permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Hili somo lina walakini, jambo la kwanza ni kuwa na vipaumbele au tuseme malengo na baada ya hapo ndio utakuwa katika nafasi nzuri ya kuweka mchakato/system au njia ya kufanikisha hayo malengo. Kwa kuongezea pia ni aina ya lengo ulilojiwekea ndilo linalokupa picha utumie mchakato gani ili kufanikisha lengo husika. Kuanza na mchakato ambao hauna lengo ni sawa ni sawa na kuanza safari ambayo hujui unataka kufika wapi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app