishani mwao na ndipo pa kuwakamatia fasta kabla hawajakolea kwenye vibe la chuo. hapa kwenye kukolea namaanisha kuanza kufundishwa na dada zao wazoefu jinsi ya kuigawa ili wapate pesa za kununua simu na nguo nzuri, kufunua ch*pi ili kupata maksi za ma lecturer, kuliwa kimasihara na wapiga picha huko club, n.k.

Hayo makontena ambayo yamefika kariakoo kiukweli huwa ni pisi kali maana tayari washajifunza namna ya kuvaa. make up, misuko, n.k ila sasa wanakuwa tayari wametembea sana maileji, mda wote ana foleni ya vidume si chini ya vitatu na wote wanapewa huduma kuanzia mwalimu wake, boyfriend mwanafunzi mwenzake, mtumishi wa taasisi flani anaempiga vizinga, n.k.
 
Back
Top Bottom