Digital Marketer
Senior Member
- May 1, 2019
- 112
- 149
Mafanikio hayaji sehemu uliyozoea,
Mafanikio sio tabia za kila siku,
Mafanikio sio watu walewale kila siku,
Mafanikio ayachekei mtu,
Mafanikio ni ujasiri hata kama mbele unaona giza nene.
Mafanikio ni maamuzi magumu ambayo mda mwingine inakubidi ukosane na watu wakaribu sana na muhimu katika maisha yako.
Kuwa mkweli kwako mwenyewe
After all kila mtu atakufa kwanini uogope kujaribu?
Mafanikio sio tabia za kila siku,
Mafanikio sio watu walewale kila siku,
Mafanikio ayachekei mtu,
Mafanikio ni ujasiri hata kama mbele unaona giza nene.
Mafanikio ni maamuzi magumu ambayo mda mwingine inakubidi ukosane na watu wakaribu sana na muhimu katika maisha yako.
Kuwa mkweli kwako mwenyewe
After all kila mtu atakufa kwanini uogope kujaribu?