Kama unataka kufanikiwa ondoka nyumbani kwenu

Kama unataka kufanikiwa ondoka nyumbani kwenu

Digital Marketer

Senior Member
Joined
May 1, 2019
Posts
112
Reaction score
149
Mafanikio hayaji sehemu uliyozoea,
Mafanikio sio tabia za kila siku,
Mafanikio sio watu walewale kila siku,
Mafanikio ayachekei mtu,
Mafanikio ni ujasiri hata kama mbele unaona giza nene.
Mafanikio ni maamuzi magumu ambayo mda mwingine inakubidi ukosane na watu wakaribu sana na muhimu katika maisha yako.

Kuwa mkweli kwako mwenyewe

After all kila mtu atakufa kwanini uogope kujaribu?
 
Unaenda wapi, utakaa kwa pesa gani huko kula na pakulala.

Kuondoka nyumbani kilamtu ataondoka ila inategemea umepata influence gani kwa wakati huwo na una backup gani inayokuwezesha....simply mfano hakuna graduate atakayekaa nyumbani pale tu atapo pata ajira yake, hakuna kijana atakayekaa kwao atapopata mtaji na kusimamisha biashara,,,hakuna kijana asiyependa kwenda kua huru.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo niko mbali na home mwaka wa 22 sasa, sijayaona mafanikio.Hii kanuni yako bado sijailewa
Labda inafanya kazi kama una akili na nguvu lakini una aibu, uuoga watu watasema nini, hujiamini n.k ili huko utakapoenda ukakae kwa uhuru.

Au huna idea yoyote ugumu wa maisha uendako ukulazimishe kufanya chochote kinachoingiza pesa.

Kwa mawazo yangu haupo sahihi.
 
Digital Marketer,

Uko sahihi pal. Sasa nishauri nina mil.2.7 nipo Mbeya nifanye biashara au shughuli gani nitoke? Sina background ya biashara but nataka kujaribu.....
 
Kila kitu kinaanzia kwenye mindset nina mifano wa ndugu zangu wengi waliokuwa nyumban mpaka sasa mmoja ana 32 huyu bro mwingine ana 27 hao niko tayari kuwaelezea sababu nawafahamu in and out achana na marafiki zangu asians ambao hawana mpango kabisa ......hao ndugu zangu wote wanapiga kazi mmoja ndo anakazi mbili ila mwingine anapiga kazi tatu na side hustle business yake inagrow wote wameshanunua viwanja vyakujenga kwao wenyewe( bonus vyombo vya usafiri wanavyo...japokuwa wazazi wao walikuwa navyo extra ) ila hawajawai kuwa na presure kiasi kwamba wamemaintain cottage zao na kuzijenga kisasa .........ila pia nimekutana na majamaa kweli wanakaa kwao ila wako dependant na wavivu wa kazi .....plan yako ndo kila kitu usisikilize mtu wala kuwa pressured na maneno ya watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maisha hayana fomula unaeza kaa kwenu unakafanikiwa au usifanikiwe na hvo hvo unaeza ondoka ukafanikiwa au usifanikiwe..

Kufanikiwa sio ku hustle tu kufanikiwa pia kuna enda na bahati ya unachofannya wakati unafanya ulifanya kwa mda sahihi, je ulikutana na nani..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanakaa kwao hadi wana turn 32 na bado wametoboa na issue zao pembeni + wamejenga.

Trust me kujitambua tu.

Tena mi nashauri kama una wazazi wana assets usihame kwanza make the most of it. Ukihama unahamia kwako kwenye mjengo wako..

Mimi kuna vitu nilikuja kumiliki at the age of 25 - 27 vitu ambavyo mtu aliye ajiriwa alaf amepanga + mshahara wake wa sijui ranging 1.5 M to 2.5 M (wachache sana wana range hichi kipato) watasubiri sana kuvi own.

Bob kusimama mwnyewe in business sio masihara mjue. I see lots of people wana piga mark time bila progress wana incur losses ukiangalia kwa karibu ni life expenses zinawachelewesha.

I remember opening a whole sale
Business ambayo store ya vitu na frame ilikua ya home silipii hata kumi mpaka nikasimama na nikajenga.

So ni kujitambua tu.

Sent from my iPhone using JamiiForums
 
walau kuna watu wanatutetea sie majobless maana kuishi away from home Bila connection Bila pesa 😎😎😎 eny acheni tu
 
castieltsar, Ni kweli usemayo mkuu lakini unapotoka home unakua na moyo wa kujituma Sana kwa sababu lazima utafte Ela ya kula, Kama Ni Kodi na majukumu mengine Ila ukiwa nyumbani unakuwa unajua si watapika ntakula huwazi kuusu Kodi Wala majukumu mengine,. Mana wingi wa majukumu Ni kipimo Cha akili na kujituma huwezi kaa Toka hasubuh home wakati huna Ela ya kula na unadaiwa Kodi bt all in all mafanikio Ni kujituma ww mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom