Kama unataka kufanikiwa 2020, achana na malengo na kazana na kitu hiki kimoja

Kama unataka kufanikiwa 2020, achana na malengo na kazana na kitu hiki kimoja

Hili somo lina walakini, jambo la kwanza ni kuwa na vipaumbele au tuseme malengo na baada ya hapo ndio utakuwa katika nafasi nzuri ya kuweka mchakato/system au njia ya kufanikisha hayo malengo. Kwa kuongezea pia ni aina ya lengo ulilojiwekea ndilo linalokupa picha utumie mchakato gani ili kufanikisha lengo husika. Kuanza na mchakato ambao hauna lengo ni sawa ni sawa na kuanza safari ambayo hujui unataka kufika wapi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili somo lina walakini, jambo la kwanza ni kuwa na vipaumbele au tuseme malengo na baada ya hapo ndio utakuwa katika nafasi nzuri ya kuweka mchakato/system au njia ya kufanikisha hayo malengo. Kwa kuongezea pia ni aina ya lengo ulilojiwekea ndilo linalokupa picha utumie mchakato gani ili kufanikisha lengo husika. Kuanza na mchakato ambao hauna lengo ni sawa ni sawa na kuanza safari ambayo hujui unataka kufika wapi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Swali ambalo najua unajiuliza ni je ina maana sihitaji tena kuweka malengo? Je nitayaendeshaje maisha yangu bila ya malengo? Nitajipimaje?

Majibu ni unapaswa kuweka malengo, kwa sababu ndiyo njia ya kukuwezesha kutoka hapo ulipo sasa na kufika mbali zaidi. Lakini ukishaweka malengo yako, kazana zaidi na mchakato unaofanyia kazi kila siku na siyo lengo hilo tu. Ukiweka nguvu zaidi kwenye mchakato, unajiweka kwenye nafasi ya kufikia lengo lolote ulilonalo.

Hapo chini nimekupa mifano ya jinsi ya kutumia mchakato kufikia malengo yako ya 2020.

Mkuu umesoma hii makala mpaka mwisho na kuelewa?
Maana ulichowekea walakini hapa nimekieleza vizuri kwenye somo.
Tafadhali tenga muda usome kwa utulivu na kuelewa na utajifunza mengi mazuri.
Kila la kheri.
 
Mada nzuri sana.
Ila ni kitu kile kile ispokua mtoa mada ulichokifanya ni kusisitiza hatua za kufikia malengo mtu aliyojiwekea.
Hivo kwanza ni lazima kuweka malengo alafu kukazania michakato ya kufikia malengo
 
Malengo hayasimami kama malengo, vinginevyo Mtu anakuwa hajajua nini maana ya malengo.

Malengo yanaambatana na mikakati(mchakato), malengo madogo, ya kati na makubwa.

Mtoa maada ameelezea vyema kabisa, Jinsi gani utayafikia malengo kwa kutumia mikakati (mchakato)
Nikiri tu wazi neno malengo haliepukiki hata ndani ya mchakato kuna "vimalengo vidogo vidogo" ambavyo ndo vinaku sharpen, Focus yako.

Malengo na mchakato huwezi kuvitenganisha.
Nadhani mtoa mada kichwa cha mada ungekiita Namna ya kufikia malengo kwa kutumia mchakato sahihi(the art of setting goals).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mada nzuri sana.
Ila ni kitu kile kile ispokua mtoa mada ulichokifanya ni kusisitiza hatua za kufikia malengo mtu aliyojiwekea.
Hivo kwanza ni lazima kuweka malengo alafu kukazania michakato ya kufikia malengo
Asante.
 
Malengo hayasimami kama malengo, vinginevyo Mtu anakuwa hajajua nini maana ya malengo.

Malengo yanaambatana na mikakati(mchakato), malengo madogo, ya kati na makubwa.

Mtoa maada ameelezea vyema kabisa, Jinsi gani utayafikia malengo kwa kutumia mikakati (mchakato)
Nikiri tu wazi neno malengo haliepukiki hata ndani ya mchakato kuna "vimalengo vidogo vidogo" ambavyo ndo vinaku sharpen, Focus yako.

Malengo na mchakato huwezi kuvitenganisha.
Nadhani mtoa mada kichwa cha mada ungekiita Namna ya kufikia malengo kwa kutumia mchakato sahihi(the art of setting goals).

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu kwa nyongeza hii.
Ni kweli malengo hayaepukiki, lakini kila mwanzo wa mwaka tunaona kila mtu akiweka malengo, maeneo ya mazoezi yanajaa na watu wanajituma kweli siku za mwanzoni mwa mwaka. Lakini hazivuki wiki tatu, wengi wanakuwa wameshaachana na malengo yao na kurudi kwenye maisha yao waliyozoea. Hili kwa sehemu kubwa linasababishwa na watu kuangalia malengo pekee na kukosa mchakato wa kufikia malengo hayo.
Ndiyo maana kwenye mada hii nimesema ni muhimu tuweke malengo, lakini baada ya kuwa nayo, nguvu zetu tuziweke kwenye mchakato wa hatua tunazochukua kila siku kufikia malengo hayo. Kwa namna hiyo ni rahisi kufikia malengo na kutokuishia njiani.
 
Tengeneza mchakato wa mafanikio yako kwa mwaka 2020,
Usikubali kuingia kwenye mkumbo wa MWAKA MPYA MAMBO MAPYA, mambo huwa hayawi mapya yenyewe, bali yanafanywa mapya kwa hatua ambazo mtu unachukua kila siku.
 
Mi nahitaji vitabu kama hivi lakini hard copy nijisomee mwenyewe nyumbani nikimaliza nibaki navyo kwa ajili ya watu wengine kusoma na pia kiwa na library yangu mwentewe nyumbani. Pia kupunguza addiction yangu na electronic devices kama simu na computer maana vinaharibu macho na macho yangu yameshaanza kuwa na shida. Msaada tafadhali kama naweza kuvipata popote tuwasiliane PM. Asanteni

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom